Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

MZEE WA KULENGA

  

MTUNZI: NYEMO CHILONGANI 



John alitulia chumbani kwake, alijilaza kitandani huku macho yake yakiangalia juu. Kichwa chake kilivurugika, kulikuwa na mambo lukuki ambayo yalikuwa yakimuandama sana, ila jambo moja kubwa kuliko yote lilikuwa ni suala la mademu tu.

Hakuwa mlevi, hakuwahi kunywa pombe, hakuwahi kwenda klabu, katika maisha yake yote hakuwahi hata kuvuta sigara, vitu vyote hivyo aliviepuka kwa nguvu zote lakini dhambi kubwa ambayo ilikuwa ikimuandama ilikuwa ni mademu tu.

Alipenda mademu zaidi ya pesa, alipenda mademu zaidi ya kazi, kila alipotaka demu mpya, alimfuatilia kana kwamba alifuatilia kazi TRA, alikuwa tayari kufanya kila liwezekanalo lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokihitaji.

Huyu John alijiita Johnny Love. Mtaani Magomeni Mapipa alipokuwa akiishi, watu walimzoea kama mmoja wa watu waliokuwa wakipenda sana ngono. Mtaani hapo alijulikana kila kona, alipondwa na mademu wengi kwa tabia zake hizo lakini hao hao walikuwa wakimvulia nguo zao kama kawaida.

John alipanga chumba na sebule kwa mzee Mwinjuma, mzee huyo alikuwa imamu msaidizi katika msikiti wa Kichangani uliokuwa hapohapo Magomeni. Alikuwa mzee wa swala tano, asiyependa ujinga hata kidogo na hata aliposikia stori kuhusu mpangaji wake, John alikasirika sana.

Alijaribu kumuita mara kadhaa, aliongea naye. Kwa kumwangalia John alikuwa kijana mpole, sura yake ilikuwa ni ya utaratibu mno kiasi ambacho hata alipokuwa akiwaambia wanawake kwamba alikuwa bikira wa kiume, hakukuwa na mtu aliyepinga.

John alikuwa Dungadunga, mwanaume mwenye uchu ambaye kila alipomuona mwanamke amevaa gauni au sketi na mstari wa nguo yake ya ndani kuonekana kwa ndani, alichanganyikiwa.

Alikuwa mbovu kwa wanawake wanene, aliwapenda, aliwakunja vilivyo kitandani, alikuwa akijua ni kwa jinsi gani alitakiwa kuwapelekea moto ambao kila mwanamke alitamani kupelekewa.

John alikuwa na pesa kiasi, gari yake aina ya Vitz aliyokuwa akiitumia ndiyo ambayo iliwachanganya wanawake wengi kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu kukataa lifti kutoka kwa mtu kama yeye.

Mtaani hapo kulikuwa na watoto wengi wa Kipemba, alilala nao kwa asilimia tisini, walipokuwa wakihitaji kupelekwa sehemu, hakuwa na choyo, gari lilitumia mafuta lakini hakuangalia hilo kwani alijua mwisho wa siku kitu alichokuwa akikipata kilikuwa na thamani zaidi ya pesa za mafuta.

John alikuwa na harufu ya wanawake, ile harufu ambayo ukitembea sana na wanawake ilikuwa ikibaki mwilini mwako na kumchukua msichana yeyote yule uliyekuwa ukimtaka ilikuwa mwilini mwake.

Ilikuwa ni vigumu kwa mwanamke kumkataa mtu kama John, ungeanzaje kumkataa? Sura yake ya kipole, jinsi alivyochanganya maneno ya Kiswahili na Kiingereza, jinsi alivyotabasamu na mikono yake laini iliyozoea kuvua nguo za wanawake, ilikuwa vigumu kumtaa.

Mzee Mwinjuma aliambiwa sana kuhusu kijana huyo lakini alikataa katakata. John alionekana kama malaika vile, alijua kucheza na mawazo ya mzee huyo na kila alipomuona akienda kutembelea katika nyumba hiyo ambayo alihitaji wapangaji tu wakae, kitu cha kwanza alikuwa akifungulia nyimbo za dini ndani ambazo zilizidi kumdanganya mzee huyo kwamba John alikuwa mtu wa dini, kama baba yake hakuwa mchungaji, basi alikuwa paroko.

“Huyo kijana anapenda sana wanawake,” alisema mzee aliyeitwa kwa jina la Mkude, alipanga ndani ya nyumba hiyo kwa miaka nane, alikuwa na binti wa miaka kumi na saba ambaye naye alikuwa kwenye rada za John, msichana huyo aliitwa Jamila, alikuwa mzuri wa sura na kifua saa sita.

“Kijana huyu?” aliuliza mzee Mwinjuma huku akimwangalia mzee Mkude.

“Ndiyo!”

“Haiwezekani!” alisema mzee huyo huku wimbo wa Rose Mhando wa Vua Kiatu ukisikika kutoka katika chumba cha kijana huyo.

“Uliza mtaa mzima! Huyu kijana ni balaa! Mimi mwenyewe nataka nihame hapa,” alisema mzee Mwinjuma huku akimwangalia mzee mwenzake.

“Kisa?”

“Hivi unafikiri huyu Jamila atapona kweli? Kwa fisi huyu!” alisema, aliogopa mno.

“Ila mbona ni kijana mpole!”

“Mzee mwenzangu! Humu ndani tuna mabucha, wewe umetuletea fisi...astaghafilulah!” alisema mzee huyo kwa sauti ya chini.

Unafiki mkubwa usoni ndiyo uliomsaidia, ila mbali na hivyo John alijua kucheza na mzee Mwinjuma, kila alipokuwa akienda nyumbani hapo kuwatembelea wapangaji wenzake na kusikiliza kero, John alikuwa akichukua kiasi cha shilingi elfu thelathini na kumpa kama kumsaidia kwenye mambo yake.

Hiyo nayo ikawa sababu ya kutamani kijana huyo aendelee kubaki ndani ya nyumba hiyo kwani alijua wapangaji wengine wasingeweza kumpa pesa kama alivyokuwa akimpa.

Kila alipoambiwa kuhusu John, hakutaka kuelewa hivyo kumuacha kijana huyo afanye mambo yake aliyokuwa akiyafanya pasipo kufuatiliwa.

Ndani ya chumba chake, John alikuwa na kabati kubwa la nguo, lilikuwa la milango mitatu, kwenye kila mlango kwa ndani aliandika majina ya mitandao ya kijamii.

Mlango wa kwanza kwa ndani aliandika ‘Facebook na Instagram’, mlango wa pili aliandika WhatsApp na vituoni’ na mlango mwingine aliandika ‘Vyuoni na Mtaani’.

Kwenye kila kabati kulikuwa na kiboksi kidogo ambacho kazi yake ilikuwa ni kuchukua chupi za wanawake aliolala nao na kuzihifadhi humo.

Ndiyo ilikuwa tabia yake, alichukua wanawake wa Facebook, Instagram, WhatsApp, vyuoni, vituoni ambao alikuwa akiwapa lifti na kufanya nao mapenzi.

Kila msichana aliyekuwa akiingia humo hakuwa akitoka salama, ilikuwa ni lazima afanye naye mapenzi na kumwambia amuachie nguo yake ya ndani ili awe anaiangalia kila alipokuwa akimkumbuka kitu kilichowafanya wanawake wengi kukubaliana naye.

Alijaza chupi nyingi, za kila rangi kabatini, wakati mwingine alikuwa akifungua na kuziangalia, na kila chupi ilikuwa na jina la mhusika. Kulikuwa na ya Zubeda, Amina, Esta, Florence, mama Juma, Mke wa Kobero na nyingine nyingi.

Kwa ujumla mpaka muda huo alikuwa na chupi zaidi ya mia moja na kumi na mbili, aliendelea kuzikusanya kama kawaida yake.

Muda huo alikuwa chumbani kwake. Ni saa moja lililopita alitoka kufanya mapenzi na Jackline wa Instagram. Alilala naye usiku kucha na muda huo alikuwa akiyakumbuka yale mauno ya sotojo aliyokuwa amepewa kitandani.

Baaada ya dakika kadhaa akashtuka kama mtu aliyekuwa amekumbuka kitu, haraka sana akachukua simu yake na kuingia WhatsApp ambapo alikuwa na makundi kama sabini yaliyojaza wanawake wengi.

Akaingia kwenye kundi moja lililoitwa ‘Utajibeba’ ambalo lilikuwa na wanawake kama tisini na kuanza kuweka picha zake ambazo alipiga akiwa kwenye gari lake lililowavuruga wanawake.

HADIJA: Mashauzi kashaanza (aliandika msichana huyo aliyekuwa akiringa kuliko wanawake wote katika kundi hilo)

Hadija alikuwa msichana mzuri, mtoto wa Kizigua aliyekuwa akiishi Tanga. Alinona, alifungashia kiasi cha kuwatoa roho wanaume wote waliokuwa kwenye kundi hilo.

Kila siku kazi yake ilikuwa ni kuweka picha za kuwadatisha wanaume, alipenda sana kuonyesha vikuku vyake ya miguuni ambavyo kwa mtu kama John, akili yake ilikuwa inawaka.

“Unapenda sana kunisakama....” aliandika John.

“Kwani uongo?”

“Sasa Hadija mimi mashauzi yangu yapo wapi? Au kwa sababu tu sisi wengine wabaya na hatuwezi kula laivu?” aliuliza John na watu wengine kuanza kucheka.

“Mtakula kwa macho!”

“Sawa tu!”

John alitumia nguvu nyingi sana kumtaka Hadija, alihakikisha anamvuta msichana huyo jijini Dar es Salaam lakini alishindwa kabisa.

Alimtumia pesa, alidanganywa sana, kila aliposema anataka kwenda Dar es Salaam, John alituma nauli lakini mwisho wa siku mwanamke huyo hakwenda huko.

Ilimuuma lakini hakutaka kusema. Kwake pesa kilikuwa kitu cha kawaida, alichoamini ni kwamba kuna siku tu isiyokuwa na jina mwanamke huyo angekwenda Dar es Salaam na kitu ambacho kingetokea huko, ni shetani tu ndiye anayejua.

Wakati wakiendelea kuchati kwenye kundi, John akashindwa kuvumilia, haraka sana akamfuata inbox na kuanza kuchati naye, kama kawaida akaanza kubembeleza aone kama angefanikiwa.

“Aisee siku ukiingia mikononi mwangu...” alisema John.

“Utanifanya nini baba watoto?” aliuliza Hadija kiutani.

“Nadhani nitakula...nitakutafuna mzima mzima!”

“Hahaha!”

“Wewe cheka tu!”

“Hivi unauweza huu mzigo? Wenzako wamehangaika mpaka wameshindwa!” alisema Hadija.

“Sasa wameshindwaje?”

“Unadhani kirahisi hivyo!”

“Najua ni vigumu! Lakini hata kuonja jamani? Yaani kila siku natoka udenda...nionee huruma basi mtoto wa mwanamke mwenzako,” alisema John.

“Unavyoomba sasa! Mpaka unatia huruma! Ngoja nikutumie picha ya shanga zangu, jana nimenunua mpya kwa Mmasai,” alisema Hadija, hakuchelewa, hapohapo akamtumia picha akiwa amevaa shanga, macho ya John hayakuwa kwenye zile shanga, yeye aliyagandisha kwenye lile nundu, lilivimba ile kishenzi.

“Daah! Unaniua wewe mtoto....Hivi mara yako ya mwisho kwenda chooni lini?” aliuliza John.

“Hahaha! Utajijuuuuuuu...”

“Mh! Mishipa inanisisimka! Naomba nije Tanga! Kinyozi wangu, nitakupa kichwa tu...yaani kichwa tu nitakupa kinyozi sikupi mwili mzima,” alisema John na kusindikiza na emoj ya kuomba.

“Hahaha! Hapo utajifanya kinyozi unipe kichwa...nikikupa unataka kujifanya fundi pool uzame mwili mzima uangalie namna ya kupitisha mabomba ya maji...hunipatiiiiii...” alisema msichana huyo.

John alichanganyikiwa, suruali yake sehemu ya zipu ilipanda mno. Haraka sana akatoka inbox na kuelekea kwa msichana mwingine ambaye alimtumia meseji muda mwingi ila hakutaka kuchati naye kwa kuwa alikuwa bize na Hadija. Hapohapo akamuingia.

“Helen! Hivi kwa nini unanitesa hivi?” aliuliza John.

“Hujambo kwanza!”

“Naomba unijibu swali langu! Salamu baadaye,” alisema John.

“Jamani sasa nimekutesa kwa yapi?” aliuliza Helen huku akitanguliza na viemoj vya nyani kuficha sura.

“Nilimwambia una mwili mzuri sana....”

“Najua!”

“Nikakwambia kwamba nataka nikuone unavyopendeza ukiwa kwenye nguo ya ndani....mbona hutaki kuja nikuone jamaniiiiiiiiii?” aliuliza John kwa kulalamika.

“Sasa ndiyo unalia?”

“Kwa nini nisilie! Nataka nione unavyopendeza, hivyo tu! Sitaki hata ufike nyumbani!”

“Sasa utanionea wapi?”

“Kwako!”

“Weee..unataka bwana wangu akuue!”

“Basi hata kwenye gari yangu! Najua una mwili mzuri sana....nataka nikuone ukibaki na nguo ya ndani unapendezaje! Helen...nakuomba jamaniiiiii...” kidume kiliendelea kulalamika.

“Mh!”

“Pleaseeeee...”

“Upo wapi?”

“Nyumbani!”

“Wapi?”

“Magomeni!”

“Mh! Mbali!”

“Nakufuata na gari langu...plz jamaniiii!”

“Mh!”

“Pleaseee...”

“Mh!”

“Helen...pleaseee...”

“Mh!”

“Nakuomba Helen. Nateseka sana! Nakuomba unielewe!” aliendelea kubembeleza.

“Sawa. Nifuate hapa Kinondoni Mkwajuni. Ila utaiangalia halafu utaniacha niende...sawa?” aliuliza Helen.

“Sawa.”

“Fanya haraka!”

John hakujua ni kwa jinsi gani aliondoka chumbani ila alijishtukia akiwa ndani ya gari lake akielekea Kinondoni Mkwajuni, yaani meseji ile aliyoambiwa ‘fanya haraka’ na mpaka kufika hapo ilikuwa ni ndani ya dakika tano tu, alikuwa hapo ambapo akamuona msichana huyo, ila hakumjua kwa kuwa hakuwahi kuonana naye zaidi ya kuwasiliana kwenye WhatsApp baada ya kukutana kwenye kundi la hadithi la Juma Hiza.

“Nimefika...” alimpigia simu na kumwambia.

“Upo wapi?”

“Unaliona hili gari dogo?”

“Hilo jekundu?”

“Yaap!”

“Nakuja!” alisema Hadija na kukata simu.

John akabaki garini, ilikuwa ni majira ya saa moja, hakumuona msichana huyo ila alipoona kwa mbali msichana akipiga hatua kuelekea kule alipokuwa, akajua tu kwamba alikuwa yeye.

“Mh! Huu mzigo hatari!” alisema, haraka sana akafungua zipu ya suruali yake kwani alijijua ni kwa jinsi gani ilikuwa ngumu kufunguka hasa dharura inapotokea ndani ya gari.

Baada ya Hadija kufika hapo, akafungua mlango wa gari na kuingia ndani. Harufu ya gari ikabadilika na kuwa na harufu nzuri ya manukato aliyojipulizia msichana huyo.

“Mmh!” aliguna John hata kabla ya salamu.

“Sasa unaguna nini? Kuna usalama?”

“Upo mwingi tu! Hebu twende kule pembeni,” alisema John, akaliwasha gari lake na kwenda huko.

Walipofika, akazungumza naye, kwanza akamsifia sana na kumwambia ni kwa jinsi gani alikuwa na mvuto, hakutaka kuishia hapo, akamwambia aende naye nyuma ya gari, msichana huyo akakubali, wakarukia nyuma.

“Unakumbuka nilikwambia nini?” aliuliza Hadija.

“Nione tu halafu niendelee kuwa mpenzi mtazamaji!” alisema John.

“Sawa.”

“Umevaa ya rangi gani?” aliuliza kitamaa, macho yake yalibadilika.

“Nyekundu!”

“Hebu niione!” alisema John.

Kwa msichana kama Hadija, wala hakutaka kuzuga, akafungua jinzi yake na kumuonyeshea John ambaye haraka sana akaupeleka mkono wake na kuigusa.

“Sasa unataka kufanya nini?” aliuliza Helen.

“Kuijua rangi yake!” alijibu John huku akibabaika, akili yake tayari iliwaka.



Akili ya John iliruka kabisa mahali hapo, alichanganyikiwa kupita kawaida. Walikuwa wawili tu ndani ya gari huku Helen akiwa amelipandisha gauni lake kwa juu.

Uchu ulimkaba, alitamani kumrukia msichana huyo hapohapo ndani ya gari kwani kama angemwambia waondoke na kuelekea nyumbani kwake, alijua dhahiri msichana huyo asingekubali.

Helen hakuwa mkazaji kivile kwani hata John alipomwambia aliigusa nguo yake ya ndani ili kujua rangi yake, msichana huyo akatulia kabisa, akaonyesha ushirikiano wote.

Kazi ikawa kwa John sasa. Kule nyuma ya gari ilikuwa balaa. Hakuishia kuishika tu bali alichokifanya ni kuanza kuushawishi mwili wa msichana huyo kama anataka kuitoa mwilini mwake.

Helen akajifanya kukaza kidogo, eti akaizuia kana kwamba hakutaka kushuhudia kwa macho yake kile kilichokuwa kikitaka kutokea.

John alikuwa mzoefu katika mazingira tata kama hayo, alijua kabisa kipingamizi kile kilikuwa kinatokea kwa kuwa hakuwa ameshughulika na msichana huyo hata kidogo.

Kitu cha kwanza kabisa, haraka sana akamuwahi shingoni mwake na kuanza kumnyonya kama ananyonya ice cream. Kwanza Helen akajifanya kukaza, alitaka kumuonyeshea John kwamba hakuwa na hisia zozote zile.

John hakuacha, kama picha ndiyo kwanza ilikuwa maandishi hivyo akaendelea na shingo ile. Hapo kulikuwa na ufundi wake, siyo kunyonya shingo kama beberu, ujanja wote, uzinifu wote kwa John ndiyo ulikuwa mwisho.

Alijua kucheza na ulimi wake, alikuwa akiinyonya kama mtu aliyekuwa akitafuta love bite kwa nguvu kubwa. Ni ndani ya dakika moja tu, Helen akaanza kujisikia tofauti ni kama kulikuwa na kitu fulani kilikuwa kikiemtembelea mwilini.

“Aagghh...” alipiga kelele za mahaba, John hakuacha.

Hakutaka kuendelea na shingoni tu, mkono wake akaupeleka katikati ya mapaja ya msichana huyo na kuanza kutalii maeneo hayo, aliyajua mazingira vizuri sana, aliminya hapa kwa juu kwenye magoti, alipashikilia vilivyo lakini wakati mkono wa kushoto ukiwa bize maeneo hayo pamoja na kwenye nyonga, mkono wa kulia nao ukaanza kuhamia kwa juu.

Viungo vitatu vilikuwa bize kwa pamoja. Helen alichanganyikiwa, hakuamini kama kulikuwa na mwanaume aliyekuwa na utaalamu wa kuanza kumfikisha kwenye ulimwengu wa mahaba kama huyo aliyekuwa naye ndani ya gari.

Baada ya kuona alikuwa akienda kushinda mchezo, akahamia kifuani. Yaani ni kama alikuwa na miujiza fulani hivi kwani ni ghafla sana Helen alijikuta akiwa mtupu kifuani, mambo yalikuwa yamesimama ileile.

“Helen...” aliita John kwa sauti ya chini kabisa.

“Endeleaaaa...” alisema Helen kwa sauti ya chini huku akijaribu kumvuta John upande wake.

John hakuacha, ilikuwa ni mwanzo kabisa. Alikuwa mtaalamu maeneo hayo hivyo akaendelea na utundu wake kama kawaida.

Alikuwa bize na shingo lakini akaona hiyo haitoshi, akahamia sikioni. Helen alipiga uyowe mkubwa ndani ya gari, kama ni nchi basi aligonga pale ikulu kwenyewe.

Mwili ulimsisimka, John hakuwa na hofu, aliyafanya hayo yote kwa kuwa tu alizuiliwa kuitoa ile ngo ya ndani mwilini mwa msichana huyo.

Alijua kulamba masikio, ni kama ulimi wake ulikuwa ukitafuta kitu fulani kilichojificha katika masikio hayo. Mara ya kwanza aliyasikia ya uchungu uchungu lakini ni ndani ya sekune thelathini za ulambazji wa kikamilifu, akahisi kama analamba mkono uliopakwa chocolate.

“Niisogeze pembeni au niitoe yote?” alijiuliza John huku mkono wake ukijiandaa kuitoa ile nguo ya ndani mwilini mwa msichana huyo.

“Ngoja niisogeze pembeni! Napo kunakuwaga na utamu wake,” alijisemea na kufanya hivyo.

Huko ndiyo ilikuwa balaa, alitoka masikioni na kuhamia huko, akaanza kupiga deki la uhakika. Alifanya hivyo kwa kuwa hakutaka kuona msichana huyo akianza kuleta majungu kwenye kundi la WhatsApp kwamba wanaume wa Dar hawakuwa na ufundi wowote ule.

Aliendelea na zoezi hilo kwa dakika thelathini, Helen akawa hoi, hajiwezi kabisa na hata kusogeza kiungo chochote cha mwili wake alishindwa kabisa.

“J..oh..n...” aliita msichana huyo kwa shida.

“Niambie mamaaaaa...”

“Ut..ani..ua...”

“Hata ukifa, utakufa na utamu! Subiri nikuonyeshee!” alisema John, haraka sana akafungua sehemu iliyokuwa ikihifadhi vitu vyake na kutoa mpira mmoja na kuuvaa.

Hakutaka kufanyia nyumbani, alijua kama angeliondoa gari hilo kuelekea huko basi midadi yote ya msichana huyo ingeishia njiani, hivyo ilikuwa ni lazima kumalizana naye hapohapo.

“Mamaaaaaaa...” alipiga kelele za mahaba Helen wakati ikianza kuingia mwilini mwake.

Alimshikilia vilivyo John, alihisi kama mwanaume huyo angeweza kumkimbia mahali hapo. Alianza kupiga pushapu mithili ya mwanaume aliyekuwa gym akichukua mazoezi.

Gari lilikuwa likienda juu na chini, juu na chini. Alikuwa na nguvu za kiume, alijua kupigilia pande nne za mwanamke huko kunako.

Alipiga ufalme wa juu kama pushapu hamsini, halafu akahama na kuanza kupiga ufalme wa kushoto, alipiga kadhaa na kuhamia kulia na baadaye akaanza kuupiga ufalme wa chini.

Muda wote huyo Helen alikuwa akimng’ang’ania John, hakutaka kumuacha kwani zile pande nne zilizokuwa zimepigwa kikamilifu zilimfanya kuhisi kwamba sasa alikuwa mwanamke kamili aliyetakiwa kuridhishwa na mwanaume aliyejua kumkuna kama alivyokuwa akimwacha.

“Baby! Dont take it out...pleaseee....come on...bang me harder... harder baby...dont take it out...” alisema msichana huyo Kizungu maneno yaliyomaanisha kwamba alikuwa kwenye hatua za Wazungu kutoka, hivyo akamkandamiza mwanaume huyo juu ya kifua chake.

Ni ndani ya dakika kadhaa za kumng’ang’ania, Helen akatulia, nguvu zilimuisha na kubaki kumwangalia John machoni huku machozi yakimtoka kama mtu aliyefiwa, yaani hatua ya kwanza kwake alimaliza lakini huyo John hata nusu ya safari yake haikuwa imefika.

Walikuwa wakiangaliana huku John akiendelea kuonyesha ufundi wake. Aliendelea kudili na mambo yake, aliitafuta golori na kuipiga ipasavyo kiasi kwamba kuna wakati huyo Helen alihisi kama John alipania kukitoa kizazi chake.

Alikaa juu yake kwa saa moja na nusu, naye akafika alipokuwa akielekea na kukaa pembeni. Kila mmoja alichoka na walibaki wakiangaliana tu kama mafahari yaliyotaka kupigana.

“John! You are a real man...una nguvu jamaniiiii...” alisema Helen huku akimwangalia John.

“Kwani hujawahi kufika ulipokuwa ukielekea?” aliuliza.

“Mh! Kwa huyo jamaa yangu?”

“Ndiyo!”

“Hapana! Jamaa hajui shoo, ni kama kuku, huwa ananichafua tu, ila kwako! Naomba nihamie nyumbani kwako kabisa, siwezi kuvumilia kuona huu uhondo anaupata mwanamke mwingine,” alisema Helen, alivyoongea ni kama alitania lakini alimaanisha kutoka moyoni.

“Na wewe umenifurahisha sana, naomba nikuombe kitu,” alisema John.

“Chochote utakacho!”

“Naomba hiyo nguo yako niende nayo nyumbani, nataka niwe nakukumbuka kila ninapoitazama,” alisema John.

“Jamaniiiiii! Sasa mimi nitavaa nini?”

“Usijali!” alisema John na kutoa shilingi elfu ishirini na kumpa.

“Wewe kanunue nyingine mpenzi,” alisema John, Helen hakuwa na jinsi, akaivua na kumpa John ambaye akaichukua na kuifunga shingoni mwake huku akitaka kale kaharufu kake kawe kanamfariji kila wakati atakapokuwa akivuta pumzi.

Baada ya hapo, Helen akateremka na kuondoka kuelekea nyumbani kwake. Moyo wake ulikuwa na furaha, hakuamini kama kweli alikutana na mwanaume aliyekuwa na nguvu, pumzi kubwa kama alivyokuwa John.

Huku upande wa pili John alipofika chumbani kwake, akaichukua ile nguo na kuiweka kwenye kiboksi kilichoandikwa WhatsApp na kwenda bafuni kuoga.

Alipotoka, akajilaza kitandani na kuanza kutembea kwenye makundi mengine na kuwazodoa wanawake wengine ambao alikuwa akihitaji kulala nao.

Hapo akakutana na msichana mmoja aliyeitwa Penina. Alikuwa msichana mrembo, mwenye macho ya kuvutia. Msichana huyo alikuwa na sifa ya kujiita ‘Tundu la chupa ya soda’ kumaanisha kwamba hakuwa amefanya mara nyingi hivyo huko kulikuwa kumebana mno.

“Jamani natangaza rasmi,” aliandika John kwenye kundi hilo, wanaume washakunaku wakaanza kuuliza alitangaza ninini.

“Nataka nimuoe Penina!” alijibu na kuweka emoj za kucheka. Hapohapo naye Penina akaweka emoj za kushangaa na kushtuka kwa kile alichokisoma. John akaanza kuandika uongo wake sasa.

“Hakuna mwanaume asiyependa tundu la chupa ya soda, hasa mimi ambaye tangu nizaliwe nimekuwa nikiingia kwenye mabwa na kuzama kabisa mpaka huu mchi wa kinu kuonekana kama kibamia, sasa jamani kama mrembo ana tundu la chupa ya soda kwa nini nisimwambie ukweli kwamba nampenda?” aliuliza John na comments zilizofuata zilikuwa ni za kucheka tu, si watu wengine hata Penina pia.

Haraka sana John akahamia inbox kwani tayari alikwishaweka lengo lake, hivyo alikwenda kumtekenyatekenya ili aone kama angeweza kuopoa mtoto.

“Wewe cheka tu...” alisema John.

“Yaani nimecheka mpaka nimepaliwa na pizza..” aliandika msichana huyo.

“Hahaha! Ila tundu la chupa kweli?”

“Kwani wewe unanionaje?”

“Mmh! Natamani na mimi nionje jamaniiiiii...”

“Eti uonje...fala sana wewe...hahaha.”

“Hivi unakaa wapi Penina?”

“Nakaa nyumbani!”

“Wapi?”

“Huwa sitajagi sehemu ninayokaa hata kwa nini!”

“Ila ni hapa Dar?”

“Sijui! Labda Kigoma! Huwa sipendi watu wajue ninapokaa,” alisema msichana huyo.

“Hata kwa mimi ninayekupenda?”

“Tena wewe ndiyo kabisaaaa...”

“Unaogopa nitakugeuza bwawa?”

“Hahaha! John bwana! Inaelekea unapenda sana!”

“Sanaaaa! Yaani hapa akili imewaka! Penina! Ninaomba hata dakika kadhaa za kukutana na wewe!”

“Ili?”

“Tupige selfie...”

“Ili?”

“Nije kuwatambia mafala wa humu!”

“Hahah! Kwamba?”

“Nimekutana na mtoto mkali kuliko wote Tanzania! Penina unaniua sana, hivi ulikwenda kuniroga kwa nani? Kwa Manyaunyau ama?”

“Hahaha! Watoto wa Kichaga hatujui uchawi!”

“Jamaniiii! Basi naomba hata nije kwenu unifundishe Kichaga! Yaani naomba tu!”

“Haiwezekani John! Kuonana na mimi mpaka Yesu arudi! Bye! Naenda kulala,” aliandika msichana huyo na kutoka online huku akimwacha John akiwa ameduwaa.

Mwili wake ulimsismka mno. Akainuka kitandani na kuangalia soda kwenye friji, akakumbuka kwamba hakuwa amenunua hivyo akachukua pesa na kutoka kueleka dukani.

Alipotokelezea ukumbini tu, macho yake yakagongana na macho ya mtoto wa mzee Mkude, Jamila! John alipomuona moyo wake ukapiga paa.

Kajamila kalikuwa kademu kakali sana, kalijua kuvaa, kalijua kupendeza, kalikuwa kadogo lakini alikuwa na mzigo wa wastani kwa nyuma.

Hakuwa amewahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote yule, kalikuwa kabikira na nyumbani kwao walikachunga ile kinoma, tena dhidi ya John.

“Jamila!” aliita John kwa sauti ya chini, Jamila akageuka.

“Abee kaka!”

“Ni wewe kweli ama naota?”

“Kwani nimefanyaje kaka John?”

“Unakwenda wapi?”

“Naenda kuoga!”

“Nikusindikize?”

“Weeee...akuu naogopa!” alisema Jamila, wakati John akijiandaa kupeleka neno jingine, akashtukia mlango wa chumba cha mama Halima ukifunguliwa, naye akazuga kama anafunga mlango wake.

“Wewe John hebu njoo!” aliita mama Halima. John akamsogelea.

“John utakufa mdogo wangu! Aya ulikuwa unaongea nini na haka katoto?” aliuliza.

“Hakuna! Kawaida tu! Kananirusha roho sana!”

“Mzee Mkude ataniua!”

“Kisa?”

“Kutembea na mtoto wake!”

“Sasa hapo si nitakuwa nimekufa kishujaa na bendera zitasimama nusu mlingoti nchi nzima!”

“Hahaha! Wewe fanya masihara. Kwanza ndiyo nini kumuacha rafiki yangu Sikujua?” aliuliza.

“Daah! Yule demu anapiga mizinga ile kishenzi! Kama una rafiki mwingine niweke, ila siyo kama Sikujua!”

“Utanilipa?”

“Kama kawaida. Ita mtoto nije kuruka naye uone kama sijakulipa,” alisema John.

“Basi sawa! Nitakuletea rafiki yangu mwingine. Ana kalio kama lote,” alisema mama Halima.

“Kweli? Siyo unaniletea kimbaumbau!”

“Utaona! Ila haka katoto achana nacho utakufa mdogo wangu!”

“Hahaha! Hivi kwa akili yako unadhani naweza kumuacha huyu? Kwanza naanzaje? Kama baba yake anataka kuniua, acha aniue. Zamani kalikuwa kananiamkia...ila sasa hivi hakaniamkii kabisa, unadhani kwa nini?” alisema John na kuuliza.

“Sijui!”

“Ni kwa sababu kashagundua kwamba hata mimi kanaweza kunibeba! Sasa na mimi nataka nibebwe kweli,” alisema John na wote kuanza kucheka, huyo akaondoka kuelekea dukani. Akili yake ikaanza kutega mitego ya kumnasa huyo Jamila kwanza ili mzee wake akasirike zaidi.




Ukuaji wa Jamila ulikwenda kwa kasi sana, kila wakati mwili wake ulikuwa ukimsisimka kupita kawaida. Alichanganyikiwa na kila alipokuwa akienda bafuni kuoga, alikuwa akifanya michezo ya ajabu ajabu.

Mwili wake ulikuwa na uhitaji mkubwa wa mwanaume, kila wakati alipokuwa akikishika kifua chake alichanganyikiwa mno, alihisi kama kulikuwa na mtu ambaye aliupapasa mwili wake na kuvifanya vinyweleo vyote kumsimama.

Alichanganyikiwa kupita kawaida na wakati mwingine alitamani hata kumuita mwanaume amwambie shida yake, amridhishe kitandani na kupata raha ambayo aliisikia tu kutoka kwa marafiki zake.

Mpenzi aliyekuwa naye aliitwa James. Huyo alikuwa hajui lolote kwenye suala la mapenzi, kila alipokuwa akimuita na kukaa kuzungumza naye, James aliridhika kuushika mkono, na siku ambayo alikuwa akiubusu mdomo wake, kijana huyo aliota usiku kucha.

Hakumpenda James kwa kuwa aliamini asingeweza kumfikisha kule alipotaka kwenda na mtu mwingine ambaye alimfikiria kichwani mwake alikuwa John.

Huyo John alitokea kumtamani lakini kilichokuwa kikimsikitisha ni tabia ya kulala na wanawake kila siku. Aliwasikia wasichana kama sita, marafiki zake wakisema kwamba nao walilala na John, ila alipendwa kwa kuwa alikuwa akifanya mapenzi kwa ustadi mkubwa.

“Juzi nililala na John! Mmh! Yule mwanaume balaa,” alisema msichana mmoja aliyeitwa kwa jina la Esta, alikuwa mmoja wa marafiki zake.

“Mh! Na wewe umelala naye?” aliuliza mwingine, huyo aliitwa Joha.

“Ndiyo! Hakuna mwanaume anayefanya mapenzi kama John. Yaani ukiwa na kiu, inakatika moja kwa moja. Alinikosha sana, aliikata kiu yangu, siku iliyofuata, nikarudi tena kwake na kumwambia nimesahau saa yangu, kumbe nilikuwa nataka tena,” alisema Esta.

Mazungumzo ya marafiki zake kuanza kumsifia John kwamba alikuwa mtaalamu kitandani ndiyo yaliyokuwa yakimchanganya kabisa. Kama marafiki hao waliweza kulala na mwanaume huyo, tena wakiwa mbali na nyumba yao, ilikuwaje yeye ashindwe na wakati alikuwa akiishi naye nyumba moja?

Alikuwa akimuamkia, akaacha mara moja, hiyo ilikuwa ni dalili ya kwanza kwa msichana mdogo ambaye alitaka kulala na mwanaume fulani. Hakuishia hapo tu, kila alipokuwa akimsikia John akitoka, haraka sana naye alitoka huku akiwa na khanga moja na kujifanya akienda chooni kuoga.

Alikuwa akimtega kijana huyo lakini naye akajifanya kama hana hata habari naye. Hilo lilimuumiza sana Jamila lakini hakuwa na jinsi, aliendelea kumtega kijana huyo na alipoona kwamba hafanikiwi, akaamua kuitafuta namba yake ya simu.

Alipoipata tu, akaanza kuwasiliana naye kwa kutumia WhatsApp, hakutaka kujitambulisha, aliamua tu kujifanya kama msichana mgeni.

“Wewe nani?” aliuliza John huko WhatsApp.

“Naitwa Maria!”

“Maria? Wa wapi?”

“Kwani wewe unamjua yupi?”

“Mama yake Yesu!”

“Hahaha! Jamani hunijui mimi?” aliuliza Jamila.

“Ndiyo uniambie!”

“Kuna siku ulichukua namba yangu kule Kigogo, ukasema nikucheki, yaani umenisahau, basi sawa, usiku mwema,” alisema Jamila.

“Subiri kwanza! Mbona unakuwa na haraka hivyo jamani! Nimekwishakukumbuka, kitambo sana, mbona hukunitafuta jamaniiii?” aliuliza John.

Akilini mwake hakukumbuka kama kulikuwa na siku aliwahi kuchukua namba ya msichana huko Kigogo lakini kwa sababu mwanaume hatakiwi kukataa mwanamke, akaamua kuunganisha na kujifanya kama ni kweli aliwahi kuonana naye.

“Natamani sana nikuone tena Maria!” alisema John.

“Ili?”

“Basi tu! Nione kama umebadilika ama upo vilevile!”

“Kwani mwanzo nilikuwaje?”

“Mzuri sana!”

“Nadhani sasa nimekuwa mbaya!”

“Naomba nikuone basi, nataka nione ulivyokuwa mbaya,” alisema John na kumalizia na emoj za kucheka.

Waliwasiliana, wakati hayo yote yakiendelea huku kwenye suruali yake ilikuwa balaa, kulichafuka kwani kitendo cha kuchati na msichana huyo kilimfanya kuweweseka kupita kawaida.

Walichati sana mpaka saa sita muda ambao Jamila akaamua kupumzika. John alikuwa kwenye hali mbaya, haraka sana akalitafuta jina la Mwajuma na kuanza kuwasiliana naye.

“Upo wapi?” aliuliza.

“Nyumbani!”

“Nahitaji kukuona!”

“Sasa hivi?”

“Ndiyo!”

“Jamani John! Mbona muda umekwenda!”

“Mbona mapema mno!”

“Saa sita! John acha masihara, halafu kwangu leo Simba anacheza,” alisema Mwajuma, John akaishiwa pozi kwani maana ya Simba kucheza ni kwamba alikuwa kwenye siku zile za yai kupasuka.

John akashusha pumzi ndefu, hakutaka kushindwa, kwa jinsi alivyokuwa kipindi hicho alichanganyikiwa mno. Kila mwanamke aliyemgusia, hakuishiwa sababu, kati ya wanawake kumi wa mtaani hapo ambao aliwaita, kila mmoja alijifanya kuogopa na wengine kusema hawakuwa katika siku nzuri.

Alikata tamaa lakini wakati akifikiria ni kitu gani cha kufanya, mara simu yake ikaanza kuita, akaichukua na kuangalia jina, lilikuwa Amina 2, harakaharaka akaipokea.

“John! Nimetoka kwenye pati ya rafiki yangu, nimechelewa nyumbani, wamefunga mlango, nakuja kulala kwako bebi,” alisema Amina.

Ni kama John hakuamini alichokisikia, akamwambia harakaharaka aende kwani hata naye alimmisi sana. Alipokata simu tu akaenda bafuni kuoga na kurudi chumbani huku akiwa na taulo tu.

Baada ya dakika kadhaa simu ikaanza kuita, akaipokea, alikuwa Amina na kuanza kuzungumza naye, alikuwa amefika mlangoni, hivyo akaenda kumpokea.

Akamchukua na kuelekea naye ndani, wakati akifungua mlango aingie naye, Jamila naye akafungua na kumuona John akiwa na mwanamke mwingine, moyo wake uliuma kupita kawaida lakini akajifanya kutokujali.

Wawili hao wakaingia ndani. Amina alikuwa mmoja wa wanawake wa mtaani hapo, muda wowote ambao John alikuwa akiwahitaji, alikwenda kuruka nao kama kawaida yake.

Amina alimpenda sana John kwa kuwa hakuwa mvivu, kitandani aliposema kwamba leo ni siku ya kazi, alimaanisha kazi kweli kweli.

Alijua kuruka kimasai, alifanya kila liwezekanalo kumridhisha mwanamke na ndiyo maana japokuwa wengi walisema kwamba alikuwa malaya, lakini kwake halikuwa tatizo, ndiyo kwanza aliendelea kubadilisha mademu kila siku kwa sababu tu walihadithiana ufundi wa jamaa.

Mule ndani! John akamuweka Amina kitandani, akampa taulo na kumwambia akaoge kwani siku hiyo alimuona kama ice cream hivyo alitaka kumlamba kila kona.

Amina akaenda kuoga na alipomaliza akarudi chumbani. John alichanganyikiwa, aliwahi kufanya mapenzi na msichana huyo mara kadhaa lakini siku hiyo alionekana kuwa kama mpya kwake.

Alimtamani kupita kawaida, alimuona mzuri mno, kiuno chake kilikuwa kama cha nyigu, alivalia cheni kiunoni na kifuani hakupenda kuvaa bra yoyote ile kitu kilichomchanganya sana.

John akachukua rimoti ya home theatre yake na kufungulia muziki laini, halafu akamlaza Amina kitandani na kumwambia kwamba siku hiyo ilikuwa ni vita kali, yaani asingeweza kumuacha hata kidogo.

Akaenda na kuchukua kopo la asali na kumpaka msichana huyo kifuani na chini ya kitovu na kumwambia alikuwa na hamu ya kuitoa asali hiyo mwilini mwake kwa kutumia ulimi wake.

Kazi ikaanza. John alikuwa fundi, alikuwa hatari, mwenye michezo ya kutisha. Amina alichanganyikiwa, hakujua ufundi wa asali John aliutolea wapi kwani hakuwahi kuuona wala kuusikia hapo kabla lakini kwa mwanaume huyo, alikuwa na ujuzi huo kitambo tu.

Kazi yake ilikuwa ni kuitoa asali hiyo, kwenye kila hatua aliyokuwa akiifanya kuitoa asali hiyo, Amina alikuwa akilia kama mtoto mdogo, ilikuwa ni shida, kama ni miujiza, siku hiyo ilikuwa ni balaa kabisa.

Wakati hayo yote yakiendelea, Jamila hakutaka kulala, alijua muda wowote ule kazi ingeanza. Akajilaza kitandani, alivua nguo zake zote na kuanza kujishika huku na kule, baada ya Amina kuingia ndani, akasubiri kama dakika kumi, akatoka na kwenda mlangoni mwa John na kuanza kusikiliza.

Miguno ikampagawisha, alikuwa akijishika huku na kule na masikio yake yakiwa mlangoni. Ni Amina ndiye alikuwa anawajibika lakini mpaka yeye mwenyewe pale mlangoni akaanza kutoa miguno ya mbali.

Alichanganyikiwa! Alijilowanisha, alikuwa hoi kiasi kwamba mpaka akakaa chini na hivi ukumbini hapo hakukuwa na mtu kwa kuwa ilikuwa ni usiku, akajisahau kabisa.

“John....aishiiiii...John...you are killing meeeeeeee...” alisema Jamila pale chini alipokuwa, khanga aliyoivaa ilikuwa pembeni, ni nguo ya ndani tu ndiyo aliyobaki nayo mwilini.

“Unafanya nini hapo?” Amina alishtushwa na sauti ya mama Halima aliyetoka baada ya kusikia miguno ya Jamila.

Jamila akashtuka, harakaharaka akasimama na kuelekea chumbani kwake, akaufunga mlango kabisa kwani alijua tayari ameumbuka.

“John! Mh! Nikimwambia hili! Huyu mtoto kesho tu kashavuliwa nguo,” alisema mama Halima.

Hakuwa na siri, siku iliyofauata tu akamwambia John. Kijana huyo aliposikia, hakuamini kile alichoambiwa.

“Ndiyo maana nimeona leo ananionea aibu sana,” alisema John.

“Ndiyo hivyo! Nimemkuta kwa macho yangu!” alisema mama Halima.

“Sasa subiri! Amekwisha!” alisema John.

Siku hiyo hiyo usiku Jamila akachukua ndoo yake ya maji na kuelekea bafuni kuoga. John alikuwa chumbani kwake, kulikuwa kimya na muda wote masikio yake yalikuwa yakisikilizia katika chumba cha Jamila, alijua ni lazima angekwenda bafuni kuoga.

Aliposikia mlango umefunguliwa na msichana huyo kwenda bafuni, naye akachomoka na kuelekea huko, alipofika, hakugonga hodi, akazama moja kwa moja.

“John....unafanya nini humu?’ aliuliza Jamila aliyekuwa amevua nguo zote na kubaki mtupu.

“Nimekuja kukusalimia!”

“Toka! Toka, nitapiga kelele...toka...” alisema Jamila huku akionekana kuogopa.

“Siwezi kutoka Jamila!” alisema John, haraka sana akaupeleka mdomo wake kwenye kifua cha Jamila na mkono wake mmoja akiupeleka chini ya kitofu kwa msichana huyo.

“Ashiiiiiiiiiiiii...” alilalamika Jamila, kopo la maji likamdondoka, akajikuta akianza kumvuta mwanaume huyo alipokuwa yeye.





John alimshikilia vizuri Jamila, hakutaka kumuachia kwani kama kumsubiri alimsubiri mno kwa kuhusu embe bado lilikuwa bichi kumbe tayari liliiva na lilisubiri kutunguliwa tu.

Kila alipokuwa akimshika msichana huyo, alikuwa akipiga kelele tu, alichanganyikiwa, hakuwahi kushikwa na mwanaume kama alivyokuwa akishikwa, kwake, hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza na ilimchanganya kupita kiasi.

John alijua kila kitu kuhusu mapenzi, aliking’ang’ania kifua cha msichana huyo, alihakikisha dodo zake zinakuwa mdomoni na kufanya kila alichotaka kufanya.

Ni mgumo na kelele za msichana huyo ndizo zilikuwa zikisikika tu. Wakati John alipokuwa amekwenda bafuni kumfuata Jamila, mama Halima alisikia kabisa, naye hakutaka kuchelewa, alimjua John, alikuwa mwanaume hatari, kwa watu wa mpira tungesema ‘Mzee wa Ndani ya Kumi na Nane’.

Hakuwa na mchezo hata kidogo. Mwanamke huyo alipofika huko, akajibanza na kuanza kusikiliza kilichokuwa kikiendelea humo ndani.

Pilipili ilikuwa ya shamba lakini hata yeye ikaanza kumuwasha, pale nje alipokuwa, naye akaanza kujishika huku na kule, alisisimka mwili mzima, alikuwa na hamu kwani hata mume wake hakuwepo Dar es Salaam.

Alitamani kuingia ndani na kuwaambia naye alitaka lakini alishindwa. Masikio yake yalikuwa makini kusikiliza kilichokuwa kikiendelea humo ndani kana kwamba mwisho wa siku kulikuwa na maswali.

“John...John....” aliita Jamila, alilegea, ilikuwa ni zaidi ya dakika tano za kushikwa hapa na pale, na tena aliamua kumuita baada ya kuona jamaa ameanza kufungua zipu ya jinzi yake.

“Kuna nini?” aliuliza John.

“Tufanye siku nyingine...naomba siku nyingine, sijawahiiiiiiii,” alisema Jamila huku akilia kimahaba mahali pale.

John hakutaka kukubali, alichanganyikiwa, kumuacha Jamila kwake lilionekana kuwa kosa kubwa mno, hivyo alitaka kupambana mpaka kuhakikisha anakula mambo yake.

Jamila aliogopa, hakuwahi kufanya mapenzi, ni kweli alitamani sana lakini kwa siku hiyo alikuwa na hofu kupita kawaida. Akaibana miguu yake, alitumia nguvu nyingi kiasi kwamba John mwenye akachoka.

“Kwa hiyo lini sasa?” aliuliza John, kwa jinsi alivyobaniwa miguu mpaka akachoka.

“Keshokutwa!” alijibu Jamila.

John hakutaka kubaki chooni humo, kwa jinsi alivyomshughulikia msichana huyo alijua tu asingeweza kuzingua hata kidogo. Akaelekea chumbani kwake huku mama Halima akiwa amejibanza pale pale na alilowa kupita kawaida.

Naye akaondoka mahali pale. Akaelekea chumbani, hakukulalika, alichanganyikiwa. Zile kelele zilimpagawisha na muda wote alikuwa akijishika chini ya kitovu.

Siku hiyo alitamani sana kuwa na mwanaume kitandani hapo, alitamani kuwa na mchepuko, muda kama huo angeufuata na kumridhisha nafsi yake.

Alikaa chumbani humo huku akiendelea na mchezo wake wa kutalii mwili wake mpaka majira ya saa saba, akashindwa kuvumilia kabisa, maji yalimfika shingoni, na kama angekuwa mwanaume basi tungesema alifikia ile hatua ya kubaka mpaka mbuzi.

Kwa nini apate shida na wakati John alikuwepo, tena peke yake na alikuwa akisifika kwa kuwashughulikia wanawake vizuri? Hakutaka kujiuliza, akatoka kuelekea humo.

Wakati huo John alikuwa chumbani kwake, alichanganyikiwa, mwili wake ulipagawa kupita kawaida. Alijilowanisha mno na ili kupunguza machungu akaamua kuingia Instagram na kuangalia picha za wanawake walizokuwa wamepiga nusu utupu.

Huko akakumbuka kulikuwa na wasichana wengi ambao walikuwa wakimfagilia kwa sababu tu alipiga picha na gari lake, akiwa kwenye hoteli kubwa akila vinono, hivyo akaanza kumchombeza mmoja, alifanya hivyo kwa kuwa aliamini kwa hali aliyokuwanayo ingekuwa rahisi sana kutumia ujuzi wote.

“Lilian...” aliandika kwenye insta direct. Baada ya sekunde kadhaa ikajibiwa.

“Niambie mzee wa bata!”

“Nipo poa! Unakumbuka hukunipa namba yako na wakati nilikuomba sana,” aliandika John.

“Sikukupa?”

“Ndiyo!”

“Basi subiri nikupe...” aliandika msichana huyo na kumwandikia namba hiyo.

“Asante sana. Naweza kukuona kesho?”

“Kesho? Mh!”

“Hiyo mh ni ndiyo au hapana?”

“Nitaangalia kwani naweza kwenda Jangwani Sea Breez...”

“Nitakutafuta hukohuko! Ila nimeipenda hiyo nguo yako ya ndani!” aliandika.

“Umeiona wapi?” “Instagram kwenye ile video iliyokuwa laivu. Imekupendeza sana, ndiyo ugonjwa wangu huo,” aliandika.

“Halafu John bwana!”

“Niruhusu basi hata siku moja.”

“Nikuruhusu nini?”

“Japo na mimi nikusaidie kuivua mwilini mwako jamaniiiii! Hivi huoni kazi kila siku kuivua mwenyewe?” aliuliza.

“Hahaha! Mtoto chizi sana wewe!”

“Niambie bwana! Nikusaidie kesho!”

“Kesho? Mh!”

“Si tukitoka huko Sea Breez?”

“Tutaangalia! Utanifuata na gari lako?”

“Kabisa!”

“Basi sawa. Nitakuruhusu!” alijibu msichana huyo kitu kilichomfanya kuchanganyikiwa zaidi.

Kwa jinsi alivyokuwa akichaati na wanawake na kukubaliwa harakaharaka ilionekana kama kazi nyepesi hiv kumbe ilikuwa ni ngumu ile kishenzi. Wakati akiendelea kuangalia picha za slay queens wa humo, mara akasikia mlango wake ukigongwa, kwa jinsi ulivyogongwa haikuwa kawaida, ni kama mgongaji aliogopa sauti ya ugongaji isisikike.

Kilichomjia kichwani ni Jamila tu, akakurupuka na kwenda kuufungua. Macho yake yakatua kwa mama Halima ambaye alimsukumia ndani kidogo na kuingia.

“Kuna nini?” aliuliza John, alishtuka mno.

“Ulikuwa unafanya nini bafuni na kale katoto?” aliuliza mama Halima.

“Jamani! Kwani nilikwambiaje?”

“Hebu sogea hapa kwanza,” alisema mwanamke huyo.

Siku hiyo ilikuwa ni tofauti na siku nyingine, alichanganyikiwa kupita kawaida, mwili wake ulikuwa kwenye hali ya hatari kupita kawaida.

Akamvuta John kitandani, alivalia kitenge kilichofungwa kuanzia kifuani mpaka chini lakini kwa ndani hakuwa na nguo yoyote ile.

Ni kama John alikuwa anaota, alimwangalia mwanamke huyo, jinsi alivyokuwa, mapaja yake manene na meupe, alishindwa kuelewa kama alikuwa siriazi kweli kumletea mzigo au alikuwa akimbipu tu.

“Kuna nini?” aliuliza John.

“Na mimi nataka!” alijibu mama Halima.

“Mama Halima! Unase...” alisema lakini hata kabla hajamalizia sentensi yake, akawekwa kitandani, mwanamke huyo akatoa kitenge chake na kubaki kama alivyotoka kwenye tumbo la mama yake.

Macho ya John yakatua kwenye kiuno cha mwanamke huyo, kulikuwa na shanga kama kumi na mbili, akachanganyikiwa, hakuamini kama mzigo huo leo ulikuwa ndani kwake na alitakiwa kuufanyia kazi ipasavyo.

Hakutaka kuremba, hakutaka kuchelewa, kwa jinsi mwanamke huyo alivyoonekana tu, alionekana kuwa na uhitaji wa kukatwa kiu yake, hivyo akaanza kushughulika naye.

Mwanamke mtu mzima, aliyeshindwa kuvumilia akajikuta akianza kuvunja amri ya sita na kijana mdogo ambaye siku nyingine alikuwa akimuunganishia mademu wengine.

John alijua kucheza na mijimama kama mama Halima, alikuwa mzoefu kwa watoto mpaka kwa watu wazima, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kutafuta mahali ambapo ilikuwa ni hatari mwili mwa mwanamke huyo.

Alijaribu shingoni kama kawaida yake, hakuambulia kitu, akaenda sikioni, hakukuwa na kitu chochote kile, akaenda chini ya kiuno, napo hakukuwa na kitu, akaenda kwenye kitovu napo hakukuwa na lolote lile.

Alichanganyikiwa, wakati mwingine alikuwa akijiuliza kama mwanamke huyo alikuwa roboti ama la. Hakutaka kuishia hapo, aliendelea kufanya upelelezi wake katika mwili wa mama Halima.

Akaenda chini zaidi, alipofika kwenye vidole vyake, hasa kidole gumba, akasikia mwanamke huyo akipiga uyowe.

“Ooooh! Aishiiiiiiiiiiiiiiii...huuuuuuuuuu...” alipiga uyowe wa mahaba.

“Nimekupata!” alisema John, sasa akajiweka bize na eneo hilo matata.

Mama Halima lilikuwa jimama linalojiweza, lilikuwa na shanga kama zote, hakuwa mvivu kama wanawake wengine wanene, lilikuwa likijituma hasa.

John alikuwa bize na vidole vyake vya miguuni, alimkuna hasa na hakutaka kuondoka mahali hapo, alifanya kila linalowezekana kulipagawisha jimama hilo kiasi kwamba lilizidi kulalamika lilikuwa likikaribia kufika kileleni.

Hilo ndilo alilolitaka John, alijua kabisa mama Halima asingemuweza kutokana na mwili wake kuwa mkubwa, ilikuwa ni lazima aanze kucheza pembeni kabla ya kumkabili na kuanza mambo.

Mwanamke huyo alilegea, alikuwa hoi na kitu kilichokuwa kusubiriwa ni kuanza kwa mechi tu. John aliwapanga wachezaji wake vizuri, aliwaambia walitakiwa kufanya majukumu yao uwanjani kwani asingeweza kuwapa maelekezo zaidi.

Mechi ikaanza rasmi. Wachezaji wa pembeni walikuwa hatari, waliweza kupeleka mashambulizi kwa adui, muda wote walikuwa bize kiasi kwamba timu pinzani ya mama Halima iliona kabisa inazidiwa.

John hakuridhika, alikuwa mtu hatari sana eneo hilo, alijua kumchambua mwanamke kama karanga, alimbeba na kumvuta huku, akampeleka kule na kupeleka mashambulizi ya ghafla.

Mama Halima alijua kucheza michezo ya aina yote lakini ya kijana huyo ambaye damu yake ilikuwa ikichemka alikuwa balaa kwani alijua kupiga engo zote na kumfanya kuwa hoi.

“Utaniuaaaa...aishiiiii...” alilalamika mama Halima.

John hakutaka kuacha, alikuwa na pumzi ya kutosha tu hivyo alikwenda naye kwa saa mbili ndipo akamuacha. Mwanamke wa watu alikuwa hoi, hamu yote ya kufanya mapenzi ikamuisha na kujisikia akiwa mwepesi kabisa.

Haraka haraka akainuka na kuanza kujifunga kitenge chake, hata kumwangalia John machoni alikuwa akijisikia aibu kwani alihisi kwamba asingeweza kufikishwa alipokuwa akielekea lakini kitu cha ajabu kabisa, akapitilizwa mpaka kituo chake na kupelekwa mbali kabisa.

“Kumbe ndiyo maana mademu hawakauki chumbani kwako,” alisema mama Halima huku akimwangalia John kwa jicho la ‘Siku nyingine nataka tena’

“Kawaida tu! Hivi ulijifikiria nini mpaka ukaja chumbani kwangu?’ aliuliza swali John.

“Hakuna kitu!”

“Ulizidiwa sana? Ila angalia sitaki uwe na wivu wako,” alisema John na kumfanya mama Halima kucheka na kutoka kuelekea chumbani kwake.

John hakubaki chumbani, aliondoka na kuelekea bafuni kuoga, alipomaliza akarudi chumbani na kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kushika simu yake.

Akakuta meseji kibao kutoka kwa mademu zake ila ya demu ambaye aliipenda sana ni kutoka kwa Penina. Msichana huyo alimtumia meseji kama tatu hivi na ilikuwa ni usiku sana, majira ya saa nane na nusu lakini bado msichana huyo alionekana kuwa online.

“Mambo John!”

“Upo kimya?”

“Mbona hata kwenye group sijakuona leo?”

Hizo zilikuwa meseji tatu ambazo alitumiwa kutoka kwa msichana huyo. Hakutaka kuchelewa, alikwishajua ni kitu gani msichana huyo alihitaji, ila kwa sababu alimtambia kwamba alikuwa mtoto wa kishua, hakuwa msichana wa kumuingilia kizembe kama alivyofanya kwa mademu wengine.

“Leo hulali?” aliuliza John, hapohapo akaona Penina akiandika.

“Nakusubiri wewe tulale wote...” alijibu msichana huyo na kumalizia na emoj za kucheka.

“Nimekuja mama watoto! Unaendeleaje na hali?”

“Naendelea vizuri!”

“Nimeipenda profile yako! Umependeza sana, yaani ni kama umeshushwa kutoka Mbinguni, mtoto tumbo limeingia ndani, kitovu kwa mbali kinaonekana,” aliandika John.

“Uwiiiiiiiii...wewe kaka utaniua!”

“Penina! Kitovu ndiyo ugonjwa wangu! Nahitaji sana nikinyonye hicho chako,” aliandika John.

“Wewe...utanizibua masikio mwenzako!”

“Penina! Serious! Yaani siku ukiingia mikononi mwangu, nakuahidi hautojuta!”

“Kwani utafanyake?”

“Nitaanza kukuweka kitandani, nitakuja shingoni mwako na kukulamba kama paka...” aliandika John.

“Halafu?”

“Nitaendelea kwa dakika kadhaa halafu nitashuka chini kidogo mpaka kifuani, hizo dodo zitanikoma. Nitaziweka mdomoni mwangu halafu kuuachia ulimi ufanye kazi yake,” aliandika John.

“Mmh!”

“Kazi yangu kubwa itakuwa ni kuzichezea hizo nipples zako! Yaani nitakula nazo sahani moja,” aliandika.

“Halafu!”

“Nitakuvua nguo zote na kukuacha mtupu...halafu nitakugeuza ulalie tumbo nianze kukulamba kila kona...”

“Mh! Halafu...”

“Nitaanzia shingoni kwa nyuma, nitashuka mpaka mgongoni, halafu nitakwenda mpaka kwenye hiyo milima miwili na kuanza kuilamba nayo, halafu nitasogea katikati ya milima na kuendelea kufanya kazi yangu...” aliandika John, huko alipokuwa Penina akasikia msisimko wa ajabu kwani alikuwa akivuta picha kilichokuwa kikisimuliwa.

“Mmh! Yaani katikati ya milima yangu?”

“Yeah! Tena wakati huyo nitakuwa na pipi kifua kwa ajili ya kukuletea ubaridi...yaani utasikia baridiiiiiiiiiii...” aliandika John.

“Aishiiiii...John utakuwa huioni pepo! Utakuwa humuoni Mtume, hebu acha hayo mambo yako!” aliandika Penina.

“Penny! Naomba uniruhusu!”

“Ili uje katikati ya milima yangu?”

“Ndiyo! Nataka nikupe raha ambayo haujawahi kuisikia hata siku moja! Yaani nitahakikisha mpaka panakuwa pasafiiiiiiii...”

“Hapana! Umenishinda tabia, naomba nilale...”

“Penina!”

“Usiku mwema. Bye...” aliandika Penina na kutoka online.

Upande wa pili Penina alichanganyikiwa, alizima data na kuanza kuzipitia zile meseji za John alizokuwa amemuandikia, kila alipokuwa akiziangalia, alihisi mwili wake ukisisimka, alijishika huku na kule, alipoona haridhiki, akavua nguo zake zote na kulalia tumbo, alichokifanya ni kuanza kuipitisha mikono yake katikati ya milima yake mikubwa kwa nyuma.

Alichanganyikiwa! Kichwani mwake kukaja picha nyingine kabisa, huyo John alihisi alikuwa mtu wa Mombasa, na kama siyo basi alikulia sana visiwani Zanziabar ambapo michezo kama hiyo ilisemekana kuchezeka kila kona na kwa asilimia tisini ya mabinti.

“Mh! Huyu John! Anachokiandika ndicho atakachokifanya au ananizuga tu?” alijiuliza.

“Ngoja nitaomba siku nionane naye kwenye simu kwa video call halafu aniambie vizuri! Kanipagawisha, sijui nimpe? Ila nikimpa ataniridhisha? Ila atanifanyia kama alivyoniambia? Hivi nikimpa hatonogewa? Mh! Yaani nimvulie John, anilambe atakavyo, halafu aupeleke, jamaniiiii! Mh! Nimpe ama?” alijiuliza pasipo kupata majibu, moyoni mwake tu alisikia kasauti ka chini kakimwambia “Mpe tu! Apige, mshikaji fundi ile kinoma, atapiga mpaka uchanganyikiwe....”





John aliendelea kuwa mzee wa totozi, mara kwa mara kila wikiendi ilikuwa ni lazima kutoka na kwenda sehemu mbalimbali kwa ajili ya kutafuta mademu.

Ilikuwa ni hivyo, aliwachukua washikaji zake na kuondoka kuelekea Jangwani Sea Breez (kabla haijavamiwa na watoto wa uswahilini) kutafuta mademu tu. Huko, alikuwa akiwapata wengi kutoka Mbezi Beach ambao walikwenda huko kuogelea au hata kufanya mambo mengine.

Kwa John na washikaji zake kila walipokuwa wakienda, hawakurudi mikono mitupu, walirudi na mademu waliokuwa wakihitaji lifti au hata namba za simu ambazo walizifanyia kazi ipasavyo.

Wikiendi ya siku hiyo waliamua kwenda huko kama kawaida. Muda wote ndani ya gari walikuwa wakizungumzia kuhusu wanawake tu, ni nani alikuwa fundi, yupi alikuwa mtamu zaidi ya wengine.

“Jamani kuna yule demu anaitwa Farida mnamkumbuka?” aliuliza Idrisa, mmoja wa marafiki zake.

“Yupi?”

“Yupi?” aliuliza John huku akiendesha gari.

“Yule demu kama Mpemba hivi! Nilimpata siku ile kule Kigamboni,” alijibu jamaa.

“Yeah! Yule ana mwili kidogo na tako la kuvutia?”

“Yeah huyohuyo!”

“Amefanyaje?”

“Yule demu mtamu ile kinoma!” alisema Idrisa kitu kilichomfanya John kupunguza mwendo kwani alihisi kwa stori walizokuwa wakipiga, wangeweza kupata ajali.

“Acha masihara!”

“Sure! Yule demu ni noma. Mpemba wa kwanza anayejua mambo. Dogo anapiga blowjob za maana aisee,” alisema Idrisa.

“Duuh! Vipi kuhusu anal, anaperform?” aliuliza Dotto, rafiki mwingine wa John.

“Hahaha! We jamaa fala sana,” alisema Idrisa na wote kuanza kucheka.

Waliendelea kupiga stori za mademu tu, kila mmoja alikuwa bize kuwazungumzia wanawake ambao alitembea nao. John naye hakutaka kubaki nyuma, aliwahadithia wenzake jinsi alivyokuwa akiwafunua wanawake mbalimbali mtaani, huko WhatsApp na Instagram.

Kila mmoja humo ndani alikuwa balaa, hakukuwa na mtu wa masihara, huko kwenyewe walipokuwa wakienda kila mmoja alijua kabisa alikuwa akienda kupata totozi za maana, achana na zile za uswahilini ambazo walizipiga sana.

Baada ya dakika kadhaa gari likaanza kuingia ndani ya eneo la Jangwani Sea Breez, wakateremka na kuanza kuelekea ndani.

Njiani kila mmoja alikuwa akikodoa macho, kulikuwa na watoto wakali ile kinoma, watoto wa kishua, wazuri, wenye mchanganyiko wa rangi ambao waliwaacha hoi.

Walikwenda mpaka sehemu ya vinywaji na kutulia, wakaagiza vinywaji na kuanza kunywa. Macho yao hayakutulia, bado walikuwa wakiangalia huko na kule mpaka macho ya Idrisa yalipotua kwa msichana mmoja mrembo, mtoto wa Kihindi ambaye alikuwa amekaa pembeni peke yake akinywa juisi.

“Oya! Mnamuona yule mtoto?” aliuliza Idrisa huku akiwaonyeshea wenzake.

“Mmh! Kazuri! Ila mimi na Wahindi, hapana! Nimepiga wengi halafu hawana maajabu!” alisema Dotto.

“Mimi namfuata! Nataka nimuonje hata mmoja, nawaonaga tu kwenye muvi,” alisema Idrisa.

“Kumbuka kauli mbiu yetu!”

“HAKUNA DEMU MGUMU DUNIANI!” alisema Idrisa na kupeana tano.

Idrisa akaondoka na kuelekea kwa msichana yule, alijiamini, kauli mbiu yao iliwapa nguvu ya kumpata mwanamke yeyote waliyekuwa wakimtaka. Alipomfikia, akakaa pembeni yake na kuanza kuzungumza naye.

“Umejitenga sana, unaonekana mpweke mno! Akshey kakusaliti nini?” aliuliza Idrisa huku akimwangalia msichana huyo mrembo ambaye alibaki akitabasamu tu.

“Why Akshey?” (kwa nini Akshey)

“Is the only name I know. Tell me what the hell is going on,” (ni jina pekee ninalolijua. Niambie kitu gani kinaendelea?) aliuliza Idrisa.

“Men! I hate ya’ll,” (wanaume. Nawachukia wote) alisema msichana huyo.

“Including me?” (pamoja na mimi?) aliuliza.

“Yes! Ya’ll the same,” (ndiyo! Nyie wote mpo sawa) alisema msichana huyo na Idrisa kuanza kucheka kicheko cha chini.

“Ok! My name is Idrisa!” (Sawa! Naitwa Idrisa) alisema kijana huyo huku akimpa mkono.

“Shannia.”

Wakaanza kuongea, Idrisa alikuwa mkali kwa watoto kama hao, alijua kuzungumza, hata kama msichana alikuwa na mawazo tele, alijua ni kwa namna gani alitakiwa kumuondolea mawazo na kumfanya kujisikia mtu mwenye furaha kuliko wote duniani.

Alibaki akiongea naye, alimwambia mambo mengi kuhusu wanawaume, mambo ambayo hakuwa akiyajua lakini kwenye hayo yote alimwambia kitu kimoja cha muhimu sana kwamba kama kuna mchezaji fulani alifanya kitu fulani, hakutakiwa kuuchukia mchezo wa mpira wa miguu bali alitakiwa kumchukia mchezaji husika.

“Unamaanisha nini?”

“Hutakiwi kuyachukia mapenzi, mchukie yule aliyekufanya ulie,” alisema Idrisa huku akiendelea kujifanya mshauri wa mapenzi bora kuliko wote katika dunia hii.

Wakati yeye akiendelea kuongea, macho ya John yalikuwa huku na kule, alikuwa akiwinda, hakuwahi kuondoka mtupu hapo Jangwani Sea Breez, alijua kuwachukua wanawake wa kila aina na muda huo alikuwa mahali hapo huku akiendelea na mawindo yake.

Kwa kuwa alihitaji kujua ni nani ambaye alikuwa hapo, akaingia kwenye makundi yake ya WhatsApp na kuandika kwamba alikuwa mahali hapo, kama kulikuwa na mtu karibu basi watafutane kama kuzoeana.

“Nitafute! Nipo humohumo!” alipokea meseji kutoka kwa Penina.

Kwanza akashtuka, hakuamini alichokuwa akikisoma, haraka sana akasimama kutoka alipokuwa na kuondoka, akaenda sehemu fulani iliyojificha kidogo ili hata kama Penina alikuwa hapo asimuone, huko akaanza kuchati naye.

“Una uhakika upo hapa?” aliuliza.

“Kwa nini nikudanganye! Nipo! Ila nitafute, sina muda wa kumtafuta mwanaume,” aliandika msichana huyo.

Hiyo ilikuwa kazi aliyopewa, hakutaka kupoteza muda, haraka sana akaanza kumtafuta msichana huyo. Alitembea kila kona, alikuwa makini kabisa, picha zake zilikuwa kwenye simu, aliziangalia ili asimpotee pindi atakapomuona mahali fulani.

Alimtafuta na kumtafuta lakini hakufanikiwa kumuona, akaamua kumuandikia meseji kwamba hakumuona, alihitaji kumwambia ni mahali gani alipokuwa.

“Mbona mimi nakuona?”

“Unaniona! Acha utani! Upo wapi Penina?”

“Hahaha!”

“Unanitania, right?”

“Kweli tena! SI umevaa fulana nyeupe ya kubana mwili na jinsi ya bluu, chini una raba nyeupe?”

“Exactly! Sasa upo wapi?”

“Ndiyo unitafute!” alisema msichana huyo.

Ilikuwa ni kazi kubwa lakini hakutaka kukubali, kwa mwanamke, alikuwa tayari kufanya kitu chochote kile lakini si kuona akimkosa. Alimtafuta sana msichana huyo, alitamani sana kuonana naye na leo hii alimwambia kwamba alikuwa mahali hapo, kwa nini asijitoe na kumtafuta kwa nguvu zote kama alitafuta kazi.

Baada ya dakika kama kumi macho yake yakatua kwa msichana aliyekaa mbali na wenzake, alimuona kwa nyuma, kwa jinsi alivyofunga nywele zake, alizibana kwa staili ya aina yake, hakutaka kusubiri, akaanza kumsogelea.

Alipolifikia kundi la wanawake wale, akamshika bega kwa nyuma na msichana huyo kugeuka. Kila mmoja aliyekuwa mahali hapo alibaki akimshangaa John, hawakumuelewa alikuwa nani na kwa nini alimfuata Penina na kumshika bega kwa nyuma.

“Nimekubamba!” alisema John huku akitoa tabasamu pana.

“Mr Johnny!”

“Yeah! Thats me...” (yeah! Ndiye mimi) alisema John na Penina kusimama kisha kumkumbatia.

Wasichana wale waliendelea kushangaa. John naye alipenda sifa, alimng’ang’ania msichana huyo vilivyo lakini kila alipopiga macho yake kwa marafiki zake waliokuwa pale, walikuwa mademu wakali ile kinoma.

“Jamani huyu anaitwa John,” alimtambulisha Penina kwa marafiki zake.

“Tunafurahi kumfahamu!”

“Ila na mimi nataka kuwajua pia, watambulishe bhasi! Yaani wote ni warembo, hivi mlichaguana kuwa marafiki na wale wabaya mkaacha wajichague wenyewe kwa wenyewe?” aliuliza John, kwa jinsi alivyosikika tu alikuwa mchangamfu kupita kawaida, wote wakaanza kucheka.

“Hahaha!” naye Penina akaanza kucheka, halafu akaanza kuwatambulisha.

“Huyu anaitwa Esta, yule Amanda, yule kule Nasria na yule wa mwisho anaitwa Pamela! Aya sema unamtaka nani,” alisema Penina.

“Mimi nawataka wote!”

“Eti unawataka wote! Fala sana wewe.”

“Kwani kuna dhambi jamani? Mbona King Mswati anaoa kila mwaka....”

“Sasa si yeye!”

“Basi nasilimu! Nakuwa Muislamu halafu naoa wake wanne, hapo pia mtanikataa?” aliuliza John.

Muda wote alikuwa mtu wa kuzungumza. Mahali hapo alitawala jukwaa la kuongea, aliongea kama chiriku kiasi kwamba mpaka wasichana hao wakafurahia uwepo wake mahali hapo.

Alimsahau kabisa Penina, wasichana wengine waliokuwa mahali hapo walikichanganya kichwa chake kupita kawaida. Hasa yule Nasria, mtoto chotara, alikuwa mrembo ile mbaya na kanguo alikokavaa kalikafanya kitovu chake kuwa nje, basi John akazidi kupagawa.

Kwa jinsi John alivyoonekana, Penina alijua hali ya hewa ingebadilika kwani wale marafiki zake walionekana kupagawa mno kwake.

Akamchukua na kuondoka naye pembeni, alimpenda mwanaume huyo na hakutaka kuona akichukuliwa na marafiki zake. Pale pembeni wakaanza kupiga stori, John hakutaka kuchelewa, alimwambia Penina jinsi alivyokuwa akimuelewa, kwake alikuwa msichana wa kipekee kupita kawaida.

“Mh! Wanaume nyie!” alisema Penina.

“Sure! Penina! Ninakupenda mno, tatizo lenu mnataka kudanganywa, ukweli hamtaki kuusikia,” alisema John huku akicheka.

“Eti tunapenda kudanganywa. Aya hebu nidanganye!”

“Ninatamani sana kula mtoto wa kishua, nyama hiyo sijawahi kuila,” alisema John.

“Hahaha! Sasa nani wa kishua!”

“Wewe hapo! Hebu jiangalie kwanza. Hivi huwa unapaka lotion gani?”

“Ya kawaida tu!”

“Nyie mnaosema ya kawaida ni zile za kutoka Dubai moja kwa moja. Hahaha!”

“Chizi wewe!” alisema Penina.

“Kwa hiyo?”

“Kuhusu?”

“Kucheza!”

“Kucheza nini?”

“Kuch Kuch Hotae...”

“Fala sana wewe!”

“Serious! Penina, hebu tutafute sehemu tuongee kidogo!”

“Kwani hapa hapafai?”

“Nope! Nasikia aibu!”

“Eti nasikia aibu! Wewe unataka wapi?”

“Ndani ya gari langu!”

“Mh!”

“Pleaseeee...”

Hiyo ndiyo ilionekana kuwa sehemu maalumu ya wawili hao kukaa na kuzungumza pamoja. Hakukuwa na tatizo lolote lile, Penina akakubali na kwenda naye huko, wakaingia ndani na kukaa kiti cha nyuma.

Kwa jinsi msichana huyo alivyokuwa, John aliona kabisa hiyo ilikuwa siku yake, alitakiwa kumla msichana huyo kwa kuwa kipindi kirefu sana alimfuatilia lakini hakupata bahati ya kuonana naye.

“Leo ninataka kuamini!” alisema John.

“Kuamini nini?”

“Kama kweli ni Tundu la Mdomo wa Chupa kweli au unanizingua tu,” alisema John na Penina kuanza kucheka.

John hakutaka kulemba, hakuwa na nafasi ya kuongea naye sana, akajisogeza kwa msichana huyo na kutaka kuubusu mdomo wake, akaupeleka pembeni.

“Unataka kufanya nini?” aliuliza Penina.

“Kwani nilikwambiaje?”

“Hebu acha utani! Haiwezi kutokea, unakumbuka nilikwambiaje?” aliuliza msichana huyo.

“Penina! Hata kuonja ladha ya mate yako unanibania kweli?”

“Huanza na mate...baadaye utasema nina kifua kizuri unataka kukiona, utaendelea hivyohivyo mpaka chini na mwisho wa siku unanibanjua humuhumu,” alisema Penina.

“Hahaha! Mtoto mhuni sana wewe! Yote umeyajulia wapi?”

“Kwani mimi siwajui nyie! Kwa leo, hapana kwa kweli,” alisema Penina.

Aliongea kama utani lakini alimaanisha. Ni kweli ilishindikana kama alivyomwambia japokuwa naye John alijidai kung’ang’ania mno.

Hakukuwa kilichofanyika mpaka walipoteremka na kuelekea kule walipokuwa marafiki zake na kuanza kupiga nao stori, muda wa kuondoka ulipofika, John akainuka na kuondoka naye.

Kila mmoja mahali hapo alimwangalia Penina, walihitaji kujua zaidi kuhusu mwanaume huyo kwani alionekana kuwa tofauti, alikuwa mchangamfu kupita kawaida.

“Jamani! Mbona mnamuulizia sana?” aliuliza Penina.

“Tunamtaka. Naomba namba yake,” alisema Esta.

“Na mimi pia. Wale wanaume wa vile ndiyo tunawatafuta,” alisema Nasria kitu kilichomchanganya sana Penina, yaani kwake John alionekana kama bati lakini cha kushangaza, kwa wenzake hao alionekana kuwa almasi, kama angeleta masihara, hao marafiki zake wangemchukua huyo John, hata kama hakutaka kuwa naye, hao marafiki zake wakamfanya kuanza kuvutiwa naye.

“Mh! Niwape namba! Haiwezekani! Sitoi namba. Ila ana nini yule mwanaume? Au ana kitu ambacho mimi sijakiona na wenzangu wamekiona? Hapana, siwezi kukubali, hebu nimuonje kwanza,” alijisemea Penina huku akiwaambia marafiki zake kwamba hawezi kutoa namba za John.




John alikuwa na furaha tele, kumuona Penina halikuwa jambo la kawaida hata kidogo. Alivutika naye, kwa jinsi alivyokuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii ndiyo alikuwa vilevile .

Mtoto alinata, alijua kuringa, kuongea na kuzichezesha vyema lipsi zake. Kwa jinsi alivyokuwa ameongea naye, alivyoziona zile lipsi, akili yake ilikuwa imehama kabisa na kujiona akiwa kitandani na msichana huyo.

“Huyu demu lazima nimle,” alijisemea.

Walikaa huko Jangwani Sea Breez kwa saa mbili na kuondoka. Kama kawaida yao, Doto na Idrisa walikuwa na namba za mademu walizozitoa huko ila kwa siku hiyo John alionekana kuwa mnyonge tu, alichokuwa amekipata kilikuwa kikubwa kuliko hata kupata namba za mademu kumi kutoka huko.

“Jamani! Nimekutana na demu mkali ile kinoma,” alisema John huku akiendesha gari.

“Umechukua namba?”aliuliza Doto kwa kukurupuka, namba kilionekana kuwa kitu muhimu kuliko vyote.

“Nilikuwa namfahamu!”

“Na ushawahi kumla?”

“Hapana! Ila daah! Yule manzi kiboko, demu mkali, washikaji mnajua demu mkali sana,” alisema John, yaani alitamani hata marafiki zake waujue ule ukali aliokuwa akiuzungumzia kipindi hicho.

Alianza kuwapa stori kuhusu Penina, jinsi alivyokuwa akinata, mtoto wa kishua na alivyokuwa mzuri. Kila mmoja alibaki akimsikiliza, kwa jinsi alivyoongea, John aliweka viapo vyote kwamba ni lazima amuingize gheto kwani kwake ingeonekana kuwa dhambi kubwa endapo tu angemkosa.

“Sasa yule mtoto, siku akiingia kwenye kumi na nane zangu, amekwisha...” alisema John.

Kutokana na foleni kubwa, walitumia saa mbili mpaka kufika nyumbani. Haraka sana John akachukua simu yake na kuingia WhatsApp, alihitaji kuwaambia washikaji kuhusu Penina, kwa jinsi alivyoonekana na mambo mengine.

“Jamani....Jamani...Jamani....” aliandika John, haraka sana Penina akaingilia.

“Nilijua tu!”

“Hebu subiri kwanza. Usijitetee...” aliandika John na kutanguliza emoj za kucheka.

“Humu ndani kuna mademu wakali acheni masihara...” aliandika na kuweka emoj ya nyani kuficha sura.

“Nani tena huyo?” aliuliza jamaa mmoja.

“Penina! Jamani haka kademu kakali sana, mnavyokaona hapo, kapo hivyohivyo...halafu kalikuwa na mademu wenzake, nao ni hatariiiiii...” aliandika John.

“Halafu wewe John....”

“Jamani Penina! Au kwa sababu nimewataja marafiki zako? Ila si ndiyo nasema ukweli, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, ama umesahau hilo?” aliuliza John na kuweka emoj za kucheka.

“Basi sawa yaishe....”

“Naomba uwaingize wale mademu humu basi.....”

“Niwaingize humu?”

“Ndiyo!”

“Na kulivyokuwa na fisi humu...”

“Jamani! Kwani nyie si ndiyo mnasema sisi nyoka wa vibisa....”

“Hahaha! Yaani huo ufala siwezi kufanya! Eti kabisa niwaingize humu....”

“Kwani wewe unaogopa nini! Kwani kuna mpenzi wako humu? Kama sisi tumekukosa si utupe marafiki zako tujaribu bahati! Waingize bhasi jomoniiiiiiii...” aliandika John, wanaume wote wakaanza kumsapoti, kwa jinsi alivyokuwa akizungumza, ilionyesha kabisa mademu hao walikuwa hatari, nao wakataka kuwaona.

Kwa Penina ilikuwa ni maumivu makubwa, alimpenda John, marafiki zake walivyokuwa wamemsifia ilionyesha kabisa alikuwa mwanaume wa tofauti kabisa.

Kitendo cha kuwaulizia marafiki zake kilimchoma kupita kawaida. Hakutaka kufanya ujinga kama huo, alipanga kwa moyo mmoja amchukue John, kwani kwa jinsi alivyoonekana, alikuwa mtu aliyetulia, asiyependa mademu, mtu mwaminifu kumbe alichokuwa akikifikiria ni tofauti kabisa.

“Ila sasa nitapanga siku nionane naye...halafu nione itakuwaje...” alijisemea.

John hakuacha, akaendelea kuandika kuhusu kile kilichokuwa kimetokea huko Jangwani, aliwaambia alivyokutana na mtoto Penina, jinsi alivyokuwa mrembo, alivyovutia na kumtamanisha kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia.

“Niliwaambia humu tupo na malaika, nyie mkabisha, huyo Penina si mchezo, mtoto si poa hata kidogo,” aliandika John na kuweka emoj za mabusu.

“Hebu acha uchizi wako!”

“Hahaha! Penina! Uzuri haujifichi ujue!”

“Kwendraaaaa...”

“Ni mdomo wa chupa kweli?” aliuliza jamaa mwingine.

“Jamani! Huko sijafika! Wala sijafaidi kwa hiyo sijui, msije kunifanya nikanyimwa...hahaha,” aliandika John.

Wakati akiendelea kuchati, mara akasikia mlango wa Jamila ukifunguliwa, haraka sana akakurupuka, akaiweka simu pembeni na kwenda kuufungua mlango wake kama kawaida.

Akamuona Jamila akiwa na khanga tu, mkononi alishika kopo la uwani na chini kulikuwa na ndoo, ilionyesha kabisa alikuwa akienda kuoga.

Kifua chake kilisimama, John alibaki akiwa amepigwa ganzi, hakuamini alichokuwa akikiona mbele yake. Alitamani kumvamia msichana huyo na kumpiga mabusu mfululizo lakini alishindwa, wakabaki wakiangalia.

“Unakwenda wapi?” aliuliza, alijua alikuwa akienda bafuni kuoga, lakini mpaka leo hakujua ni kwa sababu gani aliuliza swali la kifala kama lile.

“Nakwenda kuoga!”

“Kwa hiyo?” aliuliza John.

Jamila hakujibu, alinyamaza, akaichukua ndoo yake na kuelekea bafuni. Muda huo ilikuwa ni saa tano kasoro usiku. Alimwangalia msichana huyo alivyokuwa akiondoka kuelekea bafuni, kwa jinsi alivyokuwa kwa nyuma, kulivyokuwa kunachezacheza, kulionyesha hakuvaa kufuli hata kidogo.

“Nikiendelea kubaki hapa nitakuwa fala...” alijisemea.

Hakutaka kuchelewa, haraka sana akaondoka na kuanza kumfuata msichana huyo, alikwenda mpaka kwenye mlango wa bafu na kusimama kwa nje.

Mwili wake ulisisimka kupita kawaida, alisikia msichana huyo akianza kujimwagia maji, hakutaka kubaki palepale, akaingia ndani.

Mara hii ilikuwa ni tofauti na ile mara ya kwanza, Jamila hakupiga kelele, alitegemea kumuona John akimfuata bafuni hivyo alivyoingia na kushikwa kiuno kwa nyuma, akajikuta akitoa pumzi ndefu.

“John....umefuata nini?” aliuliza Jamila kwa sauti laini kabisa, alichanganyikiwa, ule mguso alioshikwa kiunoni ulimpagawisha si mchezo.

“Nimefuata kilichokuwa katikati ya mapaja,” alisema John, ili kutaka kumuonyeshea msichana huyo alichokuwa amekifuata, akaanza kuupeleka mkono kule kule.

“Subiri! Mwenzako sijawahi!” alisema Jamila, alikuwa ameshtuka, mwanaume huyo alionekana kuja kikazi zaidi.

“Najua! Na ninajua kula sahani moja na vigori kama nyie,” alisema John, akamgeuza, wakawa wanaangaliana.

Jamila akaanza kuhema kwa nguvu, alihisi kabisa damu yake ikizunguka kwa kasi kubwa mwilini mwake. Alimwangalia John, mwanaume huyo alionekana mzoefu wa mambo hayo kwani hata kwa jinsi alivyokuwa akiitembeza mikono yake mwilini, alikuwa akienda sehemu zilizokuwa zikimpagawisha mwanamke yeyote yule.

“Hizi dodo....” alisema John huku akiziangalia kwa uchungu, kama alitaka kulia vile.

“Zimefanyaje kwani?”

“Zimefanana sana...kama mapacha,” alisema John huku akiachia tabasamu.

“Unataka tufanye bafuni?”

“Kama ikiwezekana!”

“Hapana! Nenda chumbani kwako! Leo nakuja kulala na wewe,” alisema Jamila.

Ni kama John hakusikia vizuri, alimwangalia Jamila kwa kutaka kusikia zaidi kile alichoambiwa. Kwa jinsi msichana huyo alivyokuwa, halafu aende kulala naye ilionyesha kabisa usiku huo ungekuwa na maajabu mengi sana.

“Kwa nini nisikubebe twende wote?” aliuliza John.

“Wewe nenda! Nakuja!”

Haraka sana John akatoka bafuni na kuelekea chumbani. Alipofika kwenye korido macho yake yakatua kwa mama Halima aliyekuwa amesimama nje ya mlango wake, akashtuka.

“Umetoka wapi?” aliuliza mwanamke huyo.

“Bafuni!”

“Mbona hauna ndoo ya maji wala taulo?” aliuliza, kwa jinsi alivyoonekana tu, alijua mchezo uliokuwa ukiendelea.

“Mbona unaniuliza kwa ukali sana, nimekuwa baba Halima ama?” aliuliza John, naye alionekana kumaindi kwani hakuona kama ilistahili kwa mwanamke mtu mzima kama huyo kumuuliza maswali kana kwamba alikuwa mume wake.

Wakati mama Halima akijiandaa kuweka neno, ghafla Jamila akatokea na ndoo yake ya maji. Haraka sana John akaingia ndani, alijifanya kuzuga kwani kwa jinsi picha ile ilivyoonekana, huyo mama Halima alionekana kuharibu kila kitu.

Wanawake bhana! Wana wivu sana. Mama Halima alimwangalia Jamila, akajikuta akitoa msonyo mkubwa na kuingia chumbani kwake.

Jamila hakutaka kujali sana japokuwa ilimuuma mno, akaufungua mlango na kuingia ndani. Chumbani kwake, John hakutulia, alimchukia mama Halima, alijifanya kuwa kama mke wake wa ndoa na wakati yeye mwenyewe alikuwa mchepuko.

Kwa Jamila, alifika, hakutaka kuambiwa kitu chochote kile, alikuwa tayari kwa jambo lolote lakini mwisho wa siku akamishe alichokuwa akikitaka.

Alipoona ukimya umetawala, haraka sana akatoka chumbani kwake kimyakimya na kuufuata mlango wa Jamila na kuanza kuugonga kwa taratibu.

Ndani, Jamila hakuwa amelala, mwili wake ulikuwa kwenye presha kubwa mno na aliamini kama angeachwa vile basi angeweza kufa.

Aliposikia mlango ukigongwa taratibu, haraka sana akatoka kitandani na khanga yake na kwenda kuufungua, macho yake yakakutana na macho ya John.

“Vipi sasa?” aliuliza John kwa sauti ya chini kabisa.

“Huyo mwanamke ni demu wako?” aliuliza Jamila.

“Hapana! Alikuwa ananitaka, nikamkataa...”

“Kwa nini usimkubali uwe naye kuliko kuwa ananisonya tu?”

“Ameolewa! Mimi ninatafuta mwanamke wa kuoa sasa hivi..” alisema John.

“Sawa. Kalale! Usiku mwema!” alisema Jamila na kuufunga mlango.

John hakuamini kama kweli Jamila aliufunga mlango na kurudi ndani. Alichanganyikiwa, alikuwa na hamu naye, alibaki pale mlangoni na kusimama huku akijuta kutembea na mama Halima.

Aliufuata mlango wa mwanamke huyo na kusimama, alitamani auvunje, aingie ndani na kumshambulia kwa ngumi kwani kile alichokuwa amemkosesha siku hiyo kilikuwa ni kitu kikubwa sana.

Akaamua kurudi chumbani kwake, hakukulalika hata kidogo, alitamani arudi tena na kwenda kumgongea Jamila kwani hakuhisi kama alitakiwa kuachwa kwenye hali kama ile.

“Hapa lazima sabuni ihusike, haiwezekani nilale kwenye hali hii, tena mpaka asubuhi! Haiwezekani,” alijisema.

Wakati akifikiria hayo, chumbani Jamila alishindwa kabisa kulala, alisikia vitu kama vijidudu fulani vikimtembelea mwilini mwake, vilikwenda mpaka katikati ya mapaja yake na kumuacha kwenye hali ya hatari mno.

Akasimama! Asingeweza kuvumilia, ilikuwa ni lazima afanye kila liwezekanalo kuhakikisha anakwenda kulala na John, haraka sana akasimama na kwenda mlangoni, akaufungua na kutoka kimyakimya na kuufuata mlango wa John, alipotaka kuugonga tu, mlango ukafunguliwa, John akatokea akiwa na kopo la maji na sabuni, alitaka kwenda kujimaliza mwenyewe.

“Vipi tena?” aliuliza Jamila, hakujua matumizi mengine ya sabuni, matumizi ambayo aliyajua kutokana na umri wake ni kuoshea vyombo, kufulia na kuogea tu.

“Nilitaka kwenda kuoga!” alijibu John.

“Na kopo moja?”

“Nilishatanguliza ndoo ya maji! Vipi tena?”

“Si nilikwambia nataka nije kulala kwako!” Alisema Jamila, akamsukuma John kwa ndani na kuingia.

John alihisi kama anaota vile, hakuamini kama kweli msichana huyo aliamua kwenda kumtunuku chumbani kwake.

Alimwangalia! Jamila alikuwa mkali siyo poa, demu alivutia kwa macho, dodo zake ilisimama dede, alionekana kama kuzaliwa jana.

Chumbani humo Jamila hakujua kitu chochote kile, hakujua mwanaume alikuwa anapagawishwa vipi, alishikwa wapi, hilo halikuwa tatizo kwa sababu alikuwa na fundi wa mambo kama hayo humo chumbani.

John akamtuliza kitandani. Jamila alikuwa mpole kama kondoo aliyetaka kuchinjwa. Alimwangalia John ambaye alivua pensi yake na kubaki na boksa tu.

Mwili wa Jamila ulikuwa ukitetemeka, aliposhikwa, alihisi kama amepigwa na shoti ya umeme, akalazwa kitandani na khanga ile kutolewa, akabaki mtupu kama alivyotoka tumboni mwa mama yake.

“Naogopaaaa...” alisema Jamila huku akitetemeka.

“Wala usiogpe, nitafanya taratibuuuuuuu....”

“Naogopa kuumia...”

“Wala hutoumia! Yaani itakuwa taratibu sanaaaaa...” alisema John.

Hakutaka kulemba, alijiona kama anachelewa. Alijua kabisa mtoto huyo hakuwa amewahi kufanya mchezo huo hivyo ilitakiwa kuwa na ufundi fulani hivi wa kuweka kummaliza palepale kitandani.

Kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuzichanganya hizo dodo. Alianza moja baada ya nyingine, mdomo wake ulikuwa kwenye dodo lakini mikono yake ilikuwa ikitalii maeneo mengine.

Jamila alikuwa akilalamika kitandani pale, alihisi kabisa kulikuwa na hali ambayo hakuwahi kuisikia tangu kuzaliwa kwake, utamu si utamu, raha si raha, yaani hali nyingine kabisa.

John alifanya utundu wake wa kwenda huku na kule kwa dakika kumi nzima, hata taa hakutaka kuzima kwani kama ni damu, alitaka kuziona kwa macho yake.

Baada ya kumaliza, akaanza shughuli yenyewe. Jamila alikuwa akilalamika kimahaba muda wote, tena kwa sauti kiasi kwamba wakati mwingine John alikuwa akimsiba kwa mdomo wake.

Shughuli ilipoanza tu, Jamila alihisi maumivu makali chini ya kitovu, akahisi kama maji fulani yalikuwa yakitoka, alipoangalia, zilikuwa damu, zilimtisha lakini John alimpoza kwa kumwambia sasa alikomaa.

“Usilie! Sasa hapa ndiyo umekuwa mkubwa! Subiri tumalizie...” alisema John.

Kwa dakika chache, Jamila hakusikia raha, ilikuwa ni maumivu, alikuwa akilia huku akitaka kumtoa John juu yake, lakini mwanaume huyo hakutoka.

Ni ndani ya muda fulani, akajikuta maumivu yakipotea na kuanza kusikia raha. Hapo alichanganyikiwa, akamvutia John kwake, hakutaka kumuona akitoka, kama aliambiwa kufanya tendo lile na mwanaume ilikuwa raha basi ndiyo ambayo alikuwa akiisikia wakati huo.

John hakuwa mnyonge, alijua kumdatisha mwanamke, wakati akiendelea kupiga pushapu, mikono yake iliendelea kutalii sehemu nyingine za mwili wa msichana huyo kiasi kwamba alichanganyikiwa zaidi.

Ulikuwa ni mchezo wa saa moja tu, Jamila akabaki hoi, alijiridhisha na yeye mwenyewe, alikuwa hoi kabisa, hiyo ndiyo ilikuwa furaha ya John.

Wakati hayo yalipokuwa yakiendelea kumbe mama Halima alitoka chumbani kwake na kwenda mlangoni mwa John na kuanza kusikiliza.

Kwa jinsi alivyosikia miguno ile, alijua dhahiri alikuwa Jamila, moyo wake ulimchoma mno, yale mapenzi motomoto aliyokuwa ameyapata kwa kijana huyo mwenye umri wa miaka ishirini na nne ndiyo ambayo alikuwa akipewa mtu mwingine, tena kasichana kadogo, kwake ilionekana kama dharau.

“Yaani anampa ule utamu na mtoto mwingine? Haiwezekani! Ni lazima nitawaharibia,” alijisemea mwanamke huyo na kurudi chumbani, hakulala, alikesha kama popo huku moyo ukimuuma kupita kawaida.



Saa kumi na moja asubuhi, haraka sana Jamila akaamka na kumwangalia John, mwanaume huyo siku hiyo alimfurahisha kupita kawaida. Tabasamu lilikuwa usoni mwake huku akionekana kuwa na furaha tele.

Usiku uliopita ulikuwa na maajabu yake, kulikuwa na mambo mengi yaliyotokea ambayo yalimfanya msichana huyo kufurahia.

Hakutaka kubaki chumbani hapo, haraka sana akainuka na kuufuata mlango, akaufungua kwa machale, alipoona hakuna mtu yeyote ukumbini akatoka na kuelekea chumbani kwake.

Moyo wake ulikuwa na furaha tele, alijiona kuwa msichana aliyekamilika, usichana aliokuwanao uliondolewa na mwanaume aliyegundua alikuwa na utamu wa aina yake kwa sababu tu marafiki zake walikuwa wakimsifia.

Ilipofika majira ya saa mbili asubuhi, John akaamka, kitu cha kwanza kilikuwa ni kumtafuta Jamila kitandani. Hakuwepo! Akayafumbua macho yake mazito na kuanza kuangalia huku na kule, hakumuona.

Aligundua aliondoka kuelekea chumbani kwake. Hakutaka kuwa na presha, hiyo ilikuwa siku ya kwanza, na mara ya kwanza na aliamini angerudi na kufanya zaidi na zaidi.

Akaelekea bafuni kuoga. Alipofika huko, akasikia kuna mtu akimalizia kuoga, akasubiri, baada ya dakika kama moja hivi, mlango ukafunguliwa na mama Halima kutoka.

“Mshenzi mkubwa! Mwanaizaya wewe...” alisema mama Halima huku akimwangalia John.

“Ila na wewe ulikuwa na utamu wako!” alisema John, naye akaamua kumzingua kwani aliona kama anaonewa yeye tu.

“Kwa hiyo usiku mzima ukakibenjua kile kitoto?” aliuliza mama Halima huku akionekana kuwa na wivu mkubwa.

“Zaidi ya nilivyokubinja wewe...”

“Ndiyo unaniringishia!”

“Hayakuhusu!”

“Nitamwambia baba yake!”

“Kamwambie!”

“Mpumbavu mkubwa!”

“Na ukikaa vibaya, Halima akikua, naye nambinjua,” alisema John huku akitoa tabasamu, mama Halima akakasirika na kuelekea chumbani kwake.

John alijimwagia harakaharaka, akatoka, alipofika chumbani na kutulia, akachukua simu yake na mtu wa kwanza kuhitaji kuwasiliana naye alikuwa Hadija.

“Hadija! Mambo vipi?” alisalimia John huko inbox.

“Poa! Niaje baba watoto!”

“Safi! Tanga wanasemaje?”

“Nadhani wako vizuri kabisa.”

“Kwani haupo Tanga?”

“Sipo! Nimekuja Dar mara moja,” alisema Halima.

John hakuamini alichokiona, haraka sana akainuka na kukaa kitako, meseji iliyokuwa imeingia ilimchanganya kishenzi.

Yaani Hadija awe Dar! Alitamani kumuona na hata kumsafiria huko lakini hakuwa na muda, sasa msichana huyo akawa amejileta mwenyewe, yaani kaja Dar, halafu anamwachaje kwa mfano?

Hakutaka kukubali, ilikuwa ni lazima kufanya mchakati kuhakikisha anamla msichana huyo. Alikumbuka jinsi alivyokuwa akimpenda, alivyotamanisha, jinsi alivyovimba kwa nyuma, ilikuwa ni lazima afanye kila liwezekanalo kuhakikisha anaingia mikononi mwake.

“Acha masihara! Upo Dar?” aliuliza John.

“Ndiyo!”

“Kwa nini hukuniambia?”

“Nilisahau! Hapa kwenyewe nimekuja mara moja, kesho naondoka!”

“Unasemaje?”

“Kesho naondoka!” aliandika msichana huyo.

John akaangalia saa yake, ilikuwa ni lazima afanye kila liwezekanalo kuhakikisha anamrukia msichana huyo haraka sana.

Aliyakumbuka majigambo yake, kwamba hakuwa wa kuingilika, jinsi lile umbo lake la nyuma alivyokuwa akitamba nalo na kusema hakukuwa na mwanaume ambaye angeweza kumfikisha alipokuwa akienda.

“Nipo Tabata Shule,” alisema Hadija.

“Naomba nije nikuone!”

“Mmh! Sijui kama itawezekana!”

“Ushaanza mapozi na wewe. Yaani Hadija bhana, hata kuja kukuona napo hutaki....” aliandika John na kuanza kucheka kama kawaida take.

Alijua msichana huyo hakuwa akimaanisha, ilikuwa ni lazima amwambie aende na kumuona kama alivyotaka. Hilo ndilo lililotokea, msichana huyo alimzingua lakini mwisho wa siku akamwambia aende, amuone mara moja kwani alikuwa na mambo mengi ya kufanya.

John hakutaka kuchelewa, haraka sana akainuka na kuanza kuvaa nguo zake, ilikuwa ni lazima aondoke kuelekea Tabata kwenda kumuona msichana huyo.

Kwenye vitu vyote alivyokuwa akiviamini basi lilikuwa gari lake.

Hakuona kama kungekuwa na msichana angetoka kama tu angeona akiwa na gari, huo ulikuwa ni uchawi wa aina yake, kama uchawi wa jadi ulikuwa chipsi kuku, basi Mzungu aliamua kuuleta uchawi wake ambao uliwakamatisha wadada wengi.

Aliondoka na gari lake, alihakikisha amenyunyizia unyunyu ndani ya gari hilo, akiwa njiani Hadija akampigia simu, alichokifanya ni kumtumia meseji kwamba alikuwa akiendesha hivyo hakutakiwa kuongea kwa simu.

“Unaendesha! Kumbe lile gari lako kweli?” aliuliza Hadija.

“Yaap! Nafika soon hapo Shule,” alisema John.

Kwa jinsi msichana huyo alivyokuwa amemzingua, alitamani kupiga shoo moja ya kibabe yaani hata akienda Tanga, amkumbuke usiku kucha.

Akafika shule bwana! Kucheki huku na kule macho yake yakatua kwa msichana mmoja aliyekuwa amesimama kwenye uwanja wa shule aliyoambiwa aende.

Kwa mbali, kwa jinsi alivyoonekana, alihisi alikuwa Hadija kwani kama ni mzigo, alikuwa nao, alikuwa mweupe kama alivyokuwa.

Akaenda na kulipaki gari lake sehemu na kuanza kumsogelea msichana yule huku akitabasamu. Alipofika kwa karibu, akagundua hakuwa Hadija kama alivyotegemea.

“Ooh! Samahani dada nimekufananisha...” alisema John huku akichia tabasamu, dada yule alikuwa akimwangalia kwa mshangao tu.

“Umenifananisha na wifi?”

“Hapana! Kuna rafiki yangu nimekuja kumcheki mara moja, nafanya naye biashara ya kuchuna ngozi za watu,” alisema John huku akitoa tabasamu lililoonyesha alikuwa akitania.

“Hahaha! Aya kwa hiyo unataka kunichuna na mimi?” aliuliza msichana huyo.

“Ikiwezekana kabisa. Ila umependeza! Hongera sana!” alisema John, akamsahau Hadija, akaanza kushoboka na huyo sasa.

“Sasa hapa nimependeza nini?”

“Umependeza sema hujioni! Na Mungu alivyokuwa na makusudi ya kutupa majaribu, akakupa na huo mgongo! Yaani tangu nilipokuwa kwenye gari langu, nikawa najiuliza yule malaika gani? Kwani kuna malaika wa kike aliyeumbwa...kusogea karibu kumbe wewe..” alisema John na kuanza kuchaka.

“Hahah! Wewe kaka bwana!”

“Unaishi mitaa hii?”

“Yaap!”

“Nakuona ulisimama muda mrefu...unataka kuingia darasani kusoma?” aliuliza John, muda wote alikuwa mtu wa utani.

“Hahaha! Unanichekesha. Namsubiri shoga yangu...huyo hapo anakuja,” alisema msichana huyo, John akageuza macho kumwangalia huyo shoga yake.

Aisee! Hapo ndiyo aliona kwa nini ndege waliokuwa wakifanana walikuwa wakiruka pamoja. Kama alivyokuwa msichana huyo, hata huyo rafiki yake alikuwa vilevile.

Mpemba fulani hivi, alikuwa na hipsi, na kwa jinsi alivyokuwa akionekana kwa mbele, ilionyesha hata kwa nyuma naye alikuwa na furushi kama huyo.

“Oh! Ila ningependa japo niwe nawasiliana nawe kama hutojali,” alisema John.

“Mh! Namuogopa wifi..”

“Wifi gani tena jamani!”

“Unataka kunidanganya upo singo?”

“Kabisa yaani!”

“Mh!”

“Naomba namba yako! Nakuomba!”

“Nikupe namba yangu ya nini?”

“Nikasafishie choo changu!”

“Hahaha! Wewe mwanaume wewe! Una maneno!”

“Chukua simu yangu uniandikie!” alisema John, hapohapo akatoa simu yake na kumpa msichana huyo.

Akaichukua na kuanza kuiandika. Akampa simu yake na rafiki yake naye akafika mahali hapo na kuanza kumtambulisha.

“Huyu rafiki yangu...hata jina lake simjui...” alisema msichana huyo.

“Naitwa John!” alisema John huku akimpa mkono msichana huyo, mkono wake ulikuwa lainiiiiiii.

“Naitwa Vanesa.”

“Na rafiki yangu?”

“Hahah! Hukuniuliza muda wote! Naitwa Ashura!” alijibu.

“Ooh! Sawa. Naomba niwasindikize basi,” alisema John.

“Sisi tunafika hapo mbele...”

“Si nawapeleka kwa usafiri wangu jamani”

“Una usafiri?” aliuliza Vanesa.

“Yaap! Ule pale. Twendeni marafiki zangu wapya.”

“Hapana! Tunapokwenda gari halifiki,” alisema Ashura.

“Mh! Aya haina shida. Basi hii itawasaidia hata kuweka vocha,” alisema John huku akitoa elfu kumi na kuwapa. Wasichana hao wakachukua na kumuaga.

Moyo wa John ukafurahi, alijisifu kwamba aliwaweza mno na kwa jinsi walivyokuwa aliona kabisa kulikuwa na urahisi wa kuwachukua wote wawili.

Akalifikia gari lake, akaingia na kuondoka mahali hapo huku kichwa chake kikiwafikiria wasichana wale aliokuwa amekutana nao. Alipofika Tabata Bima, akasikia mlio wa meseji, akaichukua simu yake na kuanza kuisoma.

“Umefika wapi?” alikuwa Hadija.

“Mungu wangu! Kumbe nilikuwa nimemfuata huyu demu!” John alisema kwa mshtuko, baada ya kukutana na wale wanawake, alisahau kabisa kama alikuwa na miadi na Hadija.

“Nilikwama kwenye foleni. Nakuja...” alisema John.

Hakutaka kuchelewa, akageuza na kuanza kurudi palepale shuleni, alipofika, akakutana na huyo Hadija sana.

Alikuwa bonge la demu, japokuwa alikuwa na mwili mkubwa lakini ulimegeka kupita kawaida, alivalia gauni fupi jekundu na kuyafanya mapaja yake kuonekana vilivyo.

John akasimama, hakuamini kama yule msichana aliyekuwa akiwasiliana naye alikuwa huyo. Alikuwa na picha zake nyingi lakini alionekana kuwa tofauti kabisa.

Ule mgongo wake, ulikuwa ni zaidi ya ule uliokuwa ukionekana kwenye zile picha, akatabasamu na kumsogelea, akamkumbatia.

“Hakika wewe ni demu mkali sijawahi kuona tangu nizaliwe,” alisema John huku akiwa amekumbatiana na msichana huyo.

“Hebu niondolee ujinga wako,” alisema Hadija huku akicheka, hawakuacha kukumbatiana.

“Mwili wako una joto la ajabu sana. Nguo yako ya ndani inanisisimua sana. Hadija, naomba twende sehemu tukakae, tuzungumze kidogo,” alisema John.

“Hapana! Nataka kuwahi!”

“Nitakuwahisha! Wala usijali!” alisema John.

“Mh!”

“Hadija! Hapa nazigusa shanga...umevaa ngapi?”

“Hebu niache huko!” alisema Hadija huku akiendelea kucheka, hata kumtoa John kifuani mwake hakutaka.

“Niambie tu! Au nizihesabu?”

“Huoni watu?”

“Sasa unaogopa watu?”

“Weee...mimi si wahivyo”

“Ila nataka nizihesabu...naomba nizihesabu...”

“Nimesema hapa kuna watu...”

“Basi twende sehemu isiyo na watu! Tuingie kwenye gari, nakuhakikishia hutochelewa.” Alisema John.

Aliongea kama utani huku akiwa amekumbatiana na msichana huyo. Sijui Hadija aliingiwa na nini, alikuwa na uhakika asingeweza kumkubalia John ila akajikuta akianza kuelekea naye ndani ya gari.

John hakuamini kile alichokuwa akikiona, alimwangalia Hadija, alianza kumvutia picha jinsi alivyokuwa na muonekano wa ajabu kitandani. Hicho ndiho kipindi alichotamanai awe superman, yaani apae na kujikuta akiwa chumbani na msichana huyo.

Wakaingia ndani ya gari! Macho ya John yalikuwa yakimwangalia Hadija tu, ule upaja wake, John hakuamini kama siku hiyo alikuwa akienda kuingia katikati ya mapaja ya msichana huyo.

“Ila sitaki kuchelewa...” alisema Hadija.

“Usijali!”

Ni ndani ya dakika kadhaa, gari likafika katika lodge moja, wakateremka na kuelekea ndani. Wakachukua chumba na kuingia.

Humo ndani! John hakuwa na presha, alikwishazoea kuwa na watoto wakali chumbani, wenye mizigo kama hao hivyo hakutaka kupata naye tabu.

“Naaomba nizione...” alisema John, hapohapo akaanza kulipandisha gauni la Hadija mpaka juu.

Macho yakamtoka, aliutika na msichana huyo, alikuwa mweupe na aliyenona kama Maggie...alivalia nguo ya ndani ya rangi ya dhambarau, nzuri iliyokuwa na maneno madogo katikati ‘eat me’.

“Daah! Eat me...” alisema John huku akisoma ile nguo.

“Hahaha!”

“I have to eat you,” alisema na kuanza kuitoa, kwa kuonyeshea ushirikiano mkuba, Hadija akakipandisha kiuno kwa juu kidogo ili iweze kutolewa kirahisi kabisa.

Hapo ndipo John alipoanza mbwembwe zake, hakuamini kama kweli siku hiyo alikuwa na msichana huyo chumbani.

Alimfanya alivyotaka, wakati mwingine alimgeuza na kumwangalia kwa nyuma, kwa jinsi kulivyokuwa kukienda huku na kule, kumlimpa mzuka wa kufanya zaidi na zaidi.

“Joh...naomba tupumzike...” alisema Hadija baada ya mikikimikiki ya saa moja.

“Utapumzika nyumbani....mimi bado kabisa..” alisema John.

“Utaniua ujue...”

“Siwezi! Mimi mwanaume wa Dar...au hukumbuki mnavyotuitaga...”

“Hapana John...”

“Subiri kwanza...” alisema John huku akionekana kuwa bize kana kwamba kulikuwa na kitu alikihifadhi ndani ya mwili wa msichana huyo na ndiyo alikuwa akikitafuta.

Hadija alikaa mitindo yote, alipiga kelele zote lakini John hakutaka kumuacha, ni kama alimuwia kwani alikuwa na hasira naye kupita kawaida.

Huyo Hadija naye hakutaka kuonyesha unyonge, alijua kukatika, alijua kununua ice cream na kuiingiza mdomoni mwake, alijua kumfanyia mtu masaji, alijua kucheza michezo yote ya hatari lakini John hakuonekana kuchoka hata kidogo.

“John...yaani two in one...hujachoka?” aliuliza Hadija, alionekana kuchoka mno.

“Bado kabisa....nataka five in one...kama tamthilia za Kikorea...” alisema John huku akiendelea kumuonyeshea ufundi mkubwa msichana huyo kiasi kwamba wakati mwingine alihisi kama kulikuwa na jiko la moto liliwekwa katikati ya mapaja yake jinsi kulivyokuwa kukiwaka moto.





Zile mbwembwe zote alizokuwa akizifanya John kwenye kundi la Whatsapp alimaanisha kwani Hadija aliona kabisa angeweza kufa siku hiyo.

Ilikuwa si mchezo, kama mechi ilitakiwa kupigwa dakika tisini, basi ziliongezwa nyingine na kipute kuchezwa kwa dakika mia moja na ishirini.

Hadija alichoka, alihisi viungo vyake vyote vinauma na kubaki akimwangalia John akiendelea kufanya utundu wake kwenye ule mwili kana kwamba alificha kitu ndiyo alikuwa akikitafuta.

Baada ya kubaki kwa dakika nyingi, John akajilaza kitandani huku akihema juu juu, alichoka, alihisi kabisa roho yake ingeweza kuacha mwili muda wowote ule.

“Hadija! Umeona kazi ya mwanaume wa Dar ninayeshindia chipsi?” aliuliza John huku akimwangalia Hadija aliyekuwa hana hamu hata kidogo.

“Wewe si mwanaume wa Dar, wewe mkulima kabisa,” alisema Hadija na wote kuanza kucheka.

“Ila hujanionyeshea ufundi wako mkubwa, yule mwanamke wa Tanga sijamuona leo, sijui ulikuwa unaniogopa,” alisema John.

“Sikupata muda huo sana, wewe ulikuwa na haraka, halafu mwanaume ulikuwa huchoki kama farasi,” alisema Hadija.

“Ila...mh! hilo nundu...si mchezo,” alisema John huku akiupeleka mkono wake katika kiuno cha Hadija na kushuka chini kidogo.

Waliongea sana, walitumia muda kama wa saa moja na nusu na ndipo wakainuka, wakaelekea bafuni ambapo wakaoga na kuondoka zao mahali hapo huku kila mmoja akiwa ameridhika na mwenzake.

John alimaliza kazi yake, alichokuwa akikihitaji kwa Hadija, alikipata na muda huo ulikuwa ni wa kudili na warembo wengine.

Alimkumbuka Penina, msichana yule aliendelea kuwa kwenye kichwa chake, alitamani ampate, amkimbize kitandani mpaka asiwe na hamu naye tena.

Akaichukua simu yake na kutaka kumpigia, alipokiangalia kioo, akakuta missed calls tatu kutoka kwa namba moja, tena namba hiyohiyo ilimtumia meseji, hakujua alikuwa nani, haraka sana akaifungua kwani kilipita kipindi kirefu hakuwa ameshika simu.

“Shemeji mambo...” ulisomeka ujumbe huo.

John akashtuka, kwanza akili yake ikaanza kuwafikiria mademu wote, hakuwahi kutambulishwa kwa marafiki zake, akahisi inawezekana alikuwa yule msichana aliyekuwa amekutana naye uwanjani, sasa yule rafiki yake ndiye aliyekuwa amemtumia meseji hiyo, akaamua kuijibu.

“Ni poa sana. Nani mwenzangu?” aliuliza.

“Nasria...”

“Wa wapi? Naomba nikumbushe!” aliuliza John, jina halikuwa geni, alikumbuka alilisikia hivi karibuni ila hakujua ilikuwa wapi.

“Wa Jangwani Sea Breez...”

“Rafiki yake Penina?”

“Ndiyo!”

“Mh! Alikupa namba yangu?”

“Hapana! Niliiba, naomba usimwambie,” aliandika msichana huyo.

Sasa kwa mtu kama John angewezaje kumwambia Penina kwamba aliwasiliana na rafiki yake, yaani yeye ndiye ambaye alitakiwa kumwambia Nasria kwamba hakutakiwa kumwambia Penina kama aliwasiliana naye.

Wakaanza kuchati, kwa jinsi msichana yule alivyokuwa akisemasema maneno yake, ilionyesha kabisa kulikuwa na jambo kubwa alilokuwa akilitaka, na lilikuwa ndani ya uwezo wa John, hivyo angempa vilivyo.

Hakutaka kuwasiliana naye kwa meseji tu, alichokifanya ni kumpigia kabisa na kuanza kuzungumza naye. Kwa jinsi alivyosikika, sauti yake ilikuwa ni ya Kiarabu iliyomfanya John kuchanganyikiwa zaidi.

“Kumbe ndiye yule Mwarabu?” aliuliza John.

“Ndiyo! Sasa ulinisahau?”

“Nyie mlikuwa wengi sana, halafu wote wazuri...” alisema John.

“Hahaha! Hivi upo vipi na Penina?”

“Ni mshikaji wangu, tena wa damu!”

“Mmh!”

“Unaguna nini sasa?”

“Mbona alikataa kutupa namba yako ya simu?” aliuliza Nasria.

“Labda alihisi mngeniharibu bikira mimi,” alijibu John.

“Hahaha! Eti bikira wewe...”

“Sasa ushaanza kubisha!”

“Mkubwa mzima hivyo?”

“Kwani kuna ajabu katika hilo! Hata kukiss sijui! Au unifundishe...”

“Eti nikufundishe...”

“Kwani huwezi?”

“Mh!”

“Niambie...huwezi?”

“Siwezi kwa kweli...”

“Hebu jiamini bhana! Kwanza upo wapi?”

“Nipo nyumbani?”

“Wapi? Mbezi Beach, Osterbay, Mikocheni ama Masaki?” aliuliza John.

“Manzese kwa mfuga mbwa...”

“Hahaha! Mtoto mzuri kama wewe kukaa kule, navua nguo na kutembea uchi hapa mpaka Mwanza...” alisema John na wote kuanza kucheka.

Waliongea mambo mengi, wakazoeana kwa kasi kubwa na baadaye kila mmoja kupumzika. John hakutaka kubaki kinyonge, akamwambia Nasria amtumie picha zake amuone vizuri, msichana huo akafanya kama alivyoambiwa, akaanza kutuma picha mpaka zile ambazo hakuombwa, picha zilizomuonyesha amevaa fulana nyepesi, imelowanishwa na maji na kufanya kifuoa chake kuonekana vilivyo.

“Nasria unaniumiza....” alisema John.

“Eti nakuumiza...pole jamaniiiii...”

“Naona muda unasoma ni saa sita mchana!”

“Hahaha! Ulidhani saa kumi na mbili?”

“Yaani umeniua kinoma, hapa nguvu zote zimeisha...”

“Pole jamani! Hivi unafanya kazi wapi?”

“Sifanyi kazi, nina biashara zangu mbalimbali hapa town...”

“Hongera sana!”

“Nashukuru! Kwa hiyo?”

“Kuhusu nini jamani?”

“Ushaniumiza ujue!”

“Sasa nifanyeje?”

“Njoo unipe dawa...”

“Mh!”

Akili yake iliruka kabisa, kile kifua cha msichana huo kilimchanganya kupita kawaida, hakutaka kumuacha, katika mambo ambayo yalikuwa yakimsumbua, la kwanza lilikuwa ni pepo la ngono.

Aliteseka, lilimuendesha si mchezo kiasi kwamba wakati mwingine alihisi kama angeweza kubaka mbuzi. Alizungumza na msichana huyo mpaka usiku, wakaendelea na mazungumzo na haraka sana akaomba kuonana naye.

“Wapi?”

“Hata nyumbani kwangu!”

“Sijawahi kwenda kwa mwanaume, na sitowahi...” alisema msichana huyo.

“Basi tuonanie Sinza....kuna sehemu tutakaa na kuongea...”

“Hapo sawa.”

John akakenua, kwake, kukubali kuonana naye lilikuwa kosa kubwa. Kuonana huko ilikuwa ni sawa na kuonania nyumbani kwake, kwani angempeleka hata baa iliyokuwa na vyumba, wapige stori na mwisho wa siku amwambie wachukue chumba na kwenda kupumzika ndani.

“Ngoja nimpeleke Aspinho Bar, pale kuna vyumba, nitaingia naye...hawa watu wenye ngozi ya Mtume siwezi kuiacha inipite, hawa watoto wa Kiarabu ndiyo ugonjwa wangu mie...” alisema John, akazima simu na kulala zake.




MWISHO





0 comments:

Post a Comment

Blog