Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

MUATHIRIKA WA NGONO

 

MTUNZI: NYEMO CHILONGANI 



“Johnson! Naomba unisikilize, nisikilize kwanza,” alisema msichana mmoja, mrembo ambaye kwa kumwangalia, usingekuwa na maswali mengi kwamba alikuwa mmoja wa wasichana ambao baadaye wangeweza kutikisa sana nchini Tanzania.

“Nakusikiliza! Niambie! Mbona unaonekana hivyo Bhoke?” aliuliza mwanaume huyo aliyeitwa kwa jina la Johnson.

“Mama yangu anakufa!” alisema Bhoke huku machozi yakianza kumtoka.

Aliongea kwa uchungu, alionekana kuwa mtu ambaye aliumizwa na kile kilichokuwa kikiendelea. Kuumwa kwa mama yake kulimfanya kukosa amani, furaha aliyokuwanayo kipindi cha nyuma ikaondoka kabisa moyoni mwake.

Macho yake yalikuwa mekundu huku machozi yakiendelea kutiririka mashavuni mwake, picha ya mama yake akiwa kitandani huku akiugua ugonjwa wa kansa ya koo ilimtesa kiasi cha kuona giza mbele yake.

Johnson alimwangalia Bhoke, alimpenda msichana huyo, alikuwa mzuri wa sura, mchanganyiko wa rangi ulioonyesha kwamba alichanganya rangi za wazazi wake, baba yake alikuwa Mzungu, Mjerumani aliyekuwa akiishi jijini Berlin na mama yake alikuwa Mswahili, Mtanzania kabila la Kizigua.

Alikuwa na nywele nyingi, umbo lake lilimvutia kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia, alikuwa na macho ya kuita na kifua chake kilisimama hasa. Alikuwa na kiwowowo cha kizushi ambacho kilimtoa udenda kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia. Uzuri wake ulionekana maradufu, haikujalisha kama alikuwa akicheka, akilia au kukasirika.

Hapo alipokuwa akiishi, maeneo ya Magomeni Mapipa alijulikana zaidi kwa jina la Cleopatra. Watu walimuita jina hilo kutoka kwa malikia wa Misri miaka ya nyumba ambaye inasemekana alikuwa mrembo kuliko mwanamke yeyote aliyewahi kuumbwa katika dunia hii.

Alikuwa na miaka kumi na mbili tu lakini pamoja na udogo wake wa umri tayari watu walimtabiria makubwa kwamba kuna siku angeweza kutikisa sana Tanzania, watu wangemjua kwa sababu tu alikuwa na uzuri ambao ulikuwa ni vigumu kuonekana kwa wasichana wengine Tanzania.

Alisimama mbele ya kijana Johnson aliyekuwa na miaka kumi na sita. Alikuwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya St. Joseph iliyokuwa jijini Dar es Salaam. Alitoka kwenye familia iliyokuwa na uwezo mkubwa kifedha ambapo baba yake alikuwa mfanyabiashara mkubwa aliyekuwa akimiliki vituo vya mafuta.

Wawili hao walikutana katika mtaa huo, walizoeana kwa kipindi kirefu, Johnson alitokea kumpenda mno Bhoke kwa kuwa alikuwa mrembo wa sura, mpole na aliyezungumza kwa taratibu sana.

Kila siku alipokuwa akimwangalia msichana huyo, moyo wake ulimwambia kwamba ndiye mtu pekee ambaye alistahili kuuteka moyo wake na kuufanya alivyotaka kufanya.

Maisha ya Bhoke ambaye alikuwa akiishi na mama yake hakuyapenda, yalikuwa ni maisha ya kimasikini mno, kila alipomwangalia msichana huyo moyo wake ulimwambia kulikuwa na kitu alichotakiwa kumfanyia, kumbadilisha maisha yake na kuishi katika ulimwengu wa kitajiri.

Alikuwa akiishi na wazazi wake, hakuwa na pesa nyingi lakini kwa kile kidogo alichokuwa akikipata ndicho alichomsaidia msichana huyo katika kipindi ambacho mama yake alikuwa akiumwa kitandani.

Mama yake aliitwa Aisha! Alikuwa mwanamke mrembo, ujanani mwake alitikisa kila kona, watu walimpenda sana lakini kutokana na maisha mazuri aliyokuwa akitamani sana kuishi, akaamua kuanza kujiuza.

Alijiuza kila kona ndani ya Jiji la Dar es Salaam, alipendwa kwa kuwa tu alikuwa na utundu wa ajabu kitandani. Alijifunza mengi kipindi kile alichokuwa akichezwa, hakuwa mtu wa masihara, kitandani alitoa ushirikiano mkubwa kiasi kwamba kila mwanaume akahitaji huduma yake na hivyo kuendelea kupiga pesa kama kawaida.

Ngono ndiyo iliyoendesha maisha yake, alikuwa mtu wa kwenda klabu, huko alitafuta mabwana na kutengeneza kiasi kikubwa cha pesa. Kichwa cha Aisha kilifikiria starehe na ngono, alijidanganya kwamba uzuri wake ungedumu milele, wanaume wangeendelea kumnyenyekea kama walivyokuwa wakifanya kitu ambacho hakikuwa kweli kabisa.

Kwa miaka kumi ya kujiuza, alitengeneza zaidi ya milioni tisini lakini kitu cha ajabu kabisa bado alikuwa amepanga, aliyaendesha maisha yake katika chumba kidogo mpaka pale alipokutana na mwanaume aliyeitwa kwa jina la Carthbert Curry.

Huyu alikuwa Mjerumani aliyekuwa akiishi katika Jiji la Berlin. Alikuwa mmoja wa watu waliokuwa na mafanikio makubwa nchini humo, alikuwa na kampuni nyingi ambazo zilimuingizia kiasi kikubwa cha pesa.

Alijishughulisha sana na mambo ya madini, alikuwa akisafiri kwenda nchini Tanzania ambapo huko alikuwa na kampuni yake ya kuchimba madini. Katika kipindi alichokuwa akifanya safari zake kuelekea huko ndipo alipokutana na Aisha.

Alipomuona, hakuamini macho yake, alihisi kama alikuwa ndotoni, alimwangalia, uzuri aliokuwanao msichana huyo ulimchanganya mno akil yake.

Alikuwa na safari ya kuelekea Geita siku inayofuata lakini hakutaka kwenda, kitu alichokihitaji muda huo ni kuzungumza na Aisha, amwambia jinsi alivyompenda na kwenda kulala naye kitanda kimoja.

Aisha alijua kujiweka katika mazingira ya usafi, mwili wake ulikuwa na ushawishi mkubwa. Ilikuwa ni vigumu kugundua kama msichana huyo alikuwa akijiuza, alikuwa mpole mno, hakuwa muongeaji na kubwa zaidi alikuwa mtu wa aibu sana.

“How are you miss,” (habari yako mrembo) alimsalimia Curry mara baada ya kumfikia msichana huyo.

Aisha akayainua macho yake na kumwangalia mwanaume huyo, moyo wake ukapigwa na mshtuko lakini hakutaka kuuonyesha, akaachia tabasamu kali ambalo lilikuwa silaha yake kubwa kwa wanaume wengi, kisha akainama chini na kujifanya kuwa mtu mwenye aibu mno.

“I’m good,” (nipo poa) alisema na kukaa kimya.

Kwa sababu katika meza hiyo kulikuwa na viti viwili, kimoja akakichukua Curry na kukikalia. Huo ulikuwa mtego wa msichana huyo, kiti kile hakikuwekwa kwa bahati mbaya, kilikuwa na kazi yake, moja ndiyo hiyo ambayo Johnson alihitaji kuifanya.

Kwa mbwembwe, mwanaume huyo akaanza kujisifia, aliamini ili kumpata Aisha, kwa jinsi alivyokuwa mrembo wa sura ilikuwa ni lazima uanze kujisifia kwamba una pesa, una biashara nyingi na mambo mengine.

Wakati akiendelea kujisifia Aisha alikuwa akimsikiliza tu, kuna wakati alikuwa akicheka, akitabasamu na hata kujifanya kujishtuka, yote hayo aliyafanya kwa kuwa alihitaji kuziteka hisia za mwanaume huyo.

“Tangu nizaliwe nimeona wanawake wengi sana,” alisema Curry huku akimuita mhudumu na kumuagiza pombe kali.

“Ooh! Hongera kwa macho yako makali!” alisema Aisha na kuangalia chini.

“Ila sijawahi kumuona mwanamke mrembo kama wewe,” alisema Curry.

“Kweli?”

“Ndiyo!”

“Nashukuru sana!” alisema Aisha.

Curry akanyamaza, alichanganyikiwa, alihitaji kulala na mwanamke huyo ila hakujua ni kwa jinsi gani angeanza. Alimwangalia kwa makini huku akijaribu kumsoma, naye Aisha alijifanya kuwa mgumu, haingiliki kirahisi hata kidogo, alijipanga kupangua mashambulizi kwani kwa kufanya hivyo aiamini mwanaume huyo angeendelea kuongeza dau.

“Naomba nikalale nawe leo,” alisema Curry huku akimwangalia Aisha.

Msichana huyo akajifanya kushtuka, akayainua macho yake na kumwangalia Curry, akajifanya kuwa na hasira kali, kumbe yote hayo zilikuwa ni mbinu za kuonekana kuwa mkazaji kumbe hakuwa hivyo.

Curry akashtuka, akahisi alikosea kwenda moja kwa moja kwani inawezekana kabisa Aisha hakuwa malaya aliyekuwa akijiuza na ndiyo maana alionekana kukasirika.

“Unanichukulia mimi malaya?” aliuliza Aisha kwa hasira.

“Naomba unisamehe mrembo!” alisema Curry.

“Au kwa sababu nimekukubalia kukalia hicho kiti?”

“Naomba unisamehe! Punguza sauti kidogo!” alisema mwanaume huyo huku akionekana kuogopa.

Aisha akanyamaza, Curry akaanza kumbembeleza sana, alizungumza maneno yote matamu, alimuomba msamaha mno kiasi kwamba mpaka wakati mwingine Aisha alijiona kuwa mtu bora, mwenye bahati kukutana na mwanaume aliyejua kuomba msamaha kama alivyokuwa Caurry.

Baada ya mazungumzo kama ya saa moja, wakawa marafiki na kuanza kuongea mambo mbalimbali na hata Curry alipomuomba tena kwenda kulala naye, Aisha hakuwa na jinsi, akakubali na hivyo kwenda chumbani huku ikiwa ni saa saba usiku.

Hiyo ilikuwa ni nafasi ya Aisha kuonyesha uwezo wake, alihakikisha anamchanganya mwanaume huyo kwa utundu wa kila aina. Alimvutia huku, akamuweka sawa, akamkunja, alimfanyia utundu mwingi kiasi kwamba mwanaume huyo alichanganyikiwa.

Walifanya mapenzi kwa mara ya kwanza. Aisha hakuwa na shida, alijua sindano alizochoma zingemzuia kupata mimba kumbe tayari zilikwisha muda wake, hivyo mbegu zilipoingia tu ndipo akapata ujauzito.

Kwa penzi alilokuwa amepewa, Curry alichanganyikiwa mno kiasi kwamba akamwambia Aisha kwamba piga ua asingeweza kumuacha katika maisha yake yote, kwani pamoja na uzuri wake, kwenye sita kwa sita alikuwa balaa.

“Nashukuru!”

Asubuhi mwanaume huyo alipoondoka akamuachia dola elfu tano ambazo zilikuwa ni zaidi ya milioni kumi, kiasi kikubwa ambacho Aisha hakuwahi kukipata tangu alipozaliwa.

Aliagana naye kwa mabusu mfululizo na kilichofuata baada ya hapo ni kuanza kula bata na marafiki zake kama kawaida yake. Walikwenda viwanja mbalimbali, walivimba, waliagiza kila kitu walichokitaka na ndani ya wiki mbili tu, milioni kumi ikakata na hivyo kuendelea kujiuza kama kawaida yake.

Hapo ndipo alipogundua kwamba hakuwa sawa. Alisikia hali ya tofauti kabisa na alipojaribu kuwauliza marafiki zake, walimwambia hizo zilikuwa dalili za mimba.

“Unasemaje Fatuma?” aliuliza kwa mshtuko.

“Hizo ni dalili za mimba! Twende ukapime!” alisema msichana huyo.

Hakukuwa na muda wa kusubiri, haraka sana wakaondoka na kuelekea hospitali. Aisha alionekana kuwa na hofu, mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimdunda, hakukuwa na kitu alichokiogopa kama mimba. Alimwambia hayo yote Fatuma lakini msichana huyo alijaribu kumuweka sawa kisaikolojia lakini hiyo haikumsaidia kwa lolote lile.

Walipofika hospitalini vipimo vikachukuliwa na kile walichokihisi ndicho kilichoonekana kwamba msichana huyo mrembo alikuwa na mimba.

Alilia sana, alihuzunika, aliyaona maisha yake yakifika ukingoni, aliumia sana lakini hakubadilisha matokeo yoyote yale, mimba iliendelea kubaki tumboni mwake.

“Ila si tatizo! Unaweza kuitoa,” alisema Fatuma.

“Nitoe mimba?”

“Ndiyo! Kwani kuna tatizo? Mwenzako nimetoa kama tatu, mbona nipo freshi!” alisema msichana huyo.

Suala la kutoa mimba halipata nafasi kichwani mwake, alijisemea kwamba inawezekana mimba hiyo ilikuja na bahati ndani yake, inawezekana kabisa angemzaa rais, waziri au tajiri mkubwa duniani hivyo hakutaka kukubaliana nalo hata kidogo.

Akaamua kutulia na kuanza kuishi maisha ya kawaida, aliyekuwa akimtaka, alimfuata nyumbani hapo na kufanya naye mapenzi huku akiwa na mimba yake. Hakuwa mtundu kama kipindi cha nyuma kwani mwili wake ulianza kuchoka mno.

Aliendelea kuilea mimba yake mpaka siku alipojifungua mtoto wa kike, alipomwangalia tu, haikuwa kazi kugundua kwamba alikuwa mtoto wa Curry, Mzungu aliyefanya naye mapenzi ambaye aliondoka Tanzania na kurudi Ujerumani, mbaya zaidi hakujua ni kwa jinsi gani angempata na kumwambia kuhusu mtoto wake.





Mtoto aliyempata Aisha ndiye alikuwa kila kitu katika maisha yake, alimpenda, alimthamini kuliko kitu chochote kile katika dunia hii. Marafiki zake walimpongeza lakini walijua kwamba huo ndiyo ungekuwa mwisho wake, asingeweza kwenda kudanga tena kutafuta mabwana, yaani historia yake ya kwenda kujiuza ni kama iliishia hapo.

Hakutaka kujali, moyo wake ulimwambia kwamba alimzaa mtu muhimu kabisa nchini Tanzania, hakujua mtoto huyo angekuwa nani, angefanya nini na mpango wa Mungu ulikuwa nini mpaka kuwa na binti huyo.

“Ila katoto kazuri,” alisema rafiki yake aliyeitwa kwa jina la Amina.

Akamchukua na kumbeba, alijisikia fahari wakati mwingine alitamani sana kuwa na mtoto mzuri wa sura kama alivyokuwa huyo. Siku hiyo ndiyo akaamua kumpa jina na kumuita Bhoke, jina ambalo alikuwa akilipenda tangu kipindi cha nyuma.

Uzuri wa Aisha ukapungua, haukuwa kama ulivyokuwa, kifua chake kilishuka, lile umbo matata alilokuwa akilingia nalo halikuwepo tena, tumbo halikuwa flati, liliongezeka, tumbo la uzazi lilimpata kitu kilichomfanya kila mwanaume kutotamani kuwa naye.

Hayo ndiyo maisha aliyoanza kuishi, kwa kuwa alikuwa na kiasi kidogo kwenye akaunti benki, akaanza kukitumia hichohicho kuyaendesha maisha yake na mtoto wake.

Yalikuwa ni maisha ya shida mno, wale marafiki zake walimuunga mkono katika kipindi cha kwanza lakini baadaye wakamuacha na kumtenga kabisa. Hakuwa na faida, hakuwa mzuri kama alivyokuwa na ndiyo maana wakamuacha na wao kuendelea na maisha yao ya kudanga kwenye klabu mbalimbali.

Siku zilikatika, miezi ilienda kama utani, na baada ya mwaka mmoja, hatimaye Aisha alianza kurudi katika hali yake, umbo ambalo lilipukutika likaanza kurudi kama zamani.

Kwake ilikuwa ni furaha tele, kila mtu ambaye alimuona, alimpenda, alitamani kuwa na mwanamke huyo tena kwani alionekana kama mpya ambay alishuka leo kutoka katika uumbaji wa Mungu.

Wanaume wakaanza kujileta tena, alikuwa na mtoto mdogo, hakutaka kumuacha bali alichokifanya kwa kila mwanaume ambaye alitaka kufanya naye ngono, ilimbidi amfuate nyumbani kwake na kufanya huko.

Hakupenda maisha hayo lakini hakuwa na jinsi, alitamani kuendelea kuishi maisha ya raha, kulipa kodi, kumnunulia mtoto wake chakula na mambo mengine mengi.

Mpaka Bhoke anafikisha umri wa miaka kumi, bado mama yake aliendelea kujiuza kama kawaida. Hakuwa mkubwa sana kiumri, alizaa akiwa na umri mdogo, aliendelea kuita lakini sura yake ilionyesha baada ya miaka mitano asingekuwa yeye, yaani ule uzuri wake usingekuwa tena.

Bhoke hakujua mama yake alikuwa akifanya kazi gani, kazi yake ilikuwa ni kwenda shuleni huku akimuacha mama yake akiwa amelala na usiku aliondoka kwenda mtaani, hakujua alikwenda huko kufanya nini lakini kuna siku alirudi na mwanaume na kumwambia kwamba alikuwa mjomba wake.

Aliamini hivyo, hakujua kama mama yake alikuwa akijiuza. Kwake, aliamini kila kitu alichokuwa akiambiwa, alimpenda mno mama yake, kwake, mwanamke huyo alikuwa kila kitu.

Baada ya kipindi fulani ndipo akagundua kwamba mama yake alikuwa na mambo mengine kabisa. Alikuwa akikongoroka huku akijichubua ngozi yake kutafuta weupe kitu kilichomchanganya sana Bhke.

Hakujua undani wa jambo hilo. Mama yake huyo alikuwa akivaa cheni nyingi kiunoni, nguoz za ndani aina ya bikini na sidiria ambazo zilikibusti kifua chake kwa kiasi kikubwa.

Kwa umri wake alijiuliza sana kuhusu jambo hilo lakini hakupata jibu lolote lile. Baada ya kukaa kwa mwaka mmoja baadaye ndipo akajuana na kijana mwingine aliyeitwa kwa jina la Johnson.

Kijana huyo alikuwa jirani yake, maisha yao yalikuwa mazuri, wazazi wao walikuwa wakiishi kwenye nyumba kubwa na ya kifahari, walikuwa na magari mengi kiasi kwamba wakati mwingine Bhoke alimuonea wivu sana Johnson.

“Baba yako tajiri sana,” alisema Bhoke huku akimwangalia Johnson.

“Baba yangu? Wala si tajiri, yupo kawaida tu!” alijibu kijana huyo.

“Ila ana magari mengi!”

“Kwani kuwa na magri ndiyo utajiri?”

“Sasa utakuwaje masikini halafu uwe na gari?” aliuliza Bhoke.

Walikuwa wakiongea, stori zao zilikuwa na utoto fulani lakini ndicho kitu walichokuwa wakipenda mno kuzungumza.

Mpaka muda huo wa miaka kumi Bhoke hakujua kitu chochote kuhusu mapenzi, alimuona mama yake akivaa mavazi ya ajabu na kuondoka huku akirudi usiku mkubwa, hakujua alikuwa akienda wapi na hata alipokuwa akirudi na wanaume ndani aliambiwa kwamba ni wajomba zake, hivyo akakubaliana nao.

Johnson alimpenda mno Bhoke, alikuwa binti mzuri ambaye alimfikiria sana kila alipokuwa shuleni, alipokuwa akirudi, mtu wa kwanza kabisa kuonana naye ilikuwa ni binti huyo, aliusikia moyo wake ukiwa na mapenzi mazito kwake kiasi cha kuchanganyikiwa kabisa.

Siku zilikatika, alichokuwa akisubiri ni msichana huyo akue tu na kuanza kumbusu, hicho ndicho kitu ambacho alikisubiri sana kwani hakutaka kuona Bhoke akiwa na mpenzi mwingine zaidi yake.

“Nampenda Bhoke! Ana sura nzuri, akicheka huwa anapendeza,” alijisemea Johnson akiwa kitandani kwake, pamoja na utoto wake lakini mapenzi kwa binti huyo hayakuweza kujificha hata kidogo.

Bhoke alikuwa gumzo, uzuri wake ulionekana kwa kila mtu aliyekuwa akimwangalia, wanaume waliokuwa na tamaa wakaanza kumtolea macho, hawakutaka kuacha msichana mrembo kama yeye awapite pasipo hata kumpitia kama walivyofanya kwa wengine.

Katika kipindi ambacho kifua chake kilianza kutanuka ndipo ilikuwa balaa, kila mtu alikuwa akimuita mchumba lakini vichwa vyao vilikuwa vikifikiria ngono tu.

Nywele zake za Kizungu zilizidi kuwachanganya kiasi kwamba wanaume wengi walianza kumuewekea mikakati ya muda mrefu na wakati ndiyo kwanza alikuwa na miaka kumi tu.

Wanaume waliokuwa wakifika hapo na kulala na mama yake, walipomuona, hawakutaka kumuacha, walijiahidi kabisa kwamba mara baada ya kumalizana na mama, kuna siku wangeingia humo na kuanza kushughulika na mtoto wake kwani kwa jinsi alivyokuwa, ule uzuri ilikuwa ni vigumu mno kumuacha.

“Huyu ni binti yako?” aliuliza mwanaume mmoja huku akimwangalia Bhoke.

“Ndiyo! Mbona umeshtuka?” aliuliza Aisha huku akimwangalia mwanaume huyo ambaye aliingia usiku kwa lengo la kufanya naye mapenzi chumbani.

“Ni mzuri!”

“Kweli?”

“Tena sana,” aliongezea.

Mwanaume huyo aliitwa kwa jina la Massawe, alikuwa Mchaga mwenye pesa zake ambaye kuzitumia kwa ajili ya mwanamke hakukuwa na tatizo lolote lile.

Wachaga wengi walijulikana kwa ubahili lakini si kwa Massawe, alijua kulewa, alijua kula raha, alijua kuhonga na kufanya mambo mengi ambayo kwa watu wengine yangeonekana kama anasa.

Macho yake yalivyotua kwa Bhoke alichanganyikiwa, alimwangalia binti huyo jinsi alivyokuwa, sura yake nzuri na kifua chake kilichoita, alipagawa, hakutaka kumuacha hata kidogo, alikuwa tayari kufanya jambo lolote lile lakini mwisho wa siku alale na msichana huyo mdogo.

Hakujua ni kwa jinsi gani angetumia mbinu mbadala kulala naye, alitakiwa kufanya kila liwezekanalo mpaka yeye awe mtu a kwanza kabisa kuwa naye kitandani kabla ya wanaume wengine kumuwahi.

Alichokifanya ni kutafuta mazoea kwanza. Akajifanya anafika hapo mara kwa mara, azoeleke machoni kumbe upande wa pili alikuwa na mambo yake mengine.

Aisha hakujua mbinu za mwanaume huyo, alijua kwamba alipenda kufanya naye ngono kwa kuwa alijisikia kumbe kulikuwa na mengi yaliyokuwa yakiendelea nyuma ya pazia.

Kumpata nje na kwao ilikuwa ngumu hivyo alichokifanya ni kumuandaa kijana ambaye alimwambia angempelekea mwanamke wa kufanya naye mapenzi usiku kwa gharama zake.

“Yaani unilipie nifanye mapenzi na mwanamke?” aliuliza jamaa huyo huku akionekana kushtuka.

“Ndiyo! Hutaki nikamtafute mwingine?” aliuliza Massawe.

“Swali la kitoto sana hilo! Sasa kuna mwanaume anaweza kukataa mwanamke? Hebu mlete,” alisema kijana huyo.

Hakukuwa na tatizo, alichokifanya ni kuwasiliana na Aisha na kumwambia kwamba kulikuwa na mwanaume alihitaji kulala naye kwa malipo makubwa.

Kwa Aisha hakukuwa na tatizo, hayo yalikuwa maisha yake, aliyaendesha kwa kutumia mwili wake hivyo akakubaliana na Massawe na muda wa saa nne usiku akaondoka kwenda kuonana na mwanaume huyo katika Hoteli ya Zebra Lines iliyokuwa Kinondoni jijini Dar es Salaam.

“Nataka nilale na wewe mpaka asubuhi,” alisema kijana huyo huku akimwangalia Aisha.

“Hakuna shida. Uliambiwa malipo?”

“Hapana!”

“Elfu thelathini!”

“Haina shida!”

“Na chumba unalipia wewe!”

“Hakuna shida pia!” alisema kijana huyo aliyeonekana kuwa na uchu, kila alipomwangalia Aisha, jinsi alivyokuwa, mapaja yaliyonona, udenda ulikuwa ukimtoka.

Hakukuwa na muda wa kubaki hapo, moja kwa moja wakaingia hotelini, chumbani na kufanya starehe yao. Wakati walipokuwa wakiongea mpaka kwenda chumbani Massawe alikuwa akiwaangalia tu, alipoona wameondoka, haraka sana naye akaanza kuwahi nyumbani kwa Aisha.

Moyo wake ulikuwa na hamu ya kukutana na Bhoke, alichanganyikiwa, akili yake ilikuwa ikikifikiria kile kifua chake, alikitamani, katika maisha yake hakuwahi kufanya mapenzi na mwanamke aliyekuwa na kifua kama kile, hakujua ladha yake ilikuwaje hivyo ilikuwa ni lazima aijue kwa kwenda kufanya na huyo Bhoke.

Alitembea kwa kasi lakini alijiona kama ananyata kitu kilichomfanya kutamani kuwa na mbawa ili apae. Alitembea mpaka alipofika nyumbani huko, akausogelea mlango na kuanza kuugonga.

“Nani?” ilisikika sauti ya Bhoke ndani, moyo wa Massawe ukapiga paaa!

“Mimi hapa!” alijibu, muda ulikuwa ni saa tano usiku.

“Wewe nani?”

“Mjomba wako!”

“Mama hayupo!” alisema Bhoke pasipo kufungua mlango.

“Ndiyo! Najua, amesema nije kumsubiri,” alisema Massawe na hivyo Bhoke kuufungua mlango.

Macho yake yalipogongana na macho ya msichana huyo, mapigo yake ya moyo yakazidi kudunda zaidi kana kwamba moyo ulitaka kuchomoka, mzunguko wa damu ulikuwa mkubwa.

Alimtamani sana Bhoke, kwa jinsi alivyokuwa, alicpagawa na kutamani kumsogelea na kumpeleka kitandani. Kwa jinsi macho yake yalivyokuwa, Bhoke akahisi kulikuwa na kitu, tamaa yake ilionekana machoni lakini binti huyo hakutaka kujali, Massawe akaingia na kufunga mlango.

Akakaa kwenye kochi, hakutoa macho yake kwa msichana huyo, japokuwa alikuwa amevaa khanga lakini ubongo wake ulifanya kazi ya kumvua nguo na kumuacha mtupu kabisa.

“Mimi nakwenda kulala!” alisema Bhoke, alichoka, alichoamini huyo alikuwa mgeni wa mama yake aliyeitwa kwa jina la anko, hivyo alitakiwa kumsubiri hapo.

“Subiri kwanza tuongee! Hebu sogea hapa Bhoke,” alisema Massawe, kwa kuwa binti huyo alikuwa akimwamini na haikuwa siku yake ya kwanza kumuona, akamsogelea.

“Una nywele nzuriiii..” alisema huku akianza kuzishika.

“Ahsante!”

“Huwa unapata dawa gani?” aliuliza Massawe kana kwamba alikuwa mtu mwenye kazi ya kuwaseti wanawake saluni.

“Huwa sipaki mafuta!”

“Ila umependeza! Hebu subiri kidogo!” alisema Massawe, hapohapo akausogeza mdomo wake karibu na shingo ya Bhoke na kuanza kuinyonya kidogo. Bhoke akashtuka, hata kabla hajajua afanye nini, mwanaume huyo akaingiza ulimi wake katika sikio la msichana huyo, kitu kilichomfanya kupata msisimko ambao hakuwahi kuupata kabla.

“Aaaghhhhh....” alilalamika Bhoke, Massawe hakutaka kuacha, aliamini kwamba hiyo ndiyo ilikuwa hatua ya kwanza kukamilisha mpango wake, hivyo akaendelea kufanya hivyo huku mkono wake wa kushoto ukianza kuishusha khanga ile na wa kulia ukianza kukimbilia kifuani mwa binti huyo mdogo.





Bhoke alishangaa, hakuamini alichokuwa akifanyiwa, alitamani kujitoa mikononi mwa mwanaume huyo lakini alishindwa kwa sababu tu hali aliyokuwa akiisikia muda huo ilikuwa ni ya ajabu sana ambayo hakuwahi kuisikia kabla.

Massawe hakutaka kuchelewa, alijua udhaifu wa wanawake, na kwa kupitia ulimi wake, vidole vyake alianza kutembea sehemu zilezile ambazo aliamini kwa mwanamke yeyote yule ilikuwa ni lazima achanganyikiwe.

Alifanikiwa, Bhoke akatulia huku akilia kimahaba tu na kujiona akiwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa ambao hakuwahi kuwa kabla. Haraka sana Massawe akambeba juu juu na kuelekea naye chumbani, akamuweka kitandani na kuendeleza utundu wake huku akianza kumtoa nguo msichana huyo moja baada ya nyingine.

“Nakupenda mpenzi....nakupenda bebi,” alisema Massawe kwa lafudhi yake ya Kichaga, na nguo zilipotoka mwilini mwa msichana huyo, akaanza kumbaka.

Bhoke alisikia maumivu makali chini ya kitovu, alikuwa akipiga kelele mno lakini mwanaume huyo alikuwa akimziba mdomo kwa kiganja chake huku akiendelea kumbaka kama alivyotaka.

Bhoke alilia mno, alitamani mama yake arudi na kumtoa mwanaume huyo lakini haikuwezekana. Wakati alipoanza kushikwa huku na kule aliamini kabisa kwamba hata tendo nalo lingekuwa la hisia nzuri kama alivyojisikia kumbe ilikuwa tofauti kabisa.

Massawe alimbaka msichana huyo kwa dakika kadhaa, damu zilitapakaa kitandani, hakujali, alichokuwa akihitaji muda huo ni kujiridhisha yeye tu na si kuyathamini machozi ya Bhoke yaliyokuwa yakitoka mfululizo na kutiririka mashavuni mwake.

Alipomaliza, akampoza kwa kumpa shilingi elfu kumi na kumuaga kwa mabusu mfululizo. Bhoke alibaki ndani huku akilia, aliumia, aliziangalia sehemu zake za siri, ni kama zilikuwa zimechakazwa na kulikuwa na damu nyingi.

Haraka sana akasimama, akatoa lile shuka na kwenda kuliloweka kisha kuelekea bafuni kuoga. Hakutaka kumwambia mama yake, aliamini kwamba angemgombeza kwa kukubali kufanya mapenzi na mwanaume huyo.

Huo ulikuwa kama mwanzo tu, kwa miaka midogo aliyokuwanayo akaanza kutumikishwa kingono. Ile siku ya kwanza aliumia lakini siku zilizofuata zilimfanya kuhisi tofauti, ndizo siku zilizomfanya kuanza kusikia ladha ya ngono kitandani.

Mama yake alihisi mabadiliko, kila alipomwangalia binti yake, alijua dhahili kulikuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea, alijaribu kumuuliza maswali mengi lakini Bhoke hakujibu, na pale alipojibu alimdanganya kwamba alikuwa akiumwa kitu ambacho hakikuwa sawa kabisa.

Asha hakujishughulisha na kumkagua binti yake, aliridhika na majibu aliyokuwa akipewa hivyo kuendelea na mambo yake. Massawe alinogewa, wakati mwingine alimfuata nyumbani hapo na kumchukua kumpeleka kwake na kufanya naye mapenzi huko.

Bhoke alikomazwa, alijua mapenzi, Massawe alimfundisha kwa kumuwekea filamu za ngono na kumwambia kwamba naye alihitaji kufanyiwa kama vile.

Hilo halikuwa tatizo kwa Bhoke, alimfanyia mwanaume huyo kila kitu alichokuwa akikitaka kama kile kilichokuwa kikifanywa kwenye filamu za ngono na waigizaji kama Johnny Sin, Mia Khalifa, Blue Diamond na wengine wengi.

Taratibu Bhoke akaanza kukubuhu kwenye mambo ya mapenzi na hata alipokuwa akikutana na Johnson, alimwambia lingekuwa jambo jema kama siku moja wangefanya mapenzi.

Johnson aliogopa, hakuwahi kufanya mapenzi na msichana yeyote yule, kile alichokisikia kutoka kwa Bhoke kilimfanya kusisimka kupita kawaida. Alitamani kile kilichokuwa kikiendelea kuwa ndoto kwani kila alipomwangalia msichana huyo, alikuwa mdogo mno, mambo hayo aliyajulia wapi.

“Kwa nini hutaki?” aliuliza Bhoke huku akimwangalia Johnson, akamshika mkono kwa mtindo wa kumsisimsha, kama mwanamke mwenye kucha ndefu anapozitumia kumsisimsha mwanaume.

“Naogopa!”

“Unaogopa nini? Kwani inaua? Wala haiui, ni tamu sana, tujaribu,” alisema Bhoke kwa sauti nyororo, kila kitu kilichokuwa kikiendelea hapo kilimchanganya mno Johnson.

Hakutaka kufanya mapenzi lakini kutokana na maneno matamu ya binti huyo, kwa jinsi alivyovitumia vidole vyake, Johnson alishindwa kuvumilia, akajikuta akikubaliana naye na kwenda kufanya mapenzi.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha aliyokuwa akiishi kipindi hicho. Aisha hakujua kilichokuwa kikiendelea kwa binti yake huyo, hakujua kama naye alikuwa akicheza michezo kama yake.

Baada ya mwaka mmoja, Aisha akaanza kujisikia tofauti, mwili wake ulianza kuchoka lakini pia alisikia maumivu makali kwenye koo.

Haraka sana akaelekea hospitalini, alipofika huko, akapimwa na kugundulika kuwa na kansa ya koo. Alishtuka, ulikuwa ugonjwa mkubwa uliowasumbua na kuwamaliza watu wengi. Moyo wake ulimuuma na alimuuliza daktari kuhusu ugonjwa huo, alichomwambia ni kwamba kulikuwa na virusi kwenye koo yake ambavyo ndivyo vilikuwa chanzo ya kupata kansa hiyo.

“Vimekujaje?” aliuliza mwanamke huyo.

Daktari hakutaka kumficha, alimwambia kuhusu virusi hivyo. Ni kwamba alipokuwa akimchukua mwanaume na kwenda kufanya naye blowjob (kunyonya sehemu za siri) ndiyo ilikuwa chanzo kikubwa cha ugonjwa huo kwani ilionyesha kabisa kwamba wanaume wengine hawakuwa wasafi, walimuingizia uchafu ambao ulikwenda mpaka kooni na kumletea matatizo hayo.

Aisha alilia, aliumia mno lakini machozi yake yote hayakuweza kubadilisha kitu chochote kile, ukweli ulibaki vilevile kwamba alikuwa na kansa ya koo.

Alirudi nyumbani, akajifungia na kuanza kulia mwenyewe. Aliumia mno, alijifanya kuwa mtaalamu wa mapenzi na mwisho wa siku akapata matatizo hayo.

Hakutaka mtoto wake agundue kilichokuwa kikiendelea, alikuwa msiri huku akiendelea kufanya mambo yake kama kawaida. Siku zilikatika lakini kikafika kipindi sauti yake ikaanza kukauka na koo kuanza kuoza.

Hilo lilimuuma sana, kutokana na maumivu makali, mwisho wa siku akaanza kukonda na kwenda kulazwa hospitalini. Alitamani kuongea, kumuonya mwanaye kuhusu ugonjwa huo lakini alishindwa hata kutoa sauti yake.

Alilazwa hospitalini kwa siku mbili na kuruhusiwa. Alikuwa hoi, hakuweza tena kwenda kujiuza, hakuwa na pesa na matibabu yake yalihitaji sana pesa.

Kwa kuwa Bhoke alikuwa na rafiki yake, Johnson, akaamua kumwambia kuhusu mama yake, alikuwa akihitaji msaada mkubwa kutoka kwake.

“Johnson...mama anaumwa,” alisema Bhoke huku machozi yakimlenga.

“Anaumwa nini?”

“Ana kansa ya koo! Nanahitaji unisaidie pesa,” alisema Bhoke huku akimwangalia Johnson.

Alikuwa kijana mdogo, aliyeishi kwa wazazi wake, hakuwa na pesa, alimwambia hivyo Bhoke kitu kilichomuuma sana. Akaondoka kwa hasira na kurudi nyumbani.

Kila alipomwangalia mama yake, moyo wake ulimuuma sana na hivyo uamuzi wa mwisho ambao aliuchukua ni yeye mwenyewe kuingia mitaani, kujiuza ili apate pesa ya kumuuguza mama yake.

Huko alipokuwa akienda kujiuza, Bhoke alikuwa tishio, alikuwa mdogo, mzuri, alimpagawisha kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia. Hakukuwa na mtu aliyeamini kama wangekutana na msichana huyo mitaani na kwenye klabu akitafuta wanaume.

Alipapatikiwa, aliwachukulia pesa nyingi ambazo hizo zilimsaidia mama yake ambaye hali yake ilizidi kuwa mbaya kila siku. Bhoke alitembea na watu mbalimbali, Wazungu, Waswahili, Wachina, Wahindi na wengine.

Alipofikisha umri wa miaka kumi na nne, hali ya mama yake ilikuwa mbaya zaidi na hatimaye kufariki dunia akiwa kitandai, Bhoke alilia sana, hakuamini kama mama yake alifariki dunia, aliumia mno lakini hakuwa na jinsi.

Kwa kusaidiwa na majirani, wakamzika na hatimaye kuanza kuishi peke yake, maisha bila mama huku akiyaendesha kwa kujiuza mitaani.





Bhoke alikuwa mtu wa kulia kila siku, moyo wake ulimuuma, kila alipomkumbuka mama yake, alihisi kitu chenye ncha kali kiliuchoma moyo wake vilivyo. Mbele yake aliona giza, hakujua ni kwa jinsi gani angeweza kuishi kama ilivyokuwa kwa mama yake.

Chumba kile kililipiwa kodi ya mwaka mzima, hakuwa na mawazo kuhusu kodi, kitu kilichokuwa kikimuumiza kichwa kilikuwa ni kula na mahitaji mengine tu.

Alikuwa na hofu tele, alihisi kabisa kwamba huko baadaye angeweza kupata matatizo mengi ila baada ya kukaa na kujifikiria sana ndipo akapata wazo moja kwamba awe anajiuza kama mama yake, mwanamke huyo alimzaa akiwa kwenye kazi hiyo, alimlea na kumfanyia mambo mengi akiwa kwenye biashara yake hiyo, hivyo hakuhisi kama kulikuwa na tatizo.

Aliyafikiria yote hayo na ndipo akaamua kuingia mtaani yeye mwenyewe. Alikuwa na umri mdogo lakini hakuwa na jinsi, kwa kuwa alitakiwa kula, kufanya mambo mengine hakuwa na jinsi.

Mitaani, kila mtu aliyekuwa akimwangalia, alimpenda, alivutia na hata alipokuwa akikaa na wanawake wengine, yeye ndiye alikuwa akionekana.

Alikuwa kama Mzungu, nywele zake zilikuwa ndefu, alikuwa na urembo wa asili, wanawake wengine walimuonea wivu mkubwa lakini hakujali.

Yeye ndiye alikuwa staa, alijua kuwavutia wateja lakini baada ya kuona wateja wengi wakimlalamikia kwamba hakuwa mtaalamu sana kitandani, akaanza kujifunza.

Aliangalia filamu za ngono na mambo mengine, alijifunza kukizungusha kiuno chake, alijifunza mambo mengi machafu na hatimaye kuanza kuwa mtaalamu.

Kuanzia hapo, wanawaume waliokuwa wakilala naye, walimsifia, alijua kuwakonga nyoyo zao, alijua kufanya kila kitu kumfanya mwanaume achanganyikiwe faragha.

Alizoea kuwabeba wanaume wakubwa, hakumfikiria tena Johnson japokuwa kijana huyo alimpenda kwa moyo wa dhati, alijificha, hakutaka kuonana naye kwa kuwa tu umbo lake lilibadilika, yaani kama angemtia machoni ingekuwa rahisi kwake kugundua kwamba sasa alikuwa mzoefu kufanya mapenzi na wanaume mbalimbali.

Kile kifua chake kilichokuwa kimesimama muda wote hakikuwepo, kililala, kilionekana kuanza kuchoka, nyonga zake zilionekana vizuri na hata kwa huku nyuma napo kulianza kujaa.

Siku zikakatika, miezi ikaenda, miaka ikapita, baada ya kufikisha miaka kumi na saba, akaamua kuhama Magomeni na kuhamia Masaki, akapanga nyumba kubwa na nzuri na kuendelea na maisha yake huko.

Wakati huo, Johnson ndiyo kwanza alikuwa akimaliza kidato cha sita. Alikuwa na mawazo tele, alimfikiria sana Bhoke ambaye alisikia taarifa zake kwamba alikuwa akijiuza.

Alimtafuta, hakumpata mpaka pale aliposikia kwamba msichana huyo alihama, alipohamia, hakuwa akipajua, hivyo akaamua kuachana naye na kufanya mambo yake.

Alifanikiwa vizuri kwenye masomo yake na hatimaye kwenda kusoma nchini Marekani katika Chuo Kikuu cha Yale ambapo huko akaamua kusomea masomo ya biashara.

Huku Tanzania, Bhoke alibadilika kabisa, kwanza alikuwa mzuri sana lakini kitu kingine ambacho kwake kilianza kuonekana kuwa tofauti ni sehemu zake za siri kuanza kuwasha kimahaba.

Akawa na hamu ya kufanya mapenzi kila wakati, mwili wake ulikuwa unawasha, kila alipokuwa, mwili ulihitaji kuwa na mwanaume pembeni, amshike hapa na pale na mwisho wa siku afanye naye mapenzi.

Hiyo ilikuwa hali mbaya, alianza kuwa muathirika wa ngono taratibu. Kila alipokuwa akikaa, alifikiria ngono, alipokuwa akifanya mambo yake mengine, kila wakati alifikiria ngono tu.

Alipenda ngono, wakati mwingine alikuwa radhi kukosa chakula lakini si mwanaume wa kufanya naye mapenzi. Alijisikia tofauti kila alipomuona mwanaume aliyekuwa kifua wazi, mwili wake ulisisimka na kuhisi hisia kali zilizompelekea kutamani kulala naye.

Idadi ya wanaume ambao alikuwa akilala nao ilikuwa kubwa, alilala na watu weusi, Wazungu na watu wengine wengi. Hakujali, kwake, kufanya mapenzi ndiyo kilikuwa kitu alichokuwa akikipenda kuliko kitu chochote kile.

Alipoona wateja Wazungu wanaongezeka, akaamua kujifunza Kiingereza kwa lengo la kuwasiliana nao kwani aliamini kwa kufanya hivyo ingemfanya kusafiri na kwenda sehemu nyingine kwa ajili ya biashara hiyo.

Kwake hilo halikuonekana kuwa tatizo, akaanza kujifunza lugha hiyo na ndani ya mwezi mmoja, alianza kufahamu lugha ya kuombea maji na kwa sababu alikuwa na hamu kubwa zaidi, hakuchukua muda mrefu kuifahamu lugha hiyo.

Ni miezi mitatu mbele tu, akaamua kusafiri na kuelekea nchini Kenya. Ndani ya ndege alipokuwa, wanaume wote walikuwa wakimwangalia, alikuwa msichana mrembo, mwenye umbo matata, nywele zake na ule uchotara ndiyo uliwachanganya sana wanaume wote waliokuwa wakimwangalia.

Kila mmoja alihitaji namba yake, alihitaji kukaa naye kiti kimoja na kuzungumza naye. Alijifanya hakuwa na muda na wakati ukweli ni kwamba alihitaji sana kuona akilala na mwanaume mara baada ya kuingia nchini Kenya kwa sababu tu tayari mwili wake ulianza kumuwasha kama kawaida.

“Naitwa Edmud Kenji,” alisema mwanaume mmoja aliyekaa na Bhoke, ndiyo kwanza ndege ilikuwa ikiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.

“Naitwa Bhoke!” alijibu huku akiachia tabasamu pana ambalo lilimfanya mwanaume yule kuhisi kwamba kama kweli angethubutu kutupa karata yake, kusingekuwa na tatizo lolote lile.

Walikaa na kuanza kuzungumza. Bhoke alikuwa malaya tu, alijua jinsi ya kucheza na wanaume, alijua ni kwa jinsi gani alitakiwa kumdatisha kila mwanaume aliyekuwa akikaa naye karibu.

Alivalia sketi fupi ambapo kila alipokuwa akikunja nne upaja wake mweupe ulionona ulionekana vilivyo. Kenji alipouona upaja ule, alichanganyikiwa, alidata na kuona kabisa lingekuwa kosa kubwa kama angemuacha mwanamke huyo.

“Aisee! Watanzania ni wazuri sana,” alisema Kenji, alishindwa kuvumilia, alihisi kama alikuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa, moyo walikuwa akiombea ndege ichelewe kufika Nairobi.

“Mh! Jamaniiiiii!”

“Kweli tena! Nyie Watanzania ni warembo mno. Hivi nikiwa na mwanamke kama wewe ndani, nitahitaji nini kingine?” aliuliza Kenji huku akimwangalia msichana huyo, wakati mwingine aliyapeleka macho yake mpaka kwenye kifua chake alichojua kukibusti vilivyo.

“Tunashukuru!”

“Natamani ningekuwa mchora tattoo, nikuchore moja matata hapo katikati ya kifua chako kilichonona,” alisema Kenji.

“Ila haujawa mchora tattoo!”

“Na huo ndiyo uzembe alioufanya Mungu juu yangu,” alisema Kenji na wote kuanza kucheka.

Akili ya mwanaume huyo ilikuwa ikimfikiria kitu kimoja tu, kuganya ngono na msichana huyo mrembo. Alijitahidi sana kujizuia lakini alishindwa kabisa, akachukua simu yake, kwa sababu ndege ilikuwa angani na ilitulia hata kwa matumizi ya internet iliyokuwa humo, akafungua akaunti yake ya Instagram na kumwambia ameonyeshee jina alilokuwa akilitumia humo.

“Situmii mitandao!” alijibu Bhoke.

“Jamani! Yaani msichana mrembo kama wewe hutumii Instagram?” aliuliza Kenji.

Akaanza kumuonyeshea jinsi mtandao huo ulivyokuwa, kulivyokuwa na wanawake wa Kitanzania ambao walikuwa wakipiga picha nzuri na kuziweka humo.

Alipoziona, wazo likamjia kichwani mwake kwamba endapo naye angekuwa na akaunti humo na kuweka picha zake bai ingekuwa njia rahisi ya kujiuza kwa kila mwanaume aliyekuwa akimtaka huko.

Hakumwambia Kenji, alisubiri mpaka afike Nairobi ndipo afungue akaunti hiyo na kuweka picha hizo. Kenji hakutaka kumuacha, aliendelea kupiga naye stori mpaka walipofika Nairobi, wakateremka na kumwambia waende hotelini.

“Hapana...” alisema Bhoke.

“Kwa nini? Nimekuzoea! Siwezi kwenda kulala peke yangu bila wewe, nakuomba mpenzi,” alisema Kenji.

Kwa jinsi Bhoke alivyokuwa akikataa ilionyesha kama alikuwa mwanamke fulani mgumu, bikira kumbe alikuwa amebobea katika masuala mazima ya ngono.

Wakakubaliana kwenda kulala lakini Kenji alitakiwa kumlipa msichana huyo kiasi cha dola mia moja kitu ambacho hakikuwa tatizo lolote hasa kwa mtu kama yeye ambaye kila siku aliingiza kiasi kikubwa cha pesa.

Wakaenda hoteli. Walipofika mapokezini, kila mtu alikuwa akimshangaa, Bhoke alikuwa mrembo mno, aliita, alimvutia kila mtu aliyekuwa akimwangalia. Walichukua chumba na kuelekea kule kulipokuwa na lifti na kuingia kisha kuanza kuelekea juu.

Muda wote huo Kenji alikuwa akimwangalia msichana huyo, alimtamani mno, alihitaji sana kulala naye. Kichwani mwake ni picha watakapokuwa kitandani ndiyo iliyokuwa ikijirudia muda wote. Alichanganyikiwa na alitamani wafike haraka na kuingia kitandani.

“Karibu sana,” alisema Kenji mara baada ya kuingia ndani.

“Nashukuru!” alisema Bhoke na kuanza kuvua nguo zake, akabaki na nguo ya ndani tu, udenda ukamtoka Kenji, hakuamini kama alikuwa na msichana huyo chumbani humo, yaani ule mzigo aliokuwa akiuangalia, leo alikuwa akienda kuhangaika nao.

“Am coming baby boy,” alisema Bhoke, akaivua na ile nguo ya ndani na kuelekea bafuni kuoga kwanza kwani aliamini siku hiyo mwanaume huyo angemuondolewa muwasho wote aliokuwa nao tangu alipotoka Tanzania mpaka hapo Kenya.



“Am coming baby boy,” alisema Bhoke, akaivua na ile nguo ya ndani na kuelekea bafuni kuoga kwanza kwani aliamini siku hiyo mwanaume huyo angemuondolewa muwasho wote aliokuwa nao tangu alipotoka Tanzania mpaka hapo Kenya.

Huko bafuni alipokwenda, alijiosha vilivyo, alijua ni kwa jinsi gani alitakiwa kujiweka ili kumchanganya mwanaume na hata siku nyingine atakapopata pesa basi amtafute kwa mara nyingine.

Alipomaliza, akatoka na kumfuata Kenji kitandani pale na kuanza kufanya mapenzi. Bhoke hakutaka kujiweka katika hali ya kuonekana dhaifu, aliwajua wanaume, alijua sehemu zote ambazo walipokuwa wakishikwa walikuwa wakisisimka na ndizo alizokuwa akimshika mwanaume huyo kitandani hapo.

Muda wote Kenji alikuwa akipiga kelele za mahaba, alichanganyikiwa mno, kwake, mwanamke huyo alimchanganya kupita kawaida.

“Bhoke!” aliita Kenji, alikuwa hoi, japokuwa mule ndani kulikuwa na kiyoyozi lakini kijasho chembamba kilikuwa kikimtoka.

“Abee...” aliitikia Bhoke kwa sauti nyembamba kabisa.

“Una gari?” aliuliza Kenji.

“Hapana!” alijibu.

“Naomba kesho twende ukachague gari lolote ulitakalo mpenzi,” alisema Kenji.

“Sawa. Ila naomba niendelee, ndiyo kwanza naanza,” alisema Bhoke maneno yaliyomchanganya mno mwanaume huyo kwani alichokijua ni kwamba alimaliza, kumbe ndiyo kwanza mwenzake alikuwa akianza.

Siku hiyo ilikuwa ni ya kufanya mapenzi tu, mwanaume huyo alichanganyikiwa kupita kawaida. Kwenye maisha yake aliwahi kukutana na wanawake wengi, waliokuwa na uwezo mkubwa kitandani lakini kwa msichana ambaye alikutana naye siku hiyo alikuwa balaa, alijua kucheza na mwanaume kwa staili zote alizozijua na hata zile ambazo hakuzijua kabisa.

Kuanzia siku hiyo Kenji hakutaka kusikia la mtu yeyote yule, kwake, msichana aliyekuwa akimpenda alikuwa ni Bhoke tu. Alitamani sana kuona akiwa msichana wake, awe analala naye tu lakini hilo lilishindikana kabisa kwa sababu msichana huyo alikuwa akijiuza, aliyaendesha maisha yake kupitia huo mwili wake.

Baada ya kukaa nchini Kenya kwa siku moja, Kenji akaanza kumtafuta na kumwambia kwamba alitaka kwenda kumtambulisha kwa marafiki zake.

Aliwatambia kwa kuwaambia alikuwa na mwanamke mzuri, kuanzia nje mpaka ndani. Alikuwa fundi wakuonyesha mbwembwe zote kitandani. Marafiki zake hao waliposikia, wakajifanya kumbishia kwamba hakukuwa na mwanamke aliyekuwa na sifa kama zile alizokuwa akimwagia, hivyo walihitaji kumuona.

Kwa Bhoke hakukuwa na tatizo lolote lile, akakubaliana naye na kwenda katika mgahawa wa Machari uliokuwa pembeni kidogo mwa Jiji la Nairobi, muda huo ilikuwa ni saa tatu usiku.

Bhoke alijua kutupia, alijua mavazi ya kuvaa yalikuwa ni yapi. Alipiga sketi fupi ambayo kidogo ilipanda juu ya magoti, ilimbana na ilimfanya kwa nyuma kuonekana msichana aliyekuwa akijua mambo ya faragha kupita kawaida.

Alipoingia tu, watu wote waliokuwa wakipiga stori kwanza wakanyamaza na kuanza kumwangalia yeye. Hakutaka kujali, alipiga hatua mpaka kwenye meza aliyokuwa Kenji na marafiki zake na kumshika kwa nyuma, Kenji alipogeuka, macho yake yakatua kwa msichana huyo.

Marafiki zake wote walitulia, walimwangalia Bhoke huku wakianza kumthaminisha. Alikuwa msichana mrembo kupita kawaida, alivutia na alionekana kuwa fundi mno faragha.

Walimwangalia, hakuisha hamu, Mzungu si Mzungu, Mwafrika si Mwafrika, yaani kwa kifupi aliwaacha watu wote midogo wazi.

“This is the one,” (ndiye huyu sasa) alisema Kenji huku akimtambulisha Bhoke mahali hapo.

Hakujua maisha ya msichana huyo, ni kwamba alikutana naye kwenye ndege tu, alihisi kuwa alikwenda Nairobi kwa biashara zake nyingine kumbe mwenzake alifika hapo kwa ajili ya kujiuza tu.

Kwa jinsi Kenji alivyokuwa na pesa, aliamini hata marafiki zake hao walikuwa na pesa pia hivyo alizitaka, hata kama kungekuwa na uwezekano wa kulala na wote, alikuwa tayari.

Kazi ya Bhoke mahali hapo ilikuwa ni kujishembendua tu, alikuwa akileta mapozi ya kike yaliyowafanya wanaume wote kutamani kuwa naye. Stori ambayo waliambiwa na Kenji kwamba msichana huyo alikuwa si mchezo faragha ziliwachanganya kupita kawaida na kila mmoja mahali hapo alihitaji kulala naye.

Walikuwa wakinywa pombe, muda mwingi Bhoke alimmiminia pombe Kenji na kumtaka kunywa mfululizo, marafiki zake walikuw wakishangaa kwani halikuonekana jambo la kawaida kwa mwanamke kama huyo kumlazimisha Kenji kunywa pombe nyingi kiasi hicho.

Kichwa cha Bhoke kilifikiria pesa tu, hakukuwa na kitu kingine ambacho kilikuwa kichwani mwake muda huo. Alihitaji pesa za wanaume wengine mahali hapo na ndiyo maana njia nzuri ambayo aliiona kufaa ilikuwa ni kumlevya Kenji ili apate muda wa kuzungumza na hao wanaume wengine.

Ni ndani ya nusu saa tu, Kenjia alikuwa hoi, alikuwa hajiwezi, kazi yake ilikuwa ni kupiga kelele mfululizo kama mtu aliyechanganyikiwa. Hicho ndicho alichokitaka Bhoke, hivyo akaanza kudili na wanaume hao.

“I prefer sex than eating and drinking...” (napenda sana ngono kuliko kula na kunywa...” aliwaambia wanaume hao maneno yaliyoonekana kuwashtua sana.

“Sure?” (kweli?) aliuliza jamaa mmoja huku akionekana kushtuka.

“Try me...” (nijaribu) alisema Bhoke.

“How much?” (kiasi gani?)

“15000 Kenyan shillings...” (shilingi elfu kumi na tano ya Kenya) alijibu Bhoke, kiasi hicho kwa pesa ya Kitanzania ilikuwa ni zaidi ya laki tatu.

Kilikuwa kiasi kikubwa lakini kwa jinsi Kenji alivyokuwa amemsifia msichana huyo, hakukuwa na mtu aliyetaka kuona akiondoka pasipo kulala naye. Mwanaume mmoja miongoni mwa hao watatu waliokuwa mahali hapo akaingiza mkono mfukoni na kutoa pochi iliyokuwa na noti kadhaa na kumpa msichana huyo.

Hapo hotelini kulikuwa na vyumba, akamchukua Bhoke na kuondoka naye huku msichana huyo akichukua namba za simu za wanaume waliobaki na kuwaambia kwamba angewatafuta.

Hapo ndipo walipogundua kwamba Bhoke alikuwa malaya aliyekuwa akijiuza na hakuwa ‘wife material’ kama alivyotamba Kenji alipokuwa akizungumza nao.

Huko chumbani mambo yalikuwa moto, hiyo ilikuwa ni kazi yake, mbali na kuwashwa sana mwili lakini alipenda mno kufanya ngono kuliko kitu chochote kile.

Mwili wake uliathiriwa na matumizi ya ngono, hakuzoea kukaa siku mbili bila kufanya mapenzi. Alipenda ngono zaidi ya mbwa na kila alipokuwa akiifanya, aliifanya kwa nguvu zote kwa kuwa alijua ndiyo kitu pekee kilichokuwa kikimpa pesa za kumfanya aishi.

Mwanaume ambaye alikwenda kulala naye, siku iliyofuata aliwaambia wenzake kwamba Bhoke hakuwa msichana wa kawaida, alitisha kwani kitandani alijua michezo yote kiasi cha kumfanya kuhema kama mbwa.

Huko Nairobi Bhoke alikaa kwa siku kadhaa, akatengeneza milioni tano na kurudi jijini Dar es Salaam ambapo aliendelea kujiuza kama kawaida.




“Halo! Upo wapi Johnson?” ilisikika sauti kutoka kwa mwanaume mmoja upande wa pili wa simu.

“Nipo hosteli!”

“Naweza kukuona?”

“Sasa hivi?”

“Ndiyo!”

“Haina shida.”

Johnson alikuwa akiongea kwa simu na mwanaume ambaye alimfahamu kabisa. Walizungumza kwa sekunde chache tu na kukata. Harakaharaka akaamka kutoka kitandani, akaelekea bafuni na kuanza kuoga. Kichwa chake kilijiuliza maswali mengi juu ya ile simu aliyokuwa ameipokea.

Ilitoka kwa mwanaume aliyeitwa Fredrich Thuram, alikuwa Mfaransa ambaye aliishi kwa kipindi kirefu nchini Marekani. Alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wakipiga pesa nyingi kwa utapeli au madili yoyote ambayo hayakuwa yakikubalika na serikali.

Alichokuwa akikifanya Thuram ni kuwaandaa vijana na kuwapa dili moja kubwa na kulipiga, lilipofanikiwa, alikuwa akiingiza kiasi kikubwa cha pesa lakini hata vijana wengine ambao aliwatuma kucheza dili hilo akaunti zao za benki zilijaa pesa.

Wakati Johnson alipokuwa amewasili nchini Marekani katika Chuo Kikuu cha Yale aliambiwa kuhusu mwanaume huyo, kama kweli alihitaji kufanikiwa kwa haraka, kuwa na mamilioni ya pesa, kuendesha Lamborghin ilikuwa ni lazima aonane na mwanaume huyo na kumwambia na yeye apewe dili.

Hakuwa mtu wa madili lakini baada ya kuambiwa hivyo na baadhi ya vijana wa hapo, akawa na hamu kubwa ya kukutana na mwanaume huyo. Hakujua angeonana naye vipi na ni kwa jinsi gani angemwambia kwamba alihitaji dili lolote lile.

Aliambiwa kwamba kulikuwa na mabilionea wengi walikuwa wakilizwa na Thuram kwa kuwatumia vijana wake aliopenda kuwaita kwa jina la Nyoka. Vijana hao hawakuwa wakiogopa kitu chochote kile, walicheza madili makubwa na kuchukua pesa nyingi kutoka kwa mabilionea wakubwa.

Miongoni mwa madili waliyokuwa wamecheza ilikuwa ni kuichukua Almasi ya Waridi ambayo ilijulikana kama almasi ghali zaidi duniani kutoka kwa mwanaume aliyejulikana kwa jina moja la Petrov.

Huyo alikuwa Mrusi mwenye pesa, aliyeingiza kiasi kikubwa cha pesa kila siku. Alijishughulisha na biashara ya madini mpaka pale alipofanikiwa kuipata almasi hiyo ambayo ilitoka nchini Liberia.

Baada ya Thuram kupata habari kuhusu almasi hiyo, moyo wake ukashtuka, hakuamini kama mwanaume huyo alifanikiwa kuipata almasi hiyo hivyo akaandaa vijana wake kwa lengo la kutaka kujua ni kwa namna gani angeweza kuipata.

Mchoro ukachorwa, mpango ukafanyika na mwisho wa siku kujua ni kwa namna gani wangeweza kuichukua almasi hiyo ambayo ilikuwa ikilindwa vilivyo katika jengo moja lililokuwa huko Texas nchini Marekani.

Kwa kuwatuma Nyoka, akawapeleka watalaamu wa kompyuta, watu waliokuwa na uwezo wa kupambana na msichana mmoja hatari aliyeitwa Vivian.

Walikwenda mpaka Texas, walisoma ramani ya nyumba ile, walifuatilia kwa karibu na kuijua vizuri ratiba ya walinzi waliokuwa wakilinda, kwa kutumia utalaamu wa vijana wake wa kompyuta, walidukua kamera, wakazima umeme na kuingia kininja ndani ya nyumba hiyo kubwa.

Humo walikutana na chumba kilichokuwa kimefungwa kwa vault, kwa kumtumia mtu wao wa umeme, akarekebisha kwa kuukata umeme wa ndani kabisa kuachana na ule wa nje, walipoona wameshindwa kabisa, mtu wa kompyuta akaanza kufanya vitu vyake kwa kutumia alama za mikono ya Petrov ambayo aliitumia kufungulia vault hiyo na kuingia ndani.

Waliipata almasi hiyo, walinzi walifungwa katika kibanda kimoja na wao kuondoka nayo. Hiyo ndiyo ilikuwa michezo waliyokuwa wakiicheza, Thuram aliwatumia vijana hao kufanya uhalifu kila kona ambapo aliona angeweza kupata kiasi kikubwa cha pesa.

Alifanikiwa pasipo FBI wala CIA kugundua kitu chochote kile kwani kwenye kila tukio ambapo kulikuwa kukifanyika uhalifu, hakuwepo, kulikuwa na vijana wake tu ambao alikuwa akiwalisha maneno mengi na kuwaambia kwamba hawakutakiwa kutoa siri juu ya kitu chochote kile, nao wakala yamini.

Huyo ndiye ambaye Johnson aliambiwa kwamba kama angeungana naye basi angeweza kupata kiasi kikubwa cha pesa na kuwa tajiri. Alifanikiwa kuonana mara mbili na mwanaume huyo, alizungumza naye, alimwambia ni kwa jinsi gani alitamani sana kuingia kwenye kundi lake la Nyoka.

Mara ya kwanza Thuram hakumwamini, alihisi kama alikuwa ofisa wa CIA ambaye alifika hapo kwa ajili ya kumpeleleza. Alimkatalia na hata alipomwambia tena, alimkatalia pia.

Hilo lilimpa mawazo Johnson, ilikuwa ni lazima aungane na mwanaume huyo. Alipoambiwa kuhusu madili ya pesa nyingi, yalimchanganya na ukiangalia alikuwa Mchaga aliyeijua pesa, kichwa chake kilivurugika zaidi.

Hakuacha kumsumbua mwanaume huyo, alimuomba sana, kwa miezi miwili mfululizo yeye ndiye alikuwa akiongoza kumpigia simu mpaka pale ambapo mwanaume huyo aliamua kuwaita vijana wake na kuongea nao kuhusu Johnson.

Kila mtu alimpa mawazo yake, kuna wengine ambao walimwambia amuweke kwenye kundi lakini kuna wengine walimwambia hakutakiwa kuingia kwa kuwa walikuwa na wasiwasi naye.

Hilo lilimuingia akilini lakini mwisho wa siku kabisa akapata wazo kwamba kama kweli kijana huyo alitaka kuingia kwenye kundi lake basi ingekuwa ni vizuri ampe kazi moja kubwa, ngumu ambayo wenzake waliishindwa, na kama angeiweza na kupata kile alichokuwa akikitaka, basi angemuingiza moja kwa moja.

“Nitampa kazi ya kumfuatilia Bruce,” alisema Thuram maneno yaliyomshtua kila mtu mahali pale.

“Kazi ya Bruce?” aliuliza kijana mmoja aliyeitwa kwa jina la Tony.

“Ndiyo! Yeye si anataka kazi, sasa subiri nimpe hiyo,” alisema Thuran.

Bruce Carner alikuwa mmoja wa wafungwa waliohukumiwa kifungo cha maisha katika gereza la Shelton Hill lililokuwa pembeni ya Jiji la Washington DC.

Mwanaume huyo alifungwa huko kwa kosa la kufanya mauaji ya polisi waliokuwa wakilinda pesa kiasi cha dola bilioni tano na kwenda kukificha mahali fulani.

Kwenye ishu hiyo hakuwa peke yake, alikuwa na wenzake wawili, Johnny Kelly na mwingine alikuwa Simon Pegg. Yeye ndiye ambaye alionekana na kugundulika, alikimbia na pesa hizo na kwenda kuzificha sehemu.

Huko alipozificha, hakukuwa na mtu aliyejua kwani hata watu hao wawili ambao alishirikiana nao, hakukuwa na mtu yeyote yule ambaye aligundua mahali pesa hizo zilipokuwa.

Hilo liliwaumiza mno watu hao na hata waliposikia Bruce anapelekwa gerezani na kufungwa, huko mtaani walihangaika kutafuta pesa hizo lakini hawakufanikiwa kuzipata kabisa.

Hilo likawapa mawazo tele, likawapa kazi ngumu mno kujua mahali pesa hizo zilipokuwa. Kila walipomtembelea Bruce na kumuuliza kuhusu pesa hizo, mwanaume huyo alisema hakumbuki mahali alipoziweka kwani ni muda mrefu ulikuwa umepita.

Thuram alifanikiwa kulijua dili hilo, kiasi cha dola bilioni tano kilikuwa kikubwa mno, kingemfanya kuishi maisha yake yote kiutajiri, afungue biashara nyingi na kuwa bilionea mkubwa, akataka kujua mahali pesa hizo zilipokwenda kufichwa lakini hakuweza kupata ukweli.

Aliwatumia vijana wake, walihangaika kumfuatilia Bruce, walimfanya awapende lakini bado kulikuwa na ugumu mkubwa mno wa mwanaume huyo kuwaambia mahali pesa hizo zilipokuwa.

“Au nitumia askari magereza?”

Hilo ndilo alilolifanya Thuram, akawalipa askari magereza kiasi kikubwa cha pesa na kuwataka wazungumze na Bruce mpaka awaambie mahali pesa hizo zilipokuwa lakini ilikuwa vigumu kwa mwanaume huyo.

Alipoona ameshindwa, ndipo alipojishauri kwamba kama kulikuwa na kijana aliyeomba sana kuingia kwenye kundi lake, basi ilikuwa ni lazima amtumie kwa kumpa kazi hiyo ili kama atafanikisha, achukue pesa hizo, agawane naye na kuondoka zake.

Hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya kumpigia simu Johnson na kuomba kuonana naye. Kijana huyo alijiandaa na kwenda katika Mgahawa wa KFC na kuonana na mwanaume huyo.

Siku hiyo Thuram alimchangamkia mno Johnson kiasi kwamba mpaka akasikia raha, alimwambia wazi kwamba alikubali ombi lake la kuwa mmoja wa vijana wake kwa sharti moja la kupewa kazi ngumu, kama angefanikisha, basi angekuwa mmoja wa vijana wake.

“Kazi gani? Nipo tayari bosi!” alisema Johnson huku akimwangalia mwanaume huyo.

“Kuna ishu ya dola bilioni moja zimefichwa sehemu ninataka ujue ni mahali gani zilipofichwa,” alisema Thuram, hakutaka kumwambia kijana huyo kiasi halisi cha pesa hizo kwani alijua endapo angemwambia ukweli na siku kuzipata, basi angehitaji makato makubwa na ndiyo maana aliamua kumdanganya.

“Zimefichwa wapi?” aliuliza Johnson.

“Hakuna anayejua zaidi ya mtu mmoja tu!” alisema Thuram.

“Nani?”

“Anaitwa Bruce. Huyu mwanaume yupo katika Gereza la Shelton Hill huko Washington DC. Kama utathubutu kwenda na kuzungumza naye, akamwambia mahali pesa zilipo, basi tutafanikiwa kwa kiasi kikubwa kuzipata pesa hizo,” alisema Thuram.

“Umesema dola bilioni moja?” aliuliza Johnson manake kiasi hicho kilishamchanganya.

“Ndiyo!”

“Mmh!” aliguna.

Kilikuwa kiasi kikubwa mno, alikiweka kiasi hicho kwenye pesa za Kitanzania, kilikuwa ni zaidi ya shilingi trilioni mbili. Kama angezipata pesa hizo ilimaanisha kwamba asingeishi maisha ya kawaida hata siku moja, kilikuwa ni kiasi kikubwa kupita kawaida.

Hakutaka kujiuliza sana, akamwambia Thuram kwamba alikuwa tayari, kama kweli kulikuwa na kiasi hicho cha pesa mahali fulani, na kulikuwa na mwanaume mmoja tu ambaye alitakiwa kumwambia mahali pesa zilipokuwa, hakuwa na tatizo lolote lile.

“Nitafuatilia suala hilo na ninakuhakikishia kwamba nitafanikiwa kujua pesa zilipo,” alisema Johnson.

Hakutaka kubaki mahali hapo, akaondoka zake. Kichwa chake kilichanganyikiwa, hakuwa ameifanya kazi hiyo, hakujua ilikuwa ngumu kiasi gani lakini kichwa chake kilimwambia kwamba angefanikiwa kuzipata pesa hizo.

Ukiachana na hilo, pia wazo jingine likamjia kichwani. Kama angefanikiwa kujua mahali pesa zilipokuwa, isingekuwa rahisi kumpelekea Thuram pesa hizo, kama angekuwa amezihangaikia yeye mwenyewe, kulikuwa na umuhimu gani kumpelekea mwanaume huyo ambaye wala hakuwa amehangaika kwa lolote lile?

“Yaani nihangaike, nijue pesa zilipo halafu nikamwambie, aje azichukue kirahisi! Hakuna ujinga huo,” alijisemea.

Akaondoka mpaka hosteli, alipofika huko, akatulia kitandani. Siku hiyo hakuwa sawa kabisa, mawazo yake yalikuwa kwenye pesa hizo tu, alitamani sana kuona anafanikiwa kuzichukua na kuondoka nazo akaanze maisha yake kivyake.

Alikaa huko akijifikiria na wazo la mwisho kabisa lililomjia kichwani mwake ni kwenda huko Washington DC, atembelee gereza hilo na kuangalia uwezekano wa kuongea na huyo Bruce ili amwambie mahali alipozificha hizo pesa, kama angekuwa radhi kumwambia katika hilo, basi alikuwa na uhakika wa kuzipata na kutoroka kuelekea nchini Tanzania.

“Cha kwanza ni kwenda huko Washingtona DC. Huu mchezo ni lazima uchezwe, pesa zijulikane zilipokuwa,” alijisemea Johnson, hakutaka kuwa na hofu, aliamini kabisa kwamba angefanikiwa kwenye suala hilo pasipo tatizo lolote lile.

Pale waliposhindwa watu wengine, yeye alitaka kufanikiwa, na kwa sababu dili hilo lilihusu pesa, hakuona kama angeshindwa hata kidogo. Aliamini kwenye dili lolote la pesa, Mchaga hakuwahi kushindwa.




Bhoke hakuacha kutembea na wanaume mbalimbali, alipenda sna ngono na katika maisha yake hakuamini kama kungekuwa na mwanamke ambaye angeweza kufanikiwa pasipo kutumia mwili wake.

Akili yake ni kama ililemaa, kila alipokuwa akipita na kuwaona wanaume wakiwa vifua wazi au hata eneo la kwenye zipu kutuna kidogo alichanganyikiwa kupita kawaida.

Alijipenda, alijua kuvaa na kila mwanaume ambaye alimuona, alimuita na kuanza kuongea naye. Alifanya ngono kupitiliza kiasi kwamba mpaka akili yake ilikuwa ikifikiria ngono kila wakati.

Alikuwa na orodha ya matajiri wakubwa jijini Dar es Salaam, matajiri ambao walimpigia simu na kumwambia kwamba walihitaji kufanya naye mapenzi. Alitumika sehemu nyingi na matajiri hao kiasi cha kumuingizia pesa ambazo kwake aliona kama zilikuwa nyingi kutokana na kazi ndogo aliyokuwa akiifanya.

Baada ya kukaa Dar kwa wiki kadhaa akapokea simu kutoka kwa mtu ambaye hakuwa akimfahamu, mtu huyo alijitambulisha kwa jina la Emmanuel Mambili ambaye alimwambia kwamba alihitaji sana kuonana naye kwa kuwa kulikuwa na kitu alihitaji kuzungumza naye.

Kwanza aligoma lakini mwanaume huyo akamuondoa wasiwasi kwamba hakukuwa na tatizo lolote lile, endapo angekwenda na kufanya hayo mazungumzo, angempa kiasi cha milioni moja na kama wangezungumza na kufikia makubaliano, angempa kiasi cha milioni moja nyingine na kama angempa kazi na kufanikiwa, basi angempa milioni tano.

Bhoke aliposikia hivyo, akachanganyikiwa mno, hakuamini hata kidogo kwamba aliahidiwa pesa nyingi mno ambazo hakuwahi kuzishika tangu azaliwe.

Hakutaka kuchelewa na hakutaka kujiuliza sana mwanaume huyo alihitaji kuzungumza naye kuhusu suala gani, alichokifanya ni kuelekea huko kwa ajili ya mazungumzo hayo.

Ni ndani ya dakika kadhaa akafika nje ya jumba moja kubwa Osterbay ambapo alielekezwa aende,akachukua simu yake na kumpigia mwanaume huyo, akamwambia kwamba alifika mahali hapo kwa ajili ya mazungumzo hayo.

Haraka sana geti likafunguliwa na gari kuingizwa. Kwa jinsi humo kulivyokuwa, Bhoke alibaki akishangaa, lilikuwa jumba la kifahari na lililokuwa na kila kitu humo. Alibaki akishangaa kwanza kabla ya kuteremka na kumuona mwanaume mmoja akimfuata na kumpokea.

Akasalimiana naye na kujitambulisha kwamba aliitwa Mambili na yeye ndiye ambaye alimuita kwa lengo la kuzungumza kidogo na kumpa pesa ambazo alimuahidi.

Kwa jinsi mwanaume huyo alivyokuwa ilikuwa ni vigumu sana kugundua kama yeye ndiye alikuwa mmiliki wa jumba hilo kubwa, alionekana mtu wa kawaida sana kumbe upande wa pili alikuwa mwanaume aliyekuwa na pesa nyingi mno.

Hofu haikuwepo moyoni mwake, alitokea kumwamini mno mwanaume huyo kana kwamba alikwishawahi kufahamiana naye kabla. Akaingizwa mpaka sebuleni na kukaa kwenye kochi kubwa lililoyafanya makalio yake yaingie kwa ndani.

Akili yake ilimwambia kwamba Mambili alihitaji kufanya naye mapenzi, alijipanga, alijiweka sawa na alijiahidi kwamba siku hiyo angemuonyeshea staili zote mwanaume huyo, yaani angemfanyia utundu kiasi kwamba angeshangaa yeye mwenyewe.

“Umependeza sana Bhoke,” alisema Mambili huku akimwangalia msichana huyo na kumpa juisi, akaanza kunywa.

Kuambiwa hivyo alizoea, kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia ilikuwa ni lazima amwambie kwamba alipendeza, alikuwa mzuri wa sura na maneno mengine mengi tu. Akaitikia kwa kumwambia ahsante kisha mazungumzo mengine kuendelea.

Walizingumza mambo mengi, Bhoke ambaye alikuwa na uwezo wa kumsoma mtu yeyote yule kila aliokuwa akimwangalia mwanaume huyo, hakuona kama alihitaji kulala naye, alionekana kuwa mtu wa kawaida, aliyekuwa akitaka kumwambia maneno ya kawaida tu kitu ambacho kwake hakikumuingia akilini kwa sababu alipenda ngono, kitendo cha kuingia ndani ya nyumba hiyo kilikuwa ni ishara tosha ya kulala na mwanaume huyo.

“Bhoke! Nafurahi sana kuona ukijiamini sana,” alisema mwanaume huyo huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake.

“Umejuaje?”

“Unavyoonekana tu. Kwa jinsi ulivyo, ninaamini utakwenda kufanya kazi yetu vizuri kabisa,” alisema mwanaume huyo.

“Kazi yetu?”

“Yaap! Namaanisha mimi na wenzakengu!”

“Akina nani?”

“Hutowajua kwa sasa,” alijibu Mambili.

Bhoke akatulia kwanza, hakutakiwa kuwa na papara ya kuuliza maswali mengi kwani aliamini kazi hiyo ilikuwa na umuhimu mkubwa na ndiyo maana aliahidiwa kiasi kikubwa cha pesa.

Akasubiri aambiwe kwanza kuhusu kazi yenyewe. Mambili akasimama na kuelekea chumbani kwake, baada ya sekunde kadhaa akarudi huku akiwa na bahasha na kumuwekea msichana huyo juu ya meza.

Bhoke akaichukua na kuifungua, humo akakutana na picha kadhaa, zilikuwa za mwanaume mmoja aliyemfahamu vilivyo kabisa, aliitwa Selemani Makame, alikuwa mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa kupitia tiketi ya Chama cha Diplomatic.

“Hiyo ndiyo kazi yenyewe,” alisema Mambili huku akimwangalia Bhoke.

Msichana huyo alishangaa, hakujua kazi hiyo ilitakiwa kufanyika vipi, alimwangalia Mambili kwa macho yaliyokuwa na maswali mengi ambayo kwa muda huyo yalihitajika majibu yake haraka sana.

Mambili alielewa hivyo akaanza kumwambia kuhusu kazi yenyewe. Huo ulikuwa mwaka ambao Tanzania ilitakiwa kufanya uchaguzi mkuu ambao ungewaweka madarakani wabunge wengi na rais. Kulikuwa na upinzani mkubwa kuliko miaka yote, kila kona kulikuwa na mikikimikiki ya watu ambao walitaka kuwa viongozi nchini humo.

Mambili alikuwa mmoja wa wagombea ambao walitakiwa kugombea nafasi ya ubunge wa Ubungo kupitia Chama cha Republic ambacho kilikuwa na upinzani mkubwa na Chama cha Diplomatic.

Mbele yake aliona upinzani mkubwa, Makame aliahidi kwamba ni lazima afanye kila liwezekanalo kuhakikisha anachukua tena ubunge wa jimbo hilo kwa sababu tu aliamini kwamba anapendwa na kila mtu aliyekuwa akimchekea mbele yake.

Kwenye mikutano yake mingi watu walimsifu, walijaa kitu kilichowapa uhakika kwamba ni lazima mwaka huo angechukua tena kiti hicho cha ubunge na kurudi bungeni.

Wakati huo Tanzania ilikuwa ikiongozwa na Chama cha Republic, walikuwa wakihitaji kupata ubunge katika majimbo yote jijini Dar es Salaam na jimbo ambalo lilionekana kuwa gumu lilikuwa ni hilo la Ubunge.

Chama hicho kilifanya kila liwezekalo kuhakikisha wanalipata jimbo hilo. Walitumia njia nyingi sana kumnyong’onyesha Makame lakini walishindwa kabisa.

Hawakuona kama mwanaume huyo angeweza kurudi nyuma. Baada ya kuona kwamba walitumia nguvu nyingi kutaka kumyumbisha mwanaume huyo ili aonekane si kitu ndipo wakasikia kuhusu mwanamke fulani mrembo aliyekuwa akijiuza, Bhoke.

Walihitaji kumtumia, ni kweli waliwatumia wasichana wengi kwa lengo la kumfuata kimapenzi lakini alishtukia mchezo, hakutaka kabisa kuona akiingia kwenye majaribu kwani aliamini hiyo yote ilikuwa ni mitego iliyosukwa vilivyo hivyo ilikuwa ni lazima apambane kiume.

Wakati yeye akisema kwamba asingeweza kutekwa kiboya, upande wa pili watu waliendelea kuandaa mikakati na ndipo walipoamua kumtumia huyo Bhoke.

Hawakutaka kugundulika, waliwafahamu wanawake, hawakuwa watu wa kuficha siri na ndiyo maana waliamu kumtumia Mambili ili azungumze naye kwa kirefu, kama alihitaji pesa basi angepewa za kutosha lakini mwisho wa siku wafanikiwe kile walichokuwa wakihitaji kutoka kwa msichana huyo.

“Sasa kazi gani inatakiwa kufanyika?” aliuliza Bhoke.

“Tunahitaji kupata picha ukifanya mapenzi na huyu mwanaume,” alisema Mambili huku akimwangalia Bhoke.

“Mh!” aliguna.

“Unaguna nini? Unaogopa?” aliuliza Mambili huku akimwangalia msichana huyo.

Ni kweli aliogopa, kwake, kujiingiz akwenye vita vya kisiasa hakutaka kabisa, alihitaji kuwa na marafiki, hakutaka uadui na mtu yeyote yule na ndiyo maana alikuwa akitumia muda wake mwingi kujinadi kwenye mitandao, ishu ya kuwa na maadui hakutaka kabisa.

Leo, mwanaume aliyekuwa mbele yake alimwambia kwamba ni lazima kazi moja ifanyike kwa malipo makubwa, huyo Makame ilikuwa ni lazima aingizwe katika mtego huo na picha kupatikana ambazo zingetumika kumchafua katika kampeni ambazo zilitarajiwa kufunguliwa baada ya wiki mbili.

“Hii ni kazi ngumu sana!” alijibu msichana huyo.

“Sidhani kama kuna ugumu! Yaani sisi tunataka ulale naye na ujipige picha, ni hilo tu,” alisema mwanaume huyo.

“Pasipo kufanya naye mapenzi ama?”

“Wewe sasa! Ila sisi tunataka tupate picha ukiwa naye chumbani!” alisema Mambili.

“Basi ni lazima nifanye naye mapenzi!”

“Ila si lazima!”

“Hapana! Lazima nifanye naye. Napenda mno kufanya mapenzi,” alisema Bhoke, alimaanisha alichokuwa akikizungumza kwani kwake, kufanya mapenzi ndiyo ilikuwa starehe yake kubwa kuliko hata kula.

Mambili hakuwa na shida na hilo, alichohitaji ni msichana huyo kufanya kazi yake tu. Kwa kuanzia, akampa kiasi cha milioni tatu na kumwambia mahali ambapo mwanaume huyo angekuwepo kwa ajili ya kuzungumza na wadau mbalimbali kama njia mojawapo ya kuanza kampeni zake.

Bhoke alipoondoka, haraka sana akawapigia simu viongozi wake na kuwaambia kuhusu msichana huyo kwamba alikubali kufanya kazi yake kwa malipo yaleyale waliyokuwa wamepanga.

“Na ni mzuri?” aliuliza waziri mmoja kwenye simu.

“Sanaaaa! Yaani isingekuwa hapa nyumbani, nadhani leo ningevunja naye amri ya sita,” alisema Mambili na kuanza kucheka.

Haraka sana taarifa zikatumwa mpaka kwa Rais Edmund Golam na kuambiwa kuwa msichana huyo alipatikana na tayari alianza kujipanga kwa ajili ya kufanya kazi hiyo kubwa iliyokuwa mbele yake.

Naye alipoambiwa hivyo, kama ilivyokuwa kwa waziri akaulizia uzuri wa Bhoke, akaambiwa kwamba alikuwa mrembo mno hivyo walikuwa na uhakika wa kufanikiwa kwa kile walichokuwa wamekipanga.

Rais Edmund aliposikia hivyo ni kama akili yake ilichanganyikiwa, akamwambia waziri kwamba kabla ya kazi hiyo kufanyika ilikuwa ni lazima aonane na msichana huyo ili ampe mbinu za kufanya katika kutekeleza mpango huo.

Hilo halikuwa tatizo, haraka sana simu ikapigwa mpaka kwa Mambili na kuambiwa kile alichokisema rais hivyo kama iliwezekana ilikuwa ni lazima ampigie simu Bhoke na kumwambia kuhusu kile alichoambiwa.

Halikuwa tatizo, akampigia simu msichana huyo na kumwambia kila kitu. Bhoke aliposikia, hakuamini masikio yake, katika maisha yake yote hakuwahi kufikiria hata mara moja kwamba angeingia ikulu hata kwa bahati mbaya.

Alimwambia Mambili jinsi alivyokuwa akiogopa, hakujiamini kwa sababu kila siku alijiona malaya ambaye hakutakiwa kuthaminika hata kidogo, sasa suala la kwenda huko alihisi kama angeweza kuichafua ikulu hasa baada ya waandishi wa habari kugundua.

“Hakuna atakayejua! Niamini!” alisema Mambili.

Bhoke akapangiwa chumba hotelini kwa siku ambazo alitakiwa kusubiri wito kutoka ikulu. Katika kipindi hicho hakutakiwa kujiuza, japokuwa ilikuwa vigumu lakini aliambiwa akae pasipo kufanya mapenzi na mtu yeyote yule.

Mwili wake uliwasha, huko chumbani hotelini hakutaka kukubali hata kidogo. Kulikuwa na walinzi waliokuwa wakimlinda kwa nje, kuhakikisha haingii mtu ndani ya hoteli ile na kwenda chumbani kwake.

Kwa kuwa alikuwa hajiwezi kabisa, alichokifanya ni kupiga simu mapokezi na kuongea na msichana wa hapo, alichomwambia ni kwamba alihitaji huduma ya kukandwa mwili wake.

“Sawa! Tunakuandalia mtu, unahitaji wa kike au wa kiume?” aliuliza dada wa mapokezi swali ambalo kwake lilikuwa ni la kijinga sana.

“Wa kiume.”

“Basi haina shida. Naomba uteremke mpaka kwenye chumba maalumu kwa kazi hiyo,” alisema msichana huyo.

“Na haiwezekani kufanyia chumbani?”

“Inawezekana! Ila wengi hawapendi kufanyia vyumbani mwao!”

“Basi mimi nataka!”

“Haina shida, atafika ndani ya dakika chache,” alisema msichana huyo na kukata simu.

Hilo ndilo alilolitaka, hakuweza kuwa na subira hata kidogo, kila alipokuwa mule chumbani alihisi kabisa kulikuwa na vijidudu vilikuwa vikitembea mwilini mwake na mwisho wa siku kwenda chini ya kitovu na kukaa hapo.

Aliteseka siku nzima, alijitahidi kujiridhisha yeye mwenyewe lakini alishindwa kabisa na ili aridhike, mwili wake uwe salama kabisa ilikuwa ni lazima atafute mwanaume wa kukata kiu yake.

Baada ya dakika ishirini, mlango ukaanza kugongwa, harakaharaka akaufuata huku akiwa na taulo na kuufungua. Macho yake yakatua kwa kijana mmoja aliyevalia fulana ambayo iliufanya mwili wake kuonekana vilivyo kabisa.

Alishika vifaa vyote na kumwambia Bhoke kwamba yeye ndiye alikuwa mtu wa kumkanda mwili wake na alifika mahali hapo kwa kazi hiyo kama alivyoagiza.

“Oh! Karibu sana,” alisema Bhoke huku akimshika mkono na kuupeleka kwenye kifua cha mwanaume huyo kitu kilichomfanya kushtuka.

“Nashukuru sana!”

Akaingia ndani, Bhoke akaelekea bafuni, akaoga huku kijana yule akibaki mahali pale peke yake. Yeye mwenyewe pale alipokuwa alichanganyikiwa, ni kweli kwenye maisha yake aliwahi kuwaona wanawake wazuri ile yule aliyemuona siku hiyo alikuwa balaa.

Bhoke alikuwa na uzuri wa asili, alikuwa na mwili mzuri na hata alipokuwa akitembea, huku kwa nyuma kulikuwa kunachezacheza kitu kilichomchanganya sana kijana huyo.

“Hivi ameniita kwa massage au kuna jingine?” alijiuliza kijana huyo, akaingiza mkono wake mfuko, akatoa pakti moja ya kujikunga ambazo alipenda sana kutembea nazo kwani kwa kazi aliyokuwa akiifanya, mara nyingi alipata vishawishi vikubwa na kujikuta akilala na wanawake aliokuwa akiwafanyia kazi hiyo.

“Zipo! Hizi tatu zinatosha kutumika kama tu atachanganyikiwa na massage yangu,” alisema kijana huyo, baada ya dakika kadhaa, Bhoke akatoka bafuni na taulo lake, akawekwa juu ya meza ndogo ya kufanyiwa massage na kuliweka taulo lake pembeni, akabaki kama alivyozaliwa. Hayo yote aliyafanya ili kukata kiu yake ya muda mrefu. Pepo la ngono lilimsumbua mno.



Rais Edmund alikuwa ikulu, kama ilivyokuwa kwa Bhoke kuwashwa na mwili wake na kupenda sana ngono ndivyo ilivyokuwa hata kwa rais huyo.

Alikuwa ikulu lakini mara kwa mara alikuwa akiondoka usiku na kwenda mitaani kuonana na michepuko yake. Alihusudu ngono kuliko kitu chochote kile.

Kila alipokuwa akifanya ziara nchi mbalimbali, aliwapigia simu wanawake wake na kuonana nao huko na kufanya nao mapenzi. Kila siku mke wake alikuwa mtu wa kulalamika, alimwambia mume wake abadilike lakini hakusikia kabisa.

Kila mrembo wa Tanzania alitembea naye, waigizaji wa maigizo kwenye runinga alitembea nao, kila mwanamke ambaye alipata kiki, alitembea naye kitu kilichoonyesha ni kwa jinsi gani alihusudu sana kufanya mapenzi kuliko kufanya kazi aliyopewa na wananchi.

Muda huo kichwa chake kilikuwa kikimfikiria Bhoke tu, aliambiwa kuhusu msichana huyo, alikuwa mrembo mno, kusingekuwa na mwanaume yeyote ambaye angemkataa kama tu angesimama mbele yake.

Alipewa sifa nyingi za msichana huyo na hivyo alihitaji kujionea kwa macho yake ili auone uzuri huo, alifanaje, aliumbikaje na ni kwa jinsi gani alikuwa mzuri kitandani.

Pale alipokuwa kila wakati alitamani kuwasiliana naye, alizungumza na Mambili na kumwambia kuhusu msichana huyo ni kwa jinsi gani alitamani sana kuonana naye.

Hakutaka kumficha, alimwambia wazi kwama alihitaji sana kufanya naye mapenzi kwa sababu zile sifa ambazo walimmwagia zilikuwa si mchezo.

Hilo halikuwa tatizo, Mambili alimwambia ajiandae kwani tayari alimpeleka hotelini ambapo huko angekaa kwa siku moja na kwenda kuonana naye ikulu.

“Hapana! Huku asije! Yaani akija huku hatutofanya mapenzi, nipo na familia yangu,” alisema rais.

Hilo halikuwa tatizo, alimwambia usiku wa siku hiyo, majira ya saa nane alitakiwa kujiandaa na kwenda huko kama alivyokuwa akifanya hata kwa wanawake wengine.

Alichokifanya ni kumpigia simu Bhoke na kumwambia kwamba rais angekwenda hapo hotelini kuonana naye. Kipindi hicho ndicho ambacho msichana huyo alikuwa amemaliza kufanya mapenzi na kijana wa massage hivyo kumwambia hakuna tatizo.

Ilipofika majira ya saa nane, rais akaondoka ikulu na kuelekea hotelini kificho. Gari lake halikusindikizwa kwa ving’ora, ilikuwa ni siri kubwa, alikuwa na dereva wake tu na alivalia kofia kubwa aina ya Marlboro.

Hawakuchukua muda mrefu wakafika hapo hotelini. Kabla ya kutoka, kwanza akaanza kuangalia huku na kule, alitaka kuhakikisha uilinzi unakuwa wa kutosha mahali hapo na kusiwe na mtu yeyote ambaye anatakiwa kugundua kama yupo mahali hapo.

Kulipoonekana kupo salama, akateremka na dereva wake na kuanza kuelekea ndani. Ilikuwa ni vigumu kugundulika na watu wengine, alipitiliza mpaka kwenye lifti, akaingia na kuanza kuelekea juu.

Mapigo yake ya moyo yalikuwa juu, hakuamini kama alikuwa akienda kuonana na msichana huyo ambaye aliambiwa kuhusu sifa zake nyingi kwamba alikuwa mrembo, mwenye figa matata ambayo ingemtoa udenda kila mwanaume ambaye angeyapitisha macho yake kwa huyo msichana.

Alipofika kwenye floo husika, akateremka na kuufuata mlango wa chumba alichokuwepo Bhoke na kuugonga. Msichana huyo akaufungua, akashtuka mno mara baada ya macho yake kugongana na ya Rais Edmund.

“Mungu wangu!” alijikuta akisema huku akiwa na mshtuko mkubwa.

Rais akaingia mpaka ndani, akakifuata kitanda na kukaa. Bhoke hakujiamini, alimwangalia rais, hakuamini kama alikuwa yeye, wakati mwingine alihisi kama alikuwa kwenye moja ya ndoto ya kusisimua sana. Alimsogelea na kumwangalia vizuri, alitaka kupata uhakika kama alikuwa mwenyewe ama alimfananisha.

“Unanishangaa sana mpenzi,” alisema Rais Edmund.

Macho yake yalikuwa kwa Bhoke tu, alimwangalia msichana huyo, jinsi alivyokuwa, alichanganyikiwa, vile alivyoambiwa kuhusu Bhoke alihisi kudanganywa sana kwani msichana huyo alikuwa mzuri mara ya mia ya vile alivyokuwa ameambiwa.

Alikuwa chotara wa Kizungu, mwenye nywele ndefu, figa matata na uso wake ulikuwa na tabasamu pana huku kwa nyuma akiwa na mzigo matata ambao kwa wanaume wa Pemba ama Mombasa ilikuwa ni lazima kuhonga jumba kubwa au hata shamba la minazi.

“Wewe ni mzuri sana,” alisema rais huku akimwangalia Bhoke ambaye bado hakuonekana kujiamini hata kidogo.

“Asante sana.”

“Umesema unaitwa nani?” aliuliza.

“Bhoke!”

“Oh! Nani kwenu Mzungu?”

“Baba! Ni Mjerumani!”

“Ooh! Asante kufahamu hilo!” alisema rais.

Bhoke akaomba ruhusa ya kwenda kuoga, halikuwa tatizo, alikwenda na alipofika huko akaanza kujimwagia maji. Ni kwamba alitoka kufanya mapenzi na kijana wa massage lakini baada ya kuoga na kujisugua huku akijishika chini ya kitovu chake, mwili wake ukaanza kumshika kwa hamu tena.

Akaanza kusisimka, hamu aliyokuwanayo kipindi cha nyuma ikaanza kurudi tena. Alichanganyikiwa, alipagawa kupita kawaida na pale bafuni alipokuwa alihisi kama kulikuwa na vidudu fulani vilikuwa vikimtembelea mwilini mwake.

“Aagghh!” alijikuta akiguna baada ya mkono wake kuupitisha kwenye kifua chake.

Alishindwa kuvumilia, ulikuwa ni upumbavu kutaka kumaliza hamu yake bafuni na wakati pale chumbani kulikuwa na mwanaume.

Haraka sana akatoka na kuanza kumfuata rais pale kitandani. Kwa jinsi umbo lake lilivyojengeka, namba nane ilikuwa ikionekana vizuri kabisa kitu kilichomchanganya rais huyo ambaye tayari alibaki na boksa tu.

Bhoke akamsogelea, kitu cha kwanza alichokifanya ni kuanza kubadilishana naye mate. Rais alichanganyikiwa, hata kwenye tendo kama hilo kulikuwa na wazoefu wake na huyo Bhoke alikuwa mmoja wapo.

Ulimi wake ulipokuwa kinywani mwa rais alijua ni kwa jinsi gani alitakiwa kuutembeza, alijua ni kwa jinsi gani alitakiwa kunyonya ulimi wa mwanaume yeyote yule.

Palepale kitandani rais akachanganyikiwa, hakujua kulitokea nini lakini ghafla alijiangalia, boksa haikuwepo tena mwilini mwake, ilikuwa pembeni kabisa, ilitolewaje? Hakujua hata kidogo.

Siku hiyo alianza kufanya mapenzi na msichana huyo, usiku mnene lakini wala hakuonekana kuchoka. Bhoke alikuwa mtaalamu, alijua dhahiri kwamba mwanaume aliyekuwa mbele yake alikuwa na madaraka, kama angetumia nguvu kubwa kuhakikisha anampagawisha basi angeweza kupata pesa nyingi na asingekuwa na matatizo yoyote yale maisha yake yote.

Tendo lilichukua saa moja lakini rais alikuwa hoi, hakuwa anajiweza, aliburuzwa kupuita kawaida na kila alipomwangalia Bhoke hakumpatia picha.

“Haya mambo umejifunza wapi?” aliuliza rais huku kijasho kikimtoka japokuwa kiyoyozi kiliwashwa.

“Nilifundwa na kufundika,” alijibu Bhoke.

“Umenichanganya sana! Nakuahidi situkuacha,” alisema rais, alipomaliza, akasimama, akaenda kuoga, alipomaliza akavaa nguo zake na kuondoka huku akiahidi kumfanyia mambo makubwa msichana huyo.

***

Johnson alifika jijini Washington DC huku lengo lake likiwa ni kwenda katika Gereza la Shelton Hill kwa lengo la kumuona Bruce. Mwanaume huyo alikuwa mtu muhimu sana, kwake, ili kupata pesa ambazo hakujua mahali zilipokuwa ilikuwa ni lazima aonane na mwanaume huyo.

Gereza hilo halikuwa likiingiwa na watu hovyo, watu ambao walitakiwa kwenda kumtembelea mwanaume huyo walikuwa ndugu zake tu hivyo kulikuwa na ugumu wa yeye kama yeye kwenda kuonana na Bruce.

Alichokifanya ni kuwatafuta ndugu wa mwanaume huyo na kuanza kuongea nao, aliwaambia lengo lake kubwa lilikuwa ni kutaka kuonana na mwanaume huyo kwani kuna jambo moja kubwa alilotaka kuongea naye, hivyo kama wangemsaidia katika hilo angewashukuru sana.

“Ni kuhusu pesa zilipo?” aliuliza mmoja wa ndugu zake, huyo aliitwa Campbell.

Johnson akashtuka, hakutegemea kusikia hilo, akawaambia ndiyo, alihitaji kuzungumza naye kuhusu jambo hilo na hivyo ndugu hao kumwambia kwamba isingewezekana hata kidogo kulizungumzia jambo hilo kwani katika maisha yake yote ya humo gerezani, kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakitaka kujua kuhusu hiozo pesa lakini hakuwa radhi kusema mahali zilipokuwa.

“Kwa hiyo hawezi kabisa kusema mahali zilipo?” aliuliza Johnson huku akiwaangalia ndugu hao.

“Hata kidogo!”

Majibu aliyopewa yalimnyong’onyeza sana, hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya. Aliondoka hapo New York na kurudi hosteli, ilikuwa ni lazima ajipange, ajue ni kwa jinsi gani alitakiwa kupambana kuhakikisha anazungumza na mwanaume huyo na kumwambia kuhusu mahali pesa zilipo.

Kwa sababu hakuwa mwepesi kusema kuhusu jambo hilo, kitu kilichokuja kichwani mwake ni yeye mwenyewe kwenda huko gerezani, afungwe hata kwa miezi sita, wakati akiwa huko afanye kila liwezekanalo kuhakikisha anaonana na mwanaume huyo na kujenga urafiki.

“Mh! Ila hii nayo hatari sana,” alijisemea.

Dola bilioni tano kilikuwa kiasi kikubwa cha pesa, hazikuwa pesa ndogo za kuzipotezea tu, ilikuwa ni lazima apambane kuhakikisha anazipata kwa kujua mahali zilipokuwa.

Kwenda gerezani hakukuwa na tatizo ila alitakiwa kuwa na uhakika wa kuzipata pesa hizo. Kwenye hilo aliendelea kufikiria kwamba kama angekwenda huko, ni kwa jinsi gani angemlaghai mwanaume huyo kumwambia mahali pesa hizo zilipokuwa?

“Inabidi nimtumie mwanamke,” alijisemea.

Hapo, mwanamke ambaye alikuja kichwani mwake kwa haraka alikuwa Bhoke. Alihisi kwamba alihitaji msichana ambaye alikuwa mrembo lakini ingekuwa vigumu kufanya kazi na mwanamke wa Kimarekani kwa kuwa angeweza kudhulumiwa endapo tu angegundua kwamba kulikuwa na pesa nyingi nyuma ya kila kitu kilichokuwa kikiendelea.

Kuonana na Bhoke ilikuwa ni lazima arudi nchini Tanzania. Kama yeye angefungwa jela na kumwambia msichana huyo ajifanye kuwa ndugu yake ambaye mara kwa mara angekuwa akimtembelea hapo, je, angekuwa radhi kufanya mapenzi na Bruce ambaye angemuunganisha kwake na kumfanya kuwa demu wake? Hapo hakupata jibu, ila cha kwanza ilikuwa ni lazima akae na kuzungumza na msichana huyo.




Johnson hakutaka kubaki nchini Marekani, ilikuwa ni lazima arudi nchini Tanzania kwa lengo la kumtafuta msichana Bhoke ambaye aliamini angeifanya kazi yake kama alivyotaka.

Aliukumbuka uzuri wa msichana yule, mchanganyikio wake wa rangi ambao uliwaacha watu wengi midomo wazi. Hakujua alipokuwa akiishi ila kitu ambacho alikikumbuka ni kwamba alikuwa Magomeni alipokuwa akiishi na mama yake.

Alipofika nchini Tanzania, akaanza kuelekea huko ambapo nao walihama na kuhamia Mikocheni B. Alipofika huko akaanza kumuulizia msichana huyo, kila mmoja hakujua mahali alipokuwa, mama yake alipofariki, naye hakukaa sana akaondoka, alipoondoka, hakuna aliyepafahamu.

Hilo likamuhuzunisha mno, kwake, huyo Bhoke alikuwa mtu muhimu kuliko yeyote yule. Ilikuwa ni lazima apambane kadiri alivyoweza lakini mwisho wa siku afanikiwe kuonana naye.

Kwa kuwa alikumbuka msichana huyo alikuwa na rafiki mahali hapo aliyeitwa Happiness, akamtafuta, alipomuona akaanza kuongea naye.

Msichana huyo ndiye ambaye alimwambia ukweli kuhusu Bhoke, kwamba alikuwa akijiuza kwa kusafiri kwenda sehemu mbalimbali kama kutanua soko lake. Johnson alivyosikia hivyo, hakuamini masikio yake, aliumia moyoni mwake lakini pia alikumbuka maisha ambayo aliishi Bhoke.

Yalikuwa maisha magumu mno, hakuwa na pesa za kutosha, alimtegemea mama yake ambaye baada ya kufariki, hakujua ni kwa namna gani angeweza kuyaendesha maisha hayo.

Hakutaka kumlaumu, kwa mtoto wa kike kama yeye ilikuwa ni lazima kuishi maisha hayo hivyo akapotezea na kumwambia Happiness kwamba alihitaji kuonana na msichana huyo.

“Nitakupa namba yake!” alisema Happy.

“Sawa.”

Akapewa namba ya Bhoke na kuanza kuwasiliana naye. Siku hiyo ndiyo kwamba msichana huyo alimaliza kufanya mapenzi na rais Edmund usiku uliopita, kitendo cha kupigiwa simu na Johnson kilimshtua kupita kawaida.

Ilipita miaka mingio, tangu mama yake alipofariki, alimpenda mno kijana huyo, alikumbuka jinsi alivyomjali katika kipindi cha nyuma, japokuwa hakuwa ameutoa usichana wake lakini kwake alikuwa mtu mwenye thamani kuliko mtu yeyote yule.

Akamwambia kwamba alikuwa katika hoteli moja kubwa hivyo kama alihitaji kumuona ilikuwa ni lazima aelekee huko na kuongea naye.

Alipoambiwa hivyo, Johnson hakutaka kujiuliza mara mbilimbili, alipata majibu juu ya kile alichoambiwa. Kulikuwa na wasichana wengi jijini Dar es Salaam ambao makazi yao yalikuwa ni hotelini tu.

Kila siku walikuwa huko ambapo waliwaita wateja wao waliogharamia kila kitu na kufanya mapenzi humohumo. Aliyafahamu maisha hayo kwani yalikuwa yaleyale yaliyokuwa yakifanywa na wasichana wa aina hiyo nchini Marekani.

Kwa kuwa alikuwa na shida ya kuonana naye, hakutaka kusubiri, haraka sana akajiandaa na kuelekea huko. Alipofika, akaelekea mapokezi ambapo alizungumza na dada wa hapo ambaye alimwambia kwamba alikuwa na mgeni wake huko, akapigiwa simu na kumruhusu.

Akaelekea huko mpaka chumbani. Hakujua kama msichana huyo alikuwa akilindwa kwa kuwa alikuwa chakula cha rais lakini pia kulikuwa na kazi kubwa alitakiwa kuifanya.

Alipofika huko, akaingia ndani na kuonana na Bhoke. Akamsogelea na kumkumbatia. Joto la Johnson likamchanganya Bhoke, kifua chake kipana kiliufanya mwili wake kusisimka kupita kawaida.

Ghafla akabadilika na mwili wake kushikwa na kiu ya ajabu sana, alitamani kumvua nguo Johnson na kumwambia kwamba alimuhitaji, alihitaji kushikwa hapa na pale na hatimaye walale kitandani.

“John! Nimekukumbuka,” alisema msichana huyo kwa sauti ya mahaba huku wakiwa wamekumbatiana, katika sehemu kama hizo za kuupoza mwili wake hakutaka kusikia aibu, hapohapo akaanza kuilamba shingo ya Johnson kitu kilichomshtua mwanaume huyo.

“Bhoke....”

“Nimeshindwa kuvumilia Johnson, ninakuhitaji ukate kiu yangu,” alisema Bhoke kwa sauti ya mahaba.

Ilikuwa ni vigumu kwa Johnson, hakuwa mahali hapo kwa lengo la kufanya mapenzi na msichana huyo bali alikuwa hapo kwa kuwa kulikuwa na mambo walitakiwa kuzungumza wawili tu.

“Bhoke! Subiri kwanza,” alisema Johnson huku akimtoa msichana huyo mwilini mwake.

“Ninakuhitaji! Johnson!”

“Najua! Subiri kwanza,” alisema kijana huyo na kumtoa kabisa.

Akamuweka kitandani, akaanza kumwangalia machoni mwake, kwa jinsi alivyoonekana tu, macho yake yalibadilika na kuwa na muonekano ulioonyesha ni kwa jinsi gani alizidiwa na alimuhitaji mwanaume huyo kitandani.

“Bhoke! Nimekuja kwa shida moja,” alisema Johnson.

“Shida gani?”

“Ninahitaji msaada wako wa ari na mali,” alisema Johnson huku akimwangalia msichana huyo.

“Msaada gani?”

Hapo ndipo alipoanza kumwambia kile alichokuwa akikihitaji, hakutaka kumficha, ilikuwa ni lazima kumuweka wazi kwani mbele yake kulikuwa na utajiri mkubwa mno.

Alimwambia kila kitu, Bhoke alibaki akimwangalia Johnson, hakuamini kama mwanaume huyo alikuwa akizungumzia trilioni za pesa, kwake, kile alichikisikia kilionekana kuwa kama ndoto.

“Unazungumzia dola bilioni tano!” alisema Bhoke huku akionekana kutokuamini kabisa.

“Ndiyo!”

“Ni trilioni zaidi ya kumi!”

“Kabisa!”

Akashusha pumzi tena, mhemko wa kufanya mapenzi na Johnson wote ukapotea ghafla, alifikiria pesa hizo, yaani kama angefanikiwa kuzipata basi angebadilisha maisha yake.

Isingekuwa kufanya mapenzi na wanaume hata ambao hakuwa akiwataka, angekuwa na uwezo wa kufanya mapenzi na mwanaume yeyote yule na kumlipa kiasi kizuri cha pesa.

Hakutaka kulemba, alimwambia kwamba alikuwa tayari ila kwa kuwa kulikuwa na kazi nyingine alitakiwa kufanya, alitakiwa kusubiri mpaka pale ambapo ingekamilika.

“Hakuna shida.”

Baada ya kumaliza mazungumzo yao, Johnson akatoka na kuelekea nje, moyo wake ulikuwa na furaha tena, hakuamini kama alifanikiwa kuonana na msichana huyo, akaongea naye na kubwa zaidi ni kuwa alikubaliana naye kwa kila kitu.

Uso wake ulikuwa na tabasamu pana. Pale nje alipofika, akachukua teksi na kuondoka hapo hotelini. Walipokuwa njiani tu, ghafla gari moja aina ya Verrosa ikasimama mbele yao, wanaume wawili wakateremka, mikononi mwao walikuwa na bastole.

Watu waliokuwa maeneo hayo walishangaa, hawakujua kilichokuwa kikiendelea, huku wakijiuliza, risasi tatu zikapigwa hewani, kila mmoja aliyezisikia, hakutaka kubaki mahali hapo, akakimbia kuiokoa nafsi yake.

Johnson hakuelewa kilichokuwa kikiendelea, yeye na dereva walibaki wakitetemeka tu. Wanaume wale wakapiga hatua mpaka lilipokuwa gari lao, wakafungua mlango na kumteremsha Johnson huku wakimwambia anyamaze.

“Nimefanya nini jamani?” aliuliza, swali lake hilo likajibiwa na kipigo kimoja cha kitako cha bunduki kisogoni, hapohapo akapoteza fahamu, hakujua ni kitu gani kiliendelea baada ya hapo.




Johnson alirudiwa na fahamu akiwa kwenye chumba kidogo kilichokuwa na giza totoro. Hakujua mahali hapo palikuwa wapi. Kulikuwa na joto kali kupita kawaida na kila alipotaka kusimama alishindwa kwani aligundua miguuni mwake alifungwa kamba ngumu.

Kwa nyuma, kisogoni alikuwa na maumivu makali, alikaa kwa sekunde chake huku akitafakari mahali alipokuwa na kile kilichotokea ndipo akaanza kukumbuka kila kitu.

Mara ya mwisho alitoka hotelini, alipochukua teksi, kulikuwa na watu waliowasimamisha ambao walikuwa na bastola, waliwafuata na kumchukua yeye na kumpiga kitako cha bastola na baada ya hapo hakukumbuka ni kitu gani kilikuwa kimeendelea.

Kulikuwa na ukimya wa muda mrefu mahali hapo, harufu ya chumba kile haikuwa nzuri hata kidogo, ilikuwa ni harufu mbaya mno ya damu na hata aliposhika chini, aligundua kuugusa unyevuunyevu ambao alikuwa na uhakika ilikuwa ni damu.

Akaanza kuita kwa sauti, alihitaji msaada kutoka mahali hapo, hakujua kama watu waliomteka walikuwa humo au la, alichokihitaji ni kupata msaada kwani alihitaji kuendelea kuwa hai kwa kuwa kulikuwa na pesa nyingi alizokuwa akizihitaji kwa gharama yoyote ile.

“Nisaidieniiiiiii...” alipiga kelele kwa kuamini kungekuwa na watu ambao wangemsikia na kufika pale kumsaidia.

Baada ya dakika moja ya kupiga kelele, mlango ukafunguliwa na mwanaume mmoja kuingia na kuwasha taa. Kwa jinsi mwanga wa ghafla ulivyommulika usoni mwake, akayafumba macho yake na kisha kuyafumbua kwa taadhari kubwa.

“Mbona unapiga kelele mwanaume wa Dar?” aliuliza jamaa huyo kwa sauti nzito.

“Bro! Nimefanya nini?” aliuliza Johnson huku akijitahidi kumwangalia mtu huyo aliyekuwa akiongea naye.

Kwa muonekano wake tu, alitisha, alivalia suruali ya jinsi, ilionekana kama kuchoka, ilichanikachanika huku kwa juu akiwa na fulana nyekundu iliyoandikwa maneno yaliyosemeka vizuri machoni mwake, Gucci.

Chini alivalia raba nyeusi, mkononi alikuwa na saa moja iliyoonekana kuwa na gharama kubwa. Alisimama imara huku akimwangalia Johnson ambaye muda wote huo alikuwa akitetemeka.

Swali ambalo aliuliza, hakujibiwa, mwanaume huyo akaondoka huku akiufunga mlango, na taa hakuizima. Hapo ndipo macho ya Johnson yalipoanza kukiangalia chumba hicho.

Kilitisha, hakikuwa chumba cha kawaida hata kidogo. Katika maisha yake aliwahi kuona filamu nyingi za kutisha ambazo watengenezaji waliamini kabisa watu wangeogopa mara baada ya kuzitazama, ila kwa vyumba vyote, mauaji yote yaliyokuwa yakitokea ilikuwa tofauti na chumba hicho.

Kilitisha kupita kawaida. Chini kulikuwa na damu, zilitapakaa kila eneo, kulikuwa na minyororo ya nguvu, kamba, mijeredi lakini pia kulikuwa chupa zilizokuwa zimepasuliwa, kichwani mwake kukamwambia chupa zile zilipasuliwa mwilini mwa mtu. Kwa kifupi chumba kile kilitisha sana.

Hakujua sababu iliyomfanya kuwa mahali hapo, hakufikiri hata kidogo kama Bhoke inawezekana alikuwa sababu, kitu ambacho kilikuja kichwani mwake ni jina moja la mwanaume aliyeitwa Thuram.

Alikuwa na mipango yake ya dhati, alijipanga kwa ajili ya kumgeuka mwanaume huyo. Alimwambia kuhusu pesa zilizokuwa mahali fulani ambapo hakutaka ajue lakini ili kuzipata ilikuwa ni lazima kuzungumza na mwanaume alieitwa kwa jina la Bruce ambaye alifahamu kila kitu kuhusu pesa hizo.

Alihisi kabisa mwanaume huyo aligundua kwamba alikuwa akienda kusalitiwa na ndiyo maana aliamua kuwatuma watu kwa lengo la kwenda kummaliza.

Alijuta. Alijilaumu mno kuingia mikononi mwa mwanaume huyo. Hakuona dalili za kupona tena, alijua kabisa huo ndiyo ungekuwa mwisho wake endapo tu mwanaume huyo angeagiza mara moja auawe hukohuko nchini Tanzania.

Aliendelea kulia zaidi mpaka baada ya saa tano ambapo mlango ukafunguliwa na kutolewa. Alipelekwa mpaka sebuleni ambapo hakukuwa na kitu chochote kile zaidi ya televisheni iliyopachikwa ukutani huku kukiwa na ndoo kama nne zilizojaa maji.

“Kaa hapo chini,” alisema mwanaume mmoja huku akimwangalia Johnson, haraka sana akatii na kukaa.

Alitulia tuli. Hakutakiwa kuzungumza kitu chochote kile. Muda wote huo mapigo ya moyo wake yalikuwa juu, alikuwa akitetemeka kupita kawaida na muda wote kijasho chembamba kilikuwa kikimtoka.

Aliambiwa kulikuwa na mtu ambaye angempigia simu, alihitaji kuzungumza naye, kulikuwa na mambo ambayo alihitaji kumwambia ambayo alitakiwa afanye kila liwezekanalo kuhakikisha linafanyika haraka sana.

Angepigiwa simu? Na nani? Ni huyo Thuram au alikuwa mtu mwingine. Alijiuliza maswali mengi ambayo hayakuwa na majibu kabisa. Baada ya dakika kadhaa, simu ya mezani ikaanza kuita, haraka sana mwanaume mmoja akaifuata na kuunyanyua mkonga wa simu na kuanza kuzungumza naye.

“Unaitwa nani?” aliuliza mwanaume aliyekuwa akisikika kutoka upande wa pili. Aliifahamu sauti, haikuwa ngeni masikioni mwake, aliwahi kuisikia mara kadhaa kwenye televisheni, huku akijiandaa kujibu, ubongo wake ulikuwa na harakati za kutaka kugundua ilikuwa ni sauti ya nani.

“Ni rais!” alijisemea moyoni kwa mshtuko.

“Naitwa Johnson!” alijibu huku akitetemeka.

“Ulikwenda kufanya nini hotelini?” aliuliza rais.

“Nilikwenda kuzungumza na rafiki yangu wa muda mrefu, anaitwa Bhoke,” alijibu.

“Muda mrefu! Unamaanisha nini?”

“Kwamba tangu tulipokuwa wadogo!”

“Na ulijuaje kama alikuwa humo?”

“Nilizungumza naye kwenye simu!”

“Sawa. Mlifanya mapenzi kwa dakika ngapi hotelini chumbani?” aliuliza rais, lilionekana kuwa kama swali la kijinga lakini alimaanisha sana.

“Hatukufanya mapenzi, nisingeweza kwa kuwa ninamuheshimu sana kama dada yangu,” alijibu Johnson.

“Kijana! Kamera zilikunasa ukibanjuka naye kitandani, halafu unabisha!”

“Hapana! Sikufanya naye! Haki ya Mungu!”

“Unajua unaongea na nani hapa?”

“Hapana!” alijibu.

Alijua sana mtego wa swali hilo, kama angemwambia kuwa ni rais basi inawezekana kabisa mwanaume huyo angeagiza auawe kwa kuwa alihitaji iwe siri na ndiyo maana na yeye alimwambia kwamba hakumfahamu alikuwa nani.

Akaambiwa ampe simu mwanaume yeyote aliyekuwa hapo ambaye huyo akaambiwa amtoe Johnson kwani hakuwa na tatizo lolote lile, hivyo mwanaume huyo akaruhusiwa kuondoka zake.

Hilo likamfanya kumuogopa Bhoke, hakuwa mwanamke wa kawaida tena, aliwekewa ulinzi wa kila kona, alihitajika kwa udi na uvumba na hakukuwa na mtu yeyote ambaye angetamani kumsogelea kama tu ingegundulika mtu aliyekuwa nyuma yake.

Alikuwa na maswali mengi, alijiuliza kuhusu ukaribu wa watu hao, ulianzia wapi na ilikuwaje huyo Bhoke awe na ulinzi mkubwa kama huo kiasi cha mwanaume yeyote kutekwa na kupelekwa pasipopojulikana?

Alijiuliza hayo yote pasipo jibu lolote lile. Hapo ndani, akachukuliwa, akafumbwa macho yake na kuondolewa haraka sana kwa gari na baada ya nusu saa, gari likasimama maeneo ya Manzese na kuambiwa ateremke na kuelekea alipotaka kuelekea.

“Nashukuru sana wakuu,” alisema Johnson huku akionekana kuogopa. Hakuamini kama angeachwa hai.

Hapo, akaamua kuondoka zake. Bado maswali yalikuwa kichwani mwake. Bhoke alikuwa msaada mkubwa, mbele yake kulikuwa na pesa nyingi ambazo piga ua ilikuwa ni lazima azipate kwa staili yoyote ile.

Alichukua Bajaj, ndani bado aliendelea kujiuliza na kitu pekee kilichokuja kichwani mwake ni kuwa alitakiwa kupambana kuhakikisha anafanya kazi na msichana huyo.

Hakutaka kujali nyuma yake kulikuwa na nani! Kitu alichokuwa akijua ni kwamba Bhoke alikuwa pesa ndefu, kama angefanikiwa kumchukua na kuondoka naye kuelekea Marekani basi ilikuwa ni lazima afanikishe lile dili alilotaka kulifanya huko.

“Nitamrudia tena! Sikomi! Kwanza wanaume wa Dar kwenye ishu za wanawake huwa hatukomi! Labda utuambie twende shambani,” alisema Johnson.

***

Rais alichanganyikiwa mno, hakutaka kuona akimpoteza msichana huyo mrembo. Alizungumza na walinzi wake na kuwaambia ni lazima Bhoke alindwe kwa nguvu zote kwa sababu tu alimfanya kuwa mwanaume aliyefaidi kuliko wanaume wote katika dunia hii.

Ulinzi wa chini kwa chini ulikuwa mkubwa hotelini, hakukuwa na mtu aliyekuwa akifahamu kitu chochote kile, kila mmoja aliwaona maofisa wa usalama wa taifa lakini hakukuwa na aliyejua kama watu hao walikuwa maofisa kutokana na namna walivyovaa.

Hata Johnson alipofika mahali hapo na kuelekea chumbani, walifahamu, walipewa taarifa na dada wa mapokezi na ndiyo maana alipotoka tu wakamteka huku wakimwambia rais kila kitu kilichotokea.

Wivu mkali ukamkamata rais, hakuamini kama Bhoke alithubutu kumuita mwanaume hotelini na kujifungia zao chumbani. Alikuwa na hasira, alipanga kumkaripia sana Bhoke, wambie kile alichokifanya hakikuwa sahihi na kama angemletea za kuleta basi angemuua.

Haraka sana huku akiwa na hasira zake, moyo wake ukiwa umevimba na ndita kuonekana usoni akachukua simu yake kwa lengo la kumpigia msichana huyo. Alipoiona namba tu, akampigia.

“Halo bebi!” aliita msichana huyo.

Alikuwa na hasira kali, moyo wake ulivimba lakini mara baada ya kuisikia sauti ya msichana huyo tu, akahisi hasira zote zilizokuwa moyoni mwake zikiondoka, ndita alizokuwa amekunja usoni mwake zikapotea na ghafla tabasamu pana kuonekana usoni mwake.

Sauti ya Bhoke ilikuwa dawa ya kila kitu, ilimuondolea matatizo yake na kumpa furaha na amani ya milele. Alipanga kumkaripia lakini baada ya kuisikia sauti hiyo, akajikuta akibadilika.

“Nimekukumbuka mpenzi,” alisema rais, hakuamini kama yeye ndiye ambaye aipoa vile.

“Nimekukumbuka mpenzi!” alisema Bhoke, tena alivyojua kuwatega wanaume kwa sauti yake, akaanza kuweka manjonjo yaliyomfanya rais huyo kuchanganyikiwa.

Wakaanza kuongea mambo mengi, aliyasahau kabisa mambo ya Johnson, alikuwa akizungumza vitu vingine kabisa. Baada ya nusu saa ndipo akakumbuka kwamba kulikuwa na jambo jingine alitakiwa kuzungumza na msichana huyo, akaanza kumuuliza.

“Halafu bebi! Yule kijana aliyekuja hapo alikuwa nani?” aliuliza rais.

“Kijana yupi?”

“Jamani! SI huyo aliyefika muda si mrefu, anaitwa nani? Yaani umenifanya mpaka nimeumia mwenzako kwa ajili ya wivu,” alisema rais kwa upole kabisa.

“Ni rafiki yangu! Anaitwa Johnson, tulianzia mbali sana, tangu utotoni, alikuwa na shida ya kuongea nami!” alijibu Bhoke.

“Kuhusu nini jamani?”

“Maisha tu! Hatukuonana kwa miaka zaidi ya saba.”

“Duh! Kweli kipindi kirefu. Ila hamkufanya chochote?”

“Hapana! Ananichukulia kama dada yake!”

“Sawa. Nashukuru bebi kwa kusikia sauti yako nyororo. Nakupenda sana mpenzi wangu,” alisema rais.

“Nakupenda pia baba watoto!”

Rais akakata simu. Akashusha pumzi ndefu, hakuamini alichokisikia. Moyo wake uliridhika kabisa hivyo kupiga simu huko alipohifadhiwa Johnson kwa lengo la kuongea naye kuhusu suala lake la kwenda huko hotelini saa kadhaa zilizopita.

Alijua kila kitu alichoambiwa hivyo alitaka kupima maongezi, ajue nani alikuwa mkweli na nani alidanganya, na alipojaribu kuzungumza na Johnson, kile alichoambiwa na Bhoke kilikuwa kilekile alichoambiwa na kijana huyo, amani na furaha moyoni mwake ikazidi kutawala.

“Mwachieni huyo kijana! Hana kosa lolote lile,” alisema rais na hivyo vijana wale kufanya kama walivyoambiwa pasipo kujua kwamba Johnson alitaka kufanya plan B, kwani alihisi kabisa kama angeibuka na Plan A ingeweza kufeli vibaya.



Bruce alikuwa dili kubwa, kila mtu alijua kuhusu mwanaume huyo kwamba alikamatwa baada ya kuzificha pesa kiasi cha dola bilioni tano sehemu.

Hakukuwa na mtu aliyekuwa akijua kuhusu pesa hizo, watu wengi walijifanya kuwa karibu naye huko jela ili lengo lao likiwa ni kutaka kujua ukweli lakini mwanaume huyo hakutaka kabisa kumwambia mtu yeyote yule.

Alikuwa kimya kabisa. Askari wa magereza walijipendekeza kwake, walimpa maisha mazuri huku wakimpa kila kitu alichokuwa akihitaji kama njia mojawapo ya kumvutia lakini bado alikuwa mgumu kusema mahali pesa zilipokuwa.

Alifungwa gerezani kifungo cha maisha, asingeweza kutoka, na kutokana na hilo, hakuwa tayari kusema mahali pesa zilipokuwa, alikuwa tayari kuona watu wakihangaika lakini si kutamka kwa mdomo wake.

Maofisa wa kijasusi wa FBI (Federal Bureau of Investigation) nao walizitolea macho pesa hizo, walizihitaji sana, walitaka kujua mahali zilipokuwa, walichokuwa wakitaka sana kuambiwa na Bruce ni mahali pesa hizo zilipokuwa.

Waliwatumia watu wengi, walifanya kazi kubwa ili kuambiwa lakini bado mwanaume huyo hakuwa tayari, alichowaambia ni kwamba alikuwa tayari kupoteza hata uhai wake lakini si kuona akimwambia mtu yeyote yule kuhusu pesa hizo.

Bado kulikuwa na wafungwa waliokuwa wakitumwa kwake, walijipendekeza kiasi kwamba ikawa kero sasa alichokifanya ni kuanza kuwapiga.

Kila mfungwa ambaye alianza kujipendekeza alianza kumpiga. Ugomvi wake ulikuwa mkubwa, kuna wengine walitolewa meno, walivunjwa kiasi kwamba hakukuwa na mtu yeyote yule aliyediriki kumsogelea.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha pekee aliyokuwa akiyataka, hakutaka kuishi karibu na mtu yeyote yule, alihitaji kuwa peke yake mpaka pale ambapo angekufa na kuiacha Marekani ikiwa na kiulizo juu ya mahali pesa hizo zilipokuwa.

***

Dili aliloambiwa Bhoke lilimchanganya, hakuamini kama Johnson angemshirikisha katika dili kubwa na la maana kama hilo.

Hapo hotelini alikuwa akijifikiria ni kwa jinsi gani angeweza kuondoka na kuelekea nchini Marekani. Hakutaka tena kuishi Tanzania kwani aliamini kama angefanikiwa kwenda huko Marekani basi dili hilo lingeweza kutiki haraka sana.

Alitamani kuonana tena na Johnson, azungumze naye kuhusu dili hilo lakini hakuwa na nafasi hata kidogo. Aliwekewa ulinzi mkali, rais hakutaka msichana huyo aondoke kwenda sehemu yoyote ile bila ulinzi.

Kulikuwa na kazi nyingine ambayo alitakiwa kupewa lakini rais aliagiza hiyo kazi apewe mtu mwingine lakini si Bhoke, msichana ambaye alimfanya kuwa kimada wake.

Kila siku usiku aliondoka ikulu na kwenda kuonana na msichana huyo hotelini. Walifanya mapenzi, Bhoke alitumia utundu wa kila aina kumchanganya mwanaume huyo kiasi kwamba kuna wakati alihisi kama msichana huyo alikuwa hatari kitandani kuliko wanawake wote.

“Nitamuacha mke wangu na kukuoa wewe, upo tayari/’ aliuliza rais huku akimwangalia Bhoke kitandani pale, alikuwa akikikuna kitambi chake.

“Haina shida. Ila Watanzania watasemaje?” aliuliza Bhoke.

“Haya ni maisha yangu! Siyo mambo ya kiserikali, itawabidi watulie tu,” alisema rais huyo.

“Sawa. Ninakubali mpenzi! Ila naomba unipe uhuru hata wa kwenda kumuona mama. Umenibana sana,’ alisema Bhoke, alichoka kubanwa, alihitaji kuonana na Johnson kwani alihisi lile dili aliloambiwa ilikuwa ni lazima lifanyike.

Rais Edmund hakuwa na jinsi, alimpenda sana msichana huyo na alihisi kama angekataa kumruhusu basi angemkasirisha kitu ambacho hakutaka kabisa kuona kikitokea.

Pamoja na ruhusa hiyo alimwambia kwamba kila sehemu ambayo angekuwepo, kungekuwa na ulinzi wake, alimpenda sana, hakutaka kuona mwanaume mwingine anakula tunda lake na ndiyo maana alitaka kuhakikisha anakuwa salama kila mahali atakapokuwa.

Hilo halikuwa tatizo kwa Bhoke, baada ya rais huyo kuondoka, akampigia simu Johnson na kumwambia hali halisi kwamba alikuwa akitembea na rais, ingekuwa vigumu sana kuonana naye waziwazi hivyo walitakiwa kufanya kitu ambacho kingewakutanisha na kuongea kidogo.

“Haina shida. Wewe utakuwa na ratiba gani?” aliuliza Johnson.

“Nimemdanganya naenda kumuona mama kesho!” alijibu.

“Wapi?”

“Magomeni!”

“Basi sawa. Naomba tuonane huko Magomeni kwenye mgahawa wa Virus,” alisema Johnson.

“Ila kutakuwa na ulinzi! Nitalindwa kila kona!”

“Hilo si tatizo! Hakikisha baada ya kufika hapo, unakwenda chooni, utanikuta huko!” alisema Johnson.

Walipanga na walipomaliza, Bhoke akalala na kesho mchana akaondoka na kuelekea huko Magomeni. Aliingia kwenye mgahawa huo, aliwaambia walinzi kwamba alihitaji kula kwanza halafu ndiyo aende kwa mama yake.

Hapo mgahawani, alipeleka macho huku na kule, akamuona Johnson akiwa hapo huku akiwa na kofia kichwani. Alimjua, mwanaume huyo aliuchuna kana kwamba hawakuwa na appointment ya kuonana mahali hapo.

Baada ya dakika kadhaa, Johnson akainuka na kuelekea chooni, hakutoka huko, ndani ya dakika oja naye Bhoke akasimama na kuanza kuelekea huko, mlinzi mmoja akaanza kumfuata.

“Unataka kunifuata mpaka chooni? Unataka kunibaka?” alimuuliza mlinzi.

“Nataka kuhakikisha upo salama!”

“Samahani! Ila si mpaka chooni,” alisema Bhoke na kuondoka huku akimwacha mlinzi huyo mahali hapo.

Alipofika huko, akaelekea upande wa vyoo vya kume ambapo akamuona Johnson aliyemchukua na kumuingiza ndani kabisa. Wakaanz akuangaliana.

“Tunaondoka Tanzania! Nimeangalia uwezekano wa kuchukua viza, ni rahisi sana. Utatumiwa sponsorship na kutakiwa kwenda kusoma huko. Kuwa karibu na barua pepe yao,” alisema Johnso.

“Sawa.”

“Hakikisha unajaza kila kitu! Tutaondoka baada ya siku kadhaa,” alisema Johnson.

“Haina shida.”

Waliongea kwa dakika kadhaa tu na msichana huyo kutoka ndani ya choo hicho na kuelekea mgahawani na kuagiza chakula na kuanza kula, baada ya dakika kadhaa, Johnson akatoka na kuondoka zake.

Hiyo ilikuwa mbinu moja ambayo walitakiwa kuifanya kuhakikisha wanaondoka nchini Tanzania. Baada ya kumaliza akaondoka na kuelekea Magomeni kwa shoga yake na kukaa huko mpaka jioni.

Siku hiyo rais alimpigia simu na kumwambia kwamba alimuandalia nyumba ya kuishi iliyokuwa huko Sinza jijini Dar es Salaam.

Alihitaji aende kuishi huko kwa kuwa ilionekana kuwa rahisi kwake kutokugundulika kuliko pale hotelini. Bhoke alifurahi, aliamini kwamba hiyo ndiyo ingekuwa nafasi ya yeye kutoroka na kwenda kufanya mambo yake mengine.

Akawa bize na barua pepe yake, alitumiwa link na Johnson na kumwambia kuomba udhamini wa kwenda kusomeshwa nchini Marekani.

Ni ndani ya saa kadhaa, akakubaliwa na hivyo kuandaliwa kila kitu. Hilo lilionekana kuwa jepesi kwake kwa kuwa Johnson aliratibu kila kitu.

Aliandaliwa kila alichokihitaji, ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ukapewa taarifa kwamba msichana huyo alitakiwa kuondoka nchini baada ya siku mbili kuelekea nchini Marekani ambapo huko alitarajiwa kuanza masomo kwenye Chuo Kikuu cha Mississippi kilichokuwa katika jiji hilo.

“Bhoke! Kila kitu kipo tayari! Baada ya kupigiwa viza, nadhani tunatakiwa kuondoka haraka sana,” alisema Johnson.

“Na kama rais akijua, tutapitaje uwanja wa ndege?” aliuliza Bhoke huku akionekana kuogopa.

“Tutaondoka kwa kupitia Kenya!”

“Mh!”

“Ila ni endapo atagundua! Baada ya siku mbili utatakiwa kwenda ubalozini kugongewa viza, utanikuta huko,” alisema Johnson na kukata simu.



Ni ndani ya saa kadhaa, akakubaliwa na hivyo kuandaliwa kila kitu. Hilo lilionekana kuwa jepesi kwake kwa kuwa Johnson aliratibu kila kitu.

Aliandaliwa kila alichokihitaji, ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ukapewa taarifa kwamba msichana huyo alitakiwa kuondoka nchini baada ya siku mbili kuelekea nchini Marekani ambapo huko alitarajiwa kuanza masomo kwenye Chuo Kikuu cha Mississippi kilichokuwa katika jiji hilo.

“Bhoke! Kila kitu kipo tayari! Baada ya kupigiwa viza, nadhani tunatakiwa kuondoka haraka sana,” alisema Johnson.

“Na kama rais akijua, tutapitaje uwanja wa ndege?” aliuliza Bhoke huku akionekana kuogopa.

“Tutaondoka kwa kupitia Kenya!”

“Mh!”

“Ila ni endapo atagundua! Baada ya siku mbili utatakiwa kwenda ubalozini kugongewa viza, utanikuta huko,” alisema Johnson na kukata simu.

Bhoke aliambiwa kila kitu lakini bado hakuwa na uhakika wa kuondoka nchini Tanzania. Alimfahamu Rais Edmund, alikuwa mwanaume mwenye akili sana ambaye alikuwa radhi kufanya lolote lile lakini mwisho wa siku apate kile alichokuwa akikihitaji.

Ni kweli alimwamini Johnson lakini kwa jinsi mwanaume huyo alivyoongea, alivyomwambia kwamba ingekuwa rahisi kwake kuondoka nchini Tanzania, akahisi kabisa kungekuwa na ugumu ambao hakutaka kumuweka wazi.

Kila kitu kilikuwa mikononi mwake, siku iliyofuata, akamwambia mlinzi wake kwamba alihitaji kukaa na mama yake kwa siku nyingine zaidi na baada ya siku mbili amfuate hapo Magomeni.

Mlinzi huyo alikataa, alijua kabisa aliambiwa na rais amlinde kila kona, kumuacha lilionekana kuwa kosa kubwa ambalo hakutakiwa kulifanya hata kidogo.

“Haiwezekani mama kukuacha,” alisema mlinzi huku akimwangalia Bhoke.

“Kwani unanilinda wewe kama nani?” aliuliza kwa hasira kwani aliona kabisa alikuwa akiwekewa kiwingu.

“Nimeajiriwa kwa ajili ya kazi hii. Ni maagizo kutoka kwa mkuu,” alisema mlinzi.

Bhoke alikasirika, hakujua nguvu ya kumpigia simu rais aliitoa wapi, akachukua simu yake na haraka sana kumpigia. Mwanaume huyo alipopokea tu, kitu cha kwanza kilikuwa ni kumlalamikia kwa kumlinda kiasi kile, hakuwa na amani, hakuwa na nafasi ya kufanya mambo mengine kama mwanamke.

“Bebi! Kwani hapo tatizo ni nini?” aliuliza rais kwa sauti ya upole kabisa, kwenye mambo mengi alikuwa mtemi, mbabe sana lakini kwa Bhoke, alikuwa na kila sababu za kuwa mpole.

“Ninahitaji niwe huru hata kwa wiki moja!” alisema msichana huyo.

“Hilo tu?”

“Ndiyo! Nalindwa sana mpaka nachukia jamani mpenzi! Najua unanipenda, ila umezidi,” alisema Bhoke na kuingizia utani kidogo.

Rais Edmund akaufurahia utani huo na kumwambia Bhoke ampe simu ili azungumze na mlinzi wake. Alipopewa, akaanza kumwambia aondoke kwani kwa muda wa wiki nzima msichana huyo alitakiwa kuwa peke yake bila ulinzi wowote ule.

Mlinzi huyo akakubaliana naye na hivyo kuondoka. Rais Edmund hakuwa mjinga, alihisi kabisa kulikuwa na jambo msichana huyo alitaka kulifanya, alikuwa na uhakika kwamba kulikuwa na mwanaume mwingine aliyetaka kulila tunda lake hivyo akaanza kufuatilia kwa kupitia simu ya msichana huyo aliyokuwa ameidukua.

Alisikiliza simu zote zilizokuwa zikiingia na kutoka, hakukuwa na simu mbaya, zilikuwa ni za kawaida tu, alipewa taarifa na vijana wake kwamba hakukuwa na ishu yoyote ile kuhusu mwanaume, kama alivyokuwa amemwambia ajichunge, msichana huyo alifanya hivyo.

Siku hiyo majira ya saa nne asubuhi ndipo akapelekewa taarifa kwamba kulikuwa na mwanaume aliyekuwa amezungumza naye na kumwambia waonane katika ubalozi wa Marekani kwani ilikuwa ni lazima viza igongwe na kuanza safari siku inayofuata.

Rais kusikia hivyo, akachanganyikiwa, ni kama hakuelewa hasa kile alichokuwa ameambiwa hivyo kusikiliza kwa umakini zaidi.

Watu hao wawili walipanga kuonana huko ubalozini siku hiyo na kwa jinsi muda ulivyokuwa umekwenda sana inawezekana kabisa tayari watu hao walionana huko.

Alichanganyikiwa! Haraka sana akawatuma vijana wake waende huko, alihitaji kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea na kama iliwezekana ilikuwa ni lazima wamkamate msichana huyo na huyo mvulana na kuondoka nao mahali hapo.

Mipango ilifanywa vizuri, ilipangwa na kupangika na hivyo kwenda huko. Upande wa pili wakati wao wakielekea huko, tayari Johnson alikuwa ubalozini, alimsubiri msichana huyo ambaye baada ya dakika kadhaa akaingia mahali hapo.

Kwa jinsi alivyoonekana, alikuwa na haraka sana, akaonana na Johnson, wakakumbatiana na kumwambia aende mahali ambapo viza yake ilitakiwa kugongwa.

Akaelekea hapo, akaulizwa maswali yote kuhusu elimu aliyokuwa akienda kusomea, na kwa sababu kulikuwa na ruhusa zote kutoka katika chuo alichokuwa akienda kusoma, hakupata usumbufu wowote ule, akagongewa viza ya kukaa huko miaka mitatu na kuondoka zake.

“Vipi?” aliuliza Johnson.

“Nimegongewa! Siamini kama tunaondoka,” alisema Bhoke huku akionekana kuwa na furaha isiyo kifani.

Haraka sana wakatoka mpaka nje, wakati wakiingia kwenye gari lao, mara wakaliona gari moja lililokuwa na namba za serikali likiingia mahali hapo.

Walibaki wakiliangalia, walikuwa na wasiwasi nao, gari hilo likaelekea sehemu ya kuegesha magari na kutulia hapo na wanaume wawili waliovalia kaunda suti nyeusi kuteremka na kuanza kuelekea ndani.

Kwa jinsi walivyoonekana, hawakuwa watu wa kawaida, sura zao zilionyesha walikuwa watu makini sana, waliokuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile, miili yao ilijazia na hata zile kaunda walizokuwa wamezivaa zilionekana kama zinataka kuchanika.

“Watu wako hao,” alisema Johnson.

“Unamaanisha nini?” aliuliza Bhoke huku akionekana kuwa na hofu.

“Watakuwa wamekuja kwa ajili yako. Inawezekana kabisa rais akawa anajua kuhusu ujio wako hapa! Ni lazima tuondoke haraka sana hapa Tanzania,” alisema Johnson.

Akaliwasha gari lake na kuondoka kwa mwendo wa kawaida kabisa, walitoka ndani ya eneo la ikulu na kuondoka zao. Njiani walikuwa wakipiga stori kuhusu safari hiyo, ilionekana kuwa ngumu lakini kwa sababu kule walipokuwa wakitaka kuelekea kulikuwa na pesa ndefu walitakiwa kupambana kwa kila hali mpaka wanafanikiwa kupata pesa hizo.

Safari yao iliishia katika nyumba moja iliyokuwa Mbezi Beach, wakaingia ndani na kuelekea mpaka sebuleni. Nyumba hiyo ilipangwa na Johnson ambaye alihitaji kukaa Tanzania kwa siku kadhaa kabla ya kurudi nchini Marekani.

Hapo wakaanza kupanga mipango, ilikuwa ni lazima Johnson ampange Bhoke na kumwambia ni kitu gani alitakiwa kufanya mara baada ya kufika nchini Marekani ili pindi watakapoingia huko iwe ni kazi tu na si kupanga tena.

“Hiyo kazi ni ngumu lakini nakwambia itakuwa nyepesi sana,” alisema Johnson huku akimwangalia Bhoke.

“Itakuwaje?”

“Ni kwamba tutakwenda mpaka Marekani ndani ya Jiji Washington DC. Tukifika hapo, nitamtafuta mwanasheria mmoja matata sana na kupanga naye mchezo,” alisema Johnson.

“Halafu?”

“Nitafanya kosa moja dogo tu na kumwambia mwanasheria wangu ambaye atakuwa wakili wangu aiombe mahakama kama ni kufungwa basi niende nikafungwe katika Gereza la Shelton Hill,” alisema Johnson na kumwangalia msichana huyo.

“Lengo la kufungwa?”

“Ninataka kuonana na mtu aitwaye Bruce Carner, nitatengeneza urafiki mkubwa sana kwake, atakuwa besti wa kufa na kuzikana! Huyo ndiye mwanaume ambaye anajua mahali pesa zilipo,” alisema Johnson.

“Halafu!”

“Tukiwa marafiki gerezani mule, wewe utakuwa unakuja kunitembelea, nitakutambulisha kwa Bruce na mwisho wa siku utajibebisha na kuwa mpenzi wako! Huko, huwa inaruhusiwa kufanya mapenzi, hivyo mtakuwa mnafanya mapenzi mara kwa mara utakapokuwa ukienda kumtembelea,” alisema Johnson huku akimwangalia Bhoke.

“Ooh! Kufanya mapenzi? Tena naomba kwenye hicho kipengele kiwe kinajirudia mara kwa mara huko jela,” alisema Bhoke na kutoa tabasamu pana. Yaani kusikia tu kuna ishu ya kufanya mapenzi, basi alichanganyikiwa.

“Najua unapenda! Sasa baada ya hapo, tunatengeneza katukio fulani hivi, utaandaa watu wa kukupiga picha ukiwa unajiuza,” alisema Johnson.

“Kwa sababu gani?”

“Hizo picha zitachukuliwa na kupelekwa kwa Bruce, aone kile ulichokuwa ukikifanya, wakati ukienda jela kumtembelea, atakasirika na kukwambia kuhusu kile alichoambiwa, utamwambia unafanya hivyo kwa kuwa hauna pesa,” alisema Johnson.

“Halafu?”

“Bila shaka atakwambia mahali pesa zilipo, sipajui ila kupitia yeye nitapajua!” alisema Johnson.

“Mmh!”

“Ni kazi rahisi sana, ila hakikisha unafanya jambo moja!”

“Lipi?”

“Ukifanya naye mapenzi, fanya kwa juhudi kana kwamba hutokuja kufanya tena,” Alisema Johnson.

“Haina shida.”

Walipanga mambo mengi, misheni waliyokuwa wameipanga ilikuwa nzuri kwa Bhoke kwa sababu tu aliambiwa suala la kufanya mapenzi na mwanaume huyo.

Alihisi mwili wake ukiweweseka kupita kawaida, kulikuwa na vitu vingi alivyokuwa akivipenda, ila kufanya mapenzi, kwake ilikuwa si mchezo.

Siku nzima walikaa hapo nyumbani, usiku wakalala. Siku hiyo kulikuwa na manyunyu ya mvua, lile joto lililokuwepo kipindi kifupi cha nyuma lilipotea na hali ya ubaridi kuanza kupiga.

Mwili wake ulihisi kama kuna vijidudu vilikuwa vikimtembelea, chini ya kiuno chake alihisi kabisa kulikuwa na uhitaji wa kuwa na mwanaume usiku huo.

Haraka sana akasimama kutoka kitandani na kuelekea kwenye korido, akaanza kupiga hatua kuelekea katika mlango wa chumba cha Johnson kwa lengo la kutaka kuingia na kukata kiu kubwa ya kufanya mapenzi aliyokuwanayo.

Alipoufikia mlango huo, akaufungua na kuingia ndani kisiri. Alimuona mwanaume huyo akiwa kitandani, amelala fofofo, akamsogelea, akalitoa shuka na yeye kujifunika huku akiwa na ngo ya ndani tu.

Kitendo cha kuingia kwenye shuka hilo, Johnson akashtuka na kumwangalia msichana huyo.

“Wewe nani?” aliuliza Johnson huku akikurupuka.

“Shiiiii...ni mimi!”

“Bhoke!”

“Ndiyo!”

“Unataka nini?”

“Uliniambia stori za kufanya mapenzi, ulitegemea mwili wangu ungekuwa katika hali gani?” aliuliza msichana huyo kwa sauti ya chini, sauti ya chumbani kabisa.

Ni kweli Bhoke alikuwa msichana mrembo mno, alimpenda lakini kwa sababu alikuwa na tabia ya kufanya mapenzi na wanaume wengi, hakutaka kumwamini hata kidogo.

Alimwambia kwamba hilo lilikuwa jambo lisilowezekana hata kidogo, asingeweza kufanya naye mapenzi hata kidogo kwani alimheshimu sana.

“Kwani mimi mama yako?” aliuliza Bhoke.

“Hapana!”

“Dada yako wa damu?”

“Hapana!”

“Sasa tatizo lipo wapi?” aliuliza Bhoke.

Hakuuliza huku akiwa ametulia tu, aliuliza huku mkono wake ukipapasa kifua cha Johnson, alichanganyikiwa mno, alianzia kwenye kifua lakini akaendelea kushuka chini mpaka tumboni, akataka kushuka tena na tena.

“Unataka kufanya nini?” aliuliza Johnson swali la kipumbavu kuliko maswali yote aliyowahi kuuliza katika maisha yake.

“Jamaniiiiii...” alisema Bhoke.

Wakati wakiendelea kuongea na mwanaume huyo kuuliza maswali yasiyokuwa na mantiki hata kidogo, ghafla wakaanza kusikia mbwa wa majirani wakianza kubweka.

Ubwekaji wao haukuwa wa kawaida, walihisi kabisa kulikuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea hivyo harakaharaka Johnson akasimama na kwenda dirishani, kitu pekee alichokisikia zaidi ya sauti hizo za mbwa ni vishindo vya watu waliokuwa wameruka ukuta na kuingia ndani ya eneo la nyumba hiyo.

“Puuu...puuu...” vishindo hivyo vilisikika, alipoangalia vizuri, macho yake yakatua kwa watu watatu waliokuwa na bastola mikononi mwao, moyo wake ukapiga paaaa.

***

Rais Edmund alipewa taarifa juu ya kila kitu kilichokuwa kikiendelea. Penzi lake lilikuwa kwa msichana huyo, alimpenda kuliko mwanamke yeyote katika dunia hii.

Aliwaagiza vijana wake wamfuatilie msichana huyo huko ubalozini, aliamini kabisa Bhoke alitaka kuondoka na mwanaume mmoja kuelekea Marekani, kama hiyo ilikuwa ni kweli, ilikuwa ni lazima amzuie.

“Vipi hapo ubalozini?” aliuliza rais kwenye simu.

“Hapa wameondoka, tumeambiwa msichana huyo alifika hapo ubalozini,” alijibu mwanaume mmoja.

Jibu hilo likamkata maini, akahisi kabisa kama macho yake yakianza kusikia kizunguzungu. Alikaa kochini na kujipa moyo kwamba yeye ni rais na alikuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile, hivyo ilikuwa ni lazima apambane.

Wakati akijipanga vilivyo, akakumbuka kwamba siku hiyo rais wa Zambia alikuwa akifika nchini hivyo angekuwa bize mno. Aliwaambia vijana wake wamfuatilie Bhoke huku yeye akiwa na rais huyo.

Alipofika nchini, akampokea na kuelekea ikulu, walikuwa wakiongea mambo mengi lakini kichwa chake kilikuwa kikifikiria mambo mengine kabisa.

Rais huyo alimng’ang’ania, mpaka inafika majira ya saa kumi na mbili bado walikuwa pamoja tu wakizungumza mambo mengi.

Rais huyo alikwenda kupumzika majira ya saa moja usiku, naye harakaharaka akachukua simu yake na kuwapigia vijana wake kwani aliamini tayari walimpata msichana huyo.

“Mmemuhifadhi wapi?” aliuliza rais hata kabla ya neno lolote lile.

“Bado hatujampata!”

“Mnamaanisha nini?”

“Yaani hajawa mikononi mwetu!”

“Mmezungumza na vijana wa IT?”

“Hapana!”

“Acheni upumbavu, waambieni waidukue ile simu tena ili mjue ni mahali gani Bhoke na mwanaume huyo walipo,” alisema rais na kukata simu.

Haraka sana vijana hao wakawasiliana na watu wa ikulu na wao kuanza kuidukua tena simu ya Johnson, kipindi hiki walitaka kujua mahali alipokuwa.

Kwa kutumia GPS, walifanikiwa kuidukua na kugundua kwamba kipindi hicho mwanaume huyo alikuwa huko Mbezi Beach, hivyo walitakiwa kufuatilia simu hiyo kwani waliamini alikuwa na msichana huyo.

Wakampigia simu rais na kumwambia, alichowaambia ni kwamba wawafuate huko hivyo wakaanza kwenda huko. Ilikuwa ni majira ya saa moja usiku, kwenda Mbezi Beach halikuwa suala la kawaida, kulikuwa na foleni kubwa katika Barabara ya Ally Hassani Mwinyi, hivyo walitakiwa kusimama sana.

Mpaka wanafika Mbezi Beach tayari ilikuwa ni saa nne kasoro, walikuwa wamchelewa sana lakini walitakiwa kupambana mpaka wahakikishe wanampata msichana huyo.

GPS ilizidi kuwaongoza mpaka mahali ambapo kulikuwa na nyumba moja ya kifahari ambapo humo ndani ndipo alipokuwa Johnson na Bhoke.

Wakateremka ndani ya gari lao, wakavaa nguo zao za kazi na kuanza kuisogelea nyumba hiyo. Mtaa ulikuwa kimya, hakukuwa na mtu aliyekuwa akipita kwa miguu.

Ghafla mbwa wakaanza kubweka, walibweka kwa nguvu, tena kwa pamoja. Hawakutaka kujali sana, wakaufuata ukuta, wakapanda, ulikuwa na nyaya ambazo hazikuwa zimewashwa kwenye umeme na hivyo kurukia ndani huku wakiwa na bastola mikononi mwao.

“Tumeambiwa tumuue mwanaume na mwanamke tuondoke naye, kumbukeni hayo maagizo,” alisema mwanaume mmoja kwa sauti ya chini.

“Poa haina noma,” alisema mwanaume mwingine.


MWISHO




0 comments:

Post a Comment

Blog